Umeongea kwa kupanick mpaka imeonekana ni post ya shoga fulani. Kama ww ndio mpango mikakati ya CCM na ndio unaongea huu utoto, basi ujue hakuna chama hapo ndio maana mnategemea vyombo vya dola miaka yote.
Unasema CDM wameshindwa kujenga hata choo, hiyo ni kweli, lakini CCM pia hawana cha kujivunia maana 90% ya majengo yao ni ya kurithi toka mfumo wa chama kimoja. Na kuna mazingira mengi hayalipi kodi stahiki. Unasema ANC wanavitega uchumi hadi nje ya nchi yao, je CCM wanavitega uchumi wapi nje ya Tanzania?
Wanaokwenda kwenye mikutano ya CDM ni wasiojitambua na majobless, je wale wanaokwenda kwenye mikutano ya CCM wakati wa kazi wao wanashughuli gani? Acheni wivu wa kijinga nyie majizi ya kura. Ifahamike hata hao majobless wanaweza kupiga kura.