Vyama vya Upinzani Tanzania vimejaa Wanasiasa wasiokuwa na Maono, Ubunifu wala uwezo wa Uongozi

Na kwa kuwa Watanzania wengi ni watu wasiokuwa na elimu bora wala maarifa ya kuchanganua mambo kwa upana wake basi wanawafuata tu kama misukule
Ukweli mchungu. Hakuna mtu mwenye akili timamu angemchagua lowasa awe rais, lakini mamilioni ya wapumbavu wakampigia kura.
 
Asipoelewa hapa basi yeye ndio mwenye tatizo, maana nilijua anawalaumu Watanzania kwa kuikumbatia chama dola zaidi ya 60 ya uhuru ilhal hamna kitu kimoja kikubwa kimetatuliwa completely 100% badala yake analaumu upinzani kwa vitu pretty, NOTE: Ukisifiwa na adui ujue kuna sehemu ushakosea & vice-versa is true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…