Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Vyama vya upinzani havina nia ya kuikomboa Tanzania tutafute mgombea binafsi.
Nimekaa nimewaza juu ya mwenendo wa siasa za taifa letu.
Nikirejea kwa hawa wenzetu chama tawala jinsi wanavyoenenda. Ni dhahiri inaonyesha hawana muda mrefu wataachia hili taifa mikononi mwa chama kingine.
Sasa nilitegemea hawa wa vyama vya upinzani kuwa na mikakati thabiti inayoeleweka ili wapindue meza, ili 2025 wachukue nchi kiurahisi.
Sasa cha ajabu hawana mikakati yeyote ile.
Kiukweli ninaona katiba hampatii nafasi mwananchi kujikomboa bila kutegemea chama. Kungelikua na uwezekano katiba iruhusu mtu asiye na chama kugombea ili tupate watu wenye uchungu na kile wanachokitafuta.
Lakini hawa wapinzani wetu mbona kama siwaelewi.
Nimekaa nimewaza juu ya mwenendo wa siasa za taifa letu.
Nikirejea kwa hawa wenzetu chama tawala jinsi wanavyoenenda. Ni dhahiri inaonyesha hawana muda mrefu wataachia hili taifa mikononi mwa chama kingine.
Sasa nilitegemea hawa wa vyama vya upinzani kuwa na mikakati thabiti inayoeleweka ili wapindue meza, ili 2025 wachukue nchi kiurahisi.
Sasa cha ajabu hawana mikakati yeyote ile.
Kiukweli ninaona katiba hampatii nafasi mwananchi kujikomboa bila kutegemea chama. Kungelikua na uwezekano katiba iruhusu mtu asiye na chama kugombea ili tupate watu wenye uchungu na kile wanachokitafuta.
Lakini hawa wapinzani wetu mbona kama siwaelewi.