Hata wewe unalo sema tu ni unafiki umekujaa na kujaribu kuficha ukweli. Ila siku zote ukweli humweka mtu huru. Ndugu yangu nenda Halamshauri angalia utekelezaji wa miradi kama Kilimo, mifugo na maendeleo ya jamii ndo utaamini ninachokuambia.Jibu unalo
Mlikuwa mnazipiga sana .Darasa la la mil 20 mnajenga kwa mil 80. Vocha za pembejeo hewa. Hela za capitation mlikuwa mnagawana na haziwafikii wanafunzi. Sasa mmekomeshwa.Hata wewe unalo sema tu ni unafiki umekujaa na kujaribu kuficha ukweli. Ila siku zote ukweli humweka mtu huru. Ndugu yangu nenda Halamshauri angalia utekelezaji wa miradi kama Kilimo, mifugo na maendeleo ya jamii ndo utaamini ninachokuambia. Halmashauri zimefilisika baada ya kupokwa vyanzo vyote vya mapato. Hata ujenzi wa choo na ukarabati wa madawati kwa shule unategemea hazina. Tutafika? Fungua akili Mkuu.
Hiyo sawa, ila viti maalum nadhani pia hutegemea idadi ya kura za U-rais! Nipo tayari kusahihishwa katika hiliKuhusu ubunge na udiwani nimewaambia wajaribu.
Ndomaana nasema wakati huo FRELIMO ndo ilikuwa madarakani?Mlikuwa mnazipiga sana .Darasa la la mil 20 mnajenga kwa mil 80. Vocha za pembejeo hewa. Hela za capitation mlikuwa mnagawana na haziwafikii wanafunzi. Sasa mmekomeshwa.
Hii ya Mara inatengenezwa na mihogo pure.Hongera kwa maoni!lakini hii gongo ya asubuhi asubui umetoa wapi????
Bora wewe umejiongeza.[emoji119][emoji119][emoji119] View attachment 1369581
Idadi ya wabunge wa kuchaguliwa na madiwani wa kuchaguliwaHiyo sawa, ila viti maalum nadhani pia hutegemea idadi ya kura za U-rais! Nipo tayari kusahihishwa katika hili
Mkuu unataka kusema jiwe anauwezo wa kuongoza kuliko wewe?Natoa ushauri tu kwa vyama vya Upinzani kujitafakari na kutopoteza muda na pesa kuweka mgombea urais. Hii ni kwa sababu utendaji kazi wa rais JPM tayari umeshampa ushindi mkubwa. Kudhibiti mianya ya rushwa kwenye halmashauri, ujenzi wa miundo mbinu kama daraja la busisi (umeashaanza) kurudisha uwajibikaji kwa watumishi wa umma n.k.(baadhi ya mifano).
Vyama vya upinzani Cuf Chadema na Chauma vimepoteza imani kwa wananchi na vinaonekana ni vya waganga njaa.
Hivyo basi visipoteze muda na pesa za wanachama wachache amabao ni vichwa ngumu waliobaki huko.
Ila kwa udiwani na ubunge nashauri vijaribu.
N.B Sina chama ni ushauri tu kama ukiumia jikaze kisabuni.
Ndio
Mkuu unatoa ushauri murua kwa buku 7 fc ! Unapoteza muda wako mkuuHata wewe unalo sema tu ni unafiki umekujaa na kujaribu kuficha ukweli. Ila siku zote ukweli humweka mtu huru. Ndugu yangu nenda Halamshauri angalia utekelezaji wa miradi kama Kilimo, mifugo na maendeleo ya jamii ndo utaamini ninachokuambia.
Halmashauri zimefilisika baada ya kupokwa vyanzo vyote vya mapato. Hata ujenzi wa choo na ukarabati wa madawati kwa shule unategemea hazina. Tutafika? Fungua akili Mkuu.
Naona ushapoteza ramani, sidhani kama umenielewa lakini.Mlikuwa mnazipiga sana .Darasa la la mil 20 mnajenga kwa mil 80. Vocha za pembejeo hewa. Hela za capitation mlikuwa mnagawana na haziwafikii wanafunzi. Sasa mmekomeshwa.
Basi una haki ya kuandika ulichoandika kwa 100%. You are 2 low, kama kweli huna chama nakushauri ujiunge ccm.Ndio
Unaishi kwa hisia.Mkuu unatoa ushauri murua kwa buku 7 fc ! Unapoteza muda wako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijiunge CCM ili iweje?Basi una haki ya kuandika ulichoandika kwa 100%. You are 2 low, kama kweli huna chama nakushauri ujiunge ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanaona aibu sasa hivi. Tuliwaambia mapema Chadema itakufa kama NCCR mageuzi wakabisha kama wewe .Basi una haki ya kuandika ulichoandika kwa 100%. You are 2 low, kama kweli huna chama nakushauri ujiunge ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
UpingajiHuu ndiyo unaitwa utendaji? View attachment 1376551