Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo aliyeko Ubeligiji, mwenyekiti wa chama chake alishakuwa hiyo nafasi ya ugombea uraisi.Kwa sababu ya Corona ndege za kutoka ulaya kuja Tanzania hazipo na hazijulikani lini zitaanza
Kwenye mchakato wa uteuzi wa mgombea uraisi chadema na vyama vingine vya upinzani ni vizuri vikateua wagombea uraisi waliomo ndani ya Tanzania. Wasije poteza kwa kuteua mtu ambaye hataenda kuchukua fomu ya kugombea uraisi tume ya uchaguzi hivyo kupoteza nafasi ya kuwa na mgombea uraisi Sababu hakuna ndege ya kumleta Tanzania
Yapo mashirika yanatoa watu Ulaya hadi Doha Qatar,harafu Qatar hadi DarKocha wa Yanga wiki iliyopita katokea brussels to dar,mkuu ebu fanya research kwanza kabla ya kuanzisha mada
klm inafika dar direct toka amsterdamYapo mashirika yanatoa watu Ulaya hadi Doha Qatar,harafu Qatar hadi Dar
Wanajua jamaa siku akipewa Mic mambo yote yanaenda kuwekwa hadharani.Jamaa mnamuogopa sana Lissu. Pamoja na risasi 38 bado tu mnaogopa hata kivuli chake?
Itakuwa ni maajabu kuamini kuwa bwana yule aliyehutubia kupitia fb anaweza kuwa rais
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Sio lazima Lissu afanye kampeni akiwa hapa anaweza kufanya akiwa alipo na kuja kuapishwa hapa.Kwa sababu ya Corona ndege za kutoka ulaya kuja Tanzania hazipo na hazijulikani lini zitaanza
Kwenye mchakato wa uteuzi wa mgombea uraisi chadema na vyama vingine vya upinzani ni vizuri vikateua wagombea uraisi waliomo ndani ya Tanzania. Wasije poteza kwa kuteua mtu ambaye hataenda kuchukua fomu ya kugombea uraisi tume ya uchaguzi hivyo kupoteza nafasi ya kuwa na mgombea uraisi Sababu hakuna ndege ya kumleta Tanzania