Uchaguzi 2020 Vyama vya Upinzani msipoteze muda kuweka wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Vyama vya Upinzani msipoteze muda kuweka wagombea Urais

Jibu unalo
Hata wewe unalo sema tu ni unafiki umekujaa na kujaribu kuficha ukweli. Ila siku zote ukweli humweka mtu huru. Ndugu yangu nenda Halamshauri angalia utekelezaji wa miradi kama Kilimo, mifugo na maendeleo ya jamii ndo utaamini ninachokuambia.

Halmashauri zimefilisika baada ya kupokwa vyanzo vyote vya mapato. Hata ujenzi wa choo na ukarabati wa madawati kwa shule unategemea hazina. Tutafika? Fungua akili Mkuu.
 
Hata wewe unalo sema tu ni unafiki umekujaa na kujaribu kuficha ukweli. Ila siku zote ukweli humweka mtu huru. Ndugu yangu nenda Halamshauri angalia utekelezaji wa miradi kama Kilimo, mifugo na maendeleo ya jamii ndo utaamini ninachokuambia. Halmashauri zimefilisika baada ya kupokwa vyanzo vyote vya mapato. Hata ujenzi wa choo na ukarabati wa madawati kwa shule unategemea hazina. Tutafika? Fungua akili Mkuu.
Mlikuwa mnazipiga sana .Darasa la la mil 20 mnajenga kwa mil 80. Vocha za pembejeo hewa. Hela za capitation mlikuwa mnagawana na haziwafikii wanafunzi. Sasa mmekomeshwa.
 
Mlikuwa mnazipiga sana .Darasa la la mil 20 mnajenga kwa mil 80. Vocha za pembejeo hewa. Hela za capitation mlikuwa mnagawana na haziwafikii wanafunzi. Sasa mmekomeshwa.
Ndomaana nasema wakati huo FRELIMO ndo ilikuwa madarakani?
 
Hatuogopi hii
FB_IMG_1582080397242.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natoa ushauri tu kwa vyama vya Upinzani kujitafakari na kutopoteza muda na pesa kuweka mgombea urais. Hii ni kwa sababu utendaji kazi wa rais JPM tayari umeshampa ushindi mkubwa. Kudhibiti mianya ya rushwa kwenye halmashauri, ujenzi wa miundo mbinu kama daraja la busisi (umeashaanza) kurudisha uwajibikaji kwa watumishi wa umma n.k.(baadhi ya mifano).

Vyama vya upinzani Cuf Chadema na Chauma vimepoteza imani kwa wananchi na vinaonekana ni vya waganga njaa.

Hivyo basi visipoteze muda na pesa za wanachama wachache amabao ni vichwa ngumu waliobaki huko.
Ila kwa udiwani na ubunge nashauri vijaribu.

N.B Sina chama ni ushauri tu kama ukiumia jikaze kisabuni.
Mkuu unataka kusema jiwe anauwezo wa kuongoza kuliko wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wewe unalo sema tu ni unafiki umekujaa na kujaribu kuficha ukweli. Ila siku zote ukweli humweka mtu huru. Ndugu yangu nenda Halamshauri angalia utekelezaji wa miradi kama Kilimo, mifugo na maendeleo ya jamii ndo utaamini ninachokuambia.

Halmashauri zimefilisika baada ya kupokwa vyanzo vyote vya mapato. Hata ujenzi wa choo na ukarabati wa madawati kwa shule unategemea hazina. Tutafika? Fungua akili Mkuu.
Mkuu unatoa ushauri murua kwa buku 7 fc ! Unapoteza muda wako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom