Vyama vya Upinzani tusaidieni Watanzania kujibu maswali haya tafadhali

Vyama vya Upinzani tusaidieni Watanzania kujibu maswali haya tafadhali

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kwa heshima na taadhima mimi binafsi naheshimu mawazo mbadala ya kuliendea jambo kulitatua ili kuliondosha, kuliboresha au kupata ahueni.

Tangu wimbi la demokrasia ya vyama vingi litue Afrika ikiwemo Tanzania tumeshuhudia uanzishwaji wa vyama vingi ambavyo vinasema kuwa kuna njia rahisi sana ya kufanikisha mambo yetu Afrika na Tanzania kuliko njia hizi zinazotumiwa na vyama tawala vya sasa.

Tanzania bado, lakini Zambia, Uganga, Burundi, Rwanda, Malawi, Kenya, DRC, Ethiopia, Sudani Kusini, Misri, Libya, na mataifa mengine vyama vya upinzani vilifanikiwa kuviondoa vyama tawala na wao kuingia madarakani, LAKINI hata vyama hivyo vipya vya upinzani havikuonyesha na havionyeshi utofauti kwenye maisha ya wananchi wao kuliko maisha yalivyokuwa wakati utawala wa vyama vya zamani. Maendeleo na maisha ya waafrika yanafanana tu bila kujali ni chama za zamani au kipya kinaongoza nchi.

Maswali yangu ni haya hapa:
1. Ni nini hasa kinasababisha Afrika yote ifanane kimaendeleo?

2. Kama vyama vyenu vikipata nafasi ya kushika dola mtafanyaje kuzuia sababu hizi zinazosababisha nchi zote za bara lote la Afrika chini ya uongozi wa vyama vya siasa vikongwe na vile vipya vya upinzani zifanane kimaendeleo?

3. Wapi mtapata soko zuri la mazao (korosho, pamba, mbao), madini, na wanyama wetu tofauti na sasa?

4. Mtafanya nini ili tanzania kuwe na huduma za kutosha za umeme, maji, chakula, afya, elimu, usafirishaji, ulinzi na usalama na ajira kwa vijana?

5. Vyama vya upinzani ni ajira sawa na ajira nyingine? Hii ni baada ya kuona viongozi wa upinzani, wabunge na waanzilishi wa vyama hivi wakilimiki mahoteli, majumba, magari ya kifahari, miradi, mastudio, mashamba, kusomesha watoto wao shule za gharama, shule, nk binafsi badala ya kutumia hela hizo kujenga na kuimarisha vyama vyao au hata pesa hizo kwenda kusaidia wananchi wenye shida kama ya maji, ada, umeme, nyumba, usafiri, afya, nk.

Naomba tafadhali kwa unyenyekevu tu mjibu maswali haya ili tuone thamani halisi ya vyama vya upinzani ili wanaoviunga mkono hivi vyama waione thamani na hasara ya kuviunga mkono. Maana wananchi hawa ndiyo wanaovipigia na kulinda kura za wagombea wa vyama. Wanapenda kujua maisha yao yatatofautianaje na ya sasa au vyama vya upinzani vya mataifa mengine vilivyofanikiwa kushika dola vinakosea wapi?

Je, ruzuku, mahoteli, majumba, magari na mali za viongozi/wabunge wanazozipata baada ya kuungwa mkono na kupigiwa kura na kuchaguliwa zinawanufaishaje watu hawa? Au wanatumika tu kutafutia watu ulaji na maisha kwa familia zao?
 
Screenshot_20211119-123449.jpg
 
Hiyo paragragh ya mwisho nadhani inawahusu chama tawala zaidi.
 
Kwa heshima na taadhima mimi binafsi naheshimu mawazo mbadala ya kuliendea jambo kulitatua ili kuliondosha, kuliboresha au kupata ahueni.

Tangu wimbi la demokrasia ya vyama vingi litue Afrika ikiwemo Tanzania tumeshuhudia uanzishwaji wa vyama vingi ambavyo vinasema kuwa kuna njia rahisi sana ya kufanikisha mambo yetu Afrika na Tanzania kuliko njia hizi zinazotumiwa na vyama tawala vya sasa.

Tanzania bado, lakini Zambia, Uganga, Burundi, Rwanda, Malawi, Kenya, DRC, Ethiopia, Sudani Kusini, Misri, Libya, na mataifa mengine vyama vya upinzani vilifanikiwa kuviondoa vyama tawala na wao kuingia madarakani, LAKINI hata vyama hivyo vipya vya upinzani havikuonyesha na havionyeshi utofauti kwenye maisha ya wananchi wao kuliko maisha yalivyokuwa wakati utawala wa vyama vya zamani. Maendeleo na maisha ya waafrika yanafanana tu bila kujali ni chama za zamani au kipya kinaongoza nchi.

Maswali yangu ni haya hapa:
1. Ni nini hasa kinasababisha Afrika yote ifanane kimaendeleo?

2. Kama vyama vyenu vikipata nafasi ya kushika dola mtafanyaje kuzuia sababu hizi zinazosababisha nchi zote za bara lote la Afrika chini ya uongozi wa vyama vya siasa vikongwe na vile vipya vya upinzani zifanane kimaendeleo?

3. Wapi mtapata soko zuri la mazao (korosho, pamba, mbao), madini, na wanyama wetu tofauti na sasa?

4. Mtafanya nini ili tanzania kuwe na huduma za kutosha za umeme, maji, chakula, afya, elimu, usafirishaji, ulinzi na usalama na ajira kwa vijana?

5. Vyama vya upinzani ni ajira sawa na ajira nyingine? Hii ni baada ya kuona viongozi wa upinzani, wabunge na waanzilishi wa vyama hivi wakilimiki mahoteli, majumba, magari ya kifahari, miradi, mastudio, mashamba, kusomesha watoto wao shule za gharama, shule, nk binafsi badala ya kutumia hela hizo kujenga na kuimarisha vyama vyao au hata pesa hizo kwenda kusaidia wananchi wenye shida kama ya maji, ada, umeme, nyumba, usafiri, afya, nk.

Naomba tafadhali kwa unyenyekevu tu mjibu maswali haya ili tuone thamani halisi ya vyama vya upinzani ili wanaoviunga mkono hivi vyama waione thamani na hasara ya kuviunga mkono. Maana wananchi hawa ndiyo wanaovipigia na kulinda kura za wagombea wa vyama. Wanapenda kujua maisha yao yatatofautianaje na ya sasa au vyama vya upinzani vya mataifa mengine vilivyofanikiwa kushika dola vinakosea wapi?

Je, ruzuku, mahoteli, majumba, magari na mali za viongozi/wabunge wanazozipata baada ya kuungwa mkono na kupigiwa kura na kuchaguliwa zinawanufaishaje watu hawa? Au wanatumika tu kutafutia watu ulaji na maisha kwa familia zao?
Kuhusu kuuza mfanyabiashara anakazi ya ziada ya kutafuta masoko serikali inatakiwa kuandaa mazingira wezeshi ya kufanya biashara (Business enabling environment) BEE
 
Hakuna jibu hata moja alilotoa kwa mleta mada,alichofanya amekwepa maswali ya mleta mada,hapa ndipo inapojidhihirisha wafuasi wa upinzani aka Pinga Pinga aka wapayukaji/waropokaji kwanini wanaitwa nyumbu,uwezo wao wa kufikiri ni mdogo!!


Mbowe ni gaidi

Tanzania bila ugaidi inawezekana
Tupeni kwanza umeme na maji
 
hebu tukumbushe kidogo, walisema na kushauri nini. maana umeme wetu mwingi ni wa maji ya mvua, na mvua hainyeshi sio tanzania tu bali hata kenya, Uganda, somalia, Burundi na kwingineko.
Badala ya kuweka pesa kwenye mradi wa rufiji , tungewekeza kwenye windmills pale makambako na singida , umeme wa upepo ni umeme usio na mambo mengi na ni wa fasta .
Kwa mujibu wa Cag bwawa la rufiji limejengwa. Kwa kutumia utafiti uliofanywa miaka 50 nyuma , wakati huo rufiji ilikuwa rufiji haswa . Tunakuja kujenga hydro leo wakati mto wenyewe umeshakuwa disturbed na climate changes.
Kihansi pale mlimba wala haina miaka 30 yet inaprove kuwa haiwezi kutosheleza umeme
 
Badala ya kuweka pesa kwenye mradi wa rufiji , tungewekeza kwenye windmills pale makambako na singida , umeme wa upepo ni umeme usio na mambo mengi na ni wa fasta .
Kwa mujibu wa Cag bwawa la rufiji limejengwa. Kwa kutumia utafiti uliofanywa miaka 50 nyuma , wakati huo rufiji ilikuwa rufiji haswa . Tunakuja kujenga hydro leo wakati mto wenyewe umeshakuwa disturbed na climate changes.
Kihansi pale mlimba wala haina miaka 30 yet inaprove kuwa haiwezi kutosheleza umeme
Hiyo ni Sawa, lakini swali langu lingekuwa Je, windmill ingeweza kufua umeme hata cha mvua nyingi?
 
Badala ya kuweka pesa kwenye mradi wa rufiji , tungewekeza kwenye windmills pale makambako na singida , umeme wa upepo ni umeme usio na mambo mengi na ni wa fasta .
Kwa mujibu wa Cag bwawa la rufiji limejengwa. Kwa kutumia utafiti uliofanywa miaka 50 nyuma , wakati huo rufiji ilikuwa rufiji haswa . Tunakuja kujenga hydro leo wakati mto wenyewe umeshakuwa disturbed na climate changes.
Kihansi pale mlimba wala haina miaka 30 yet inaprove kuwa haiwezi kutosheleza umeme
Hiyo ni Sawa, lakini swali langu lingekuwa Je, windmill ingeweza kufua umeme hata cha mvua nyingi?
 
Kwa heshima na taadhima mimi binafsi naheshimu mawazo mbadala ya kuliendea jambo kulitatua ili kuliondosha, kuliboresha au kupata ahueni.

Tangu wimbi la demokrasia ya vyama vingi litue Afrika ikiwemo Tanzania tumeshuhudia uanzishwaji wa vyama vingi ambavyo vinasema kuwa kuna njia rahisi sana ya kufanikisha mambo yetu Afrika na Tanzania kuliko njia hizi zinazotumiwa na vyama tawala vya sasa.

Tanzania bado, lakini Zambia, Uganga, Burundi, Rwanda, Malawi, Kenya, DRC, Ethiopia, Sudani Kusini, Misri, Libya, na mataifa mengine vyama vya upinzani vilifanikiwa kuviondoa vyama tawala na wao kuingia madarakani, LAKINI hata vyama hivyo vipya vya upinzani havikuonyesha na havionyeshi utofauti kwenye maisha ya wananchi wao kuliko maisha yalivyokuwa wakati utawala wa vyama vya zamani. Maendeleo na maisha ya waafrika yanafanana tu bila kujali ni chama za zamani au kipya kinaongoza nchi.

Maswali yangu ni haya hapa:
1. Ni nini hasa kinasababisha Afrika yote ifanane kimaendeleo?

2. Kama vyama vyenu vikipata nafasi ya kushika dola mtafanyaje kuzuia sababu hizi zinazosababisha nchi zote za bara lote la Afrika chini ya uongozi wa vyama vya siasa vikongwe na vile vipya vya upinzani zifanane kimaendeleo?

3. Wapi mtapata soko zuri la mazao (korosho, pamba, mbao), madini, na wanyama wetu tofauti na sasa?

4. Mtafanya nini ili tanzania kuwe na huduma za kutosha za umeme, maji, chakula, afya, elimu, usafirishaji, ulinzi na usalama na ajira kwa vijana?

5. Vyama vya upinzani ni ajira sawa na ajira nyingine? Hii ni baada ya kuona viongozi wa upinzani, wabunge na waanzilishi wa vyama hivi wakilimiki mahoteli, majumba, magari ya kifahari, miradi, mastudio, mashamba, kusomesha watoto wao shule za gharama, shule, nk binafsi badala ya kutumia hela hizo kujenga na kuimarisha vyama vyao au hata pesa hizo kwenda kusaidia wananchi wenye shida kama ya maji, ada, umeme, nyumba, usafiri, afya, nk.

Naomba tafadhali kwa unyenyekevu tu mjibu maswali haya ili tuone thamani halisi ya vyama vya upinzani ili wanaoviunga mkono hivi vyama waione thamani na hasara ya kuviunga mkono. Maana wananchi hawa ndiyo wanaovipigia na kulinda kura za wagombea wa vyama. Wanapenda kujua maisha yao yatatofautianaje na ya sasa au vyama vya upinzani vya mataifa mengine vilivyofanikiwa kushika dola vinakosea wapi?

Je, ruzuku, mahoteli, majumba, magari na mali za viongozi/wabunge wanazozipata baada ya kuungwa mkono na kupigiwa kura na kuchaguliwa zinawanufaishaje watu hawa? Au wanatumika tu kutafutia watu ulaji na maisha kwa familia zao?
Utumbo mtupu umeandika hapa.
 
hebu tukumbushe kidogo, walisema na kushauri nini. maana umeme wetu mwingi ni wa maji ya mvua, na mvua hainyeshi sio tanzania tu bali hata kenya, Uganda, somalia, Burundi na kwingineko.
Kama hujui nini walishauri na wapi basi wewe siyo mtanzania
 
Hakuna jibu hata moja alilotoa kwa mleta mada,alichofanya amekwepa maswali ya mleta mada,hapa ndipo inapojidhihirisha wafuasi wa upinzani aka Pinga Pinga aka wapayukaji/waropokaji kwanini wanaitwa nyumbu,uwezo wao wa kufikiri ni mdogo!!


Mbowe ni gaidi

Tanzania bila ugaidi inawezekana
Utumbo mtupu
 
Hiyo ni Sawa, lakini swali langu lingekuwa Je, windmill ingeweza kufua umeme hata cha mvua nyingi?

Hiyo ni Sawa, lakini swali langu lingekuwa Je, windmill ingeweza kufua umeme hata cha mvua nyingi?
Upepo haujawahi kuisha wala kupungua makambako na singida, so tungekuwa na megawatts kadhaa ambazo hazitegemei maji,
 
Tunachohitaji ni Katiba mpya bora ambayo chama chochote kitakachoshinda kitakuwa kimeshinda bila kura za maruhani, katiba ambayo wananchi watakuwa na nguvu kubwa ya kuwawajibisha watendaji wa serikali, katiba ambayo itatoa uhuru mkubwa hata kwa wapinzani. Kama hatutapata maendeleo katika hali hiyo, hakuna tatizo kabisa kwa sababu ni mbaya zaidi ukiyakosa maendeleo ya vitu na uhuru wako kwa pamoja.
Kwa heshima na taadhima mimi binafsi naheshimu mawazo mbadala ya kuliendea jambo kulitatua ili kuliondosha, kuliboresha au kupata ahueni.

Tangu wimbi la demokrasia ya vyama vingi litue Afrika ikiwemo Tanzania tumeshuhudia uanzishwaji wa vyama vingi ambavyo vinasema kuwa kuna njia rahisi sana ya kufanikisha mambo yetu Afrika na Tanzania kuliko njia hizi zinazotumiwa na vyama tawala vya sasa.

Tanzania bado, lakini Zambia, Uganga, Burundi, Rwanda, Malawi, Kenya, DRC, Ethiopia, Sudani Kusini, Misri, Libya, na mataifa mengine vyama vya upinzani vilifanikiwa kuviondoa vyama tawala na wao kuingia madarakani, LAKINI hata vyama hivyo vipya vya upinzani havikuonyesha na havionyeshi utofauti kwenye maisha ya wananchi wao kuliko maisha yalivyokuwa wakati utawala wa vyama vya zamani. Maendeleo na maisha ya waafrika yanafanana tu bila kujali ni chama za zamani au kipya kinaongoza nchi.

Maswali yangu ni haya hapa:
1. Ni nini hasa kinasababisha Afrika yote ifanane kimaendeleo?

2. Kama vyama vyenu vikipata nafasi ya kushika dola mtafanyaje kuzuia sababu hizi zinazosababisha nchi zote za bara lote la Afrika chini ya uongozi wa vyama vya siasa vikongwe na vile vipya vya upinzani zifanane kimaendeleo?

3. Wapi mtapata soko zuri la mazao (korosho, pamba, mbao), madini, na wanyama wetu tofauti na sasa?

4. Mtafanya nini ili tanzania kuwe na huduma za kutosha za umeme, maji, chakula, afya, elimu, usafirishaji, ulinzi na usalama na ajira kwa vijana?

5. Vyama vya upinzani ni ajira sawa na ajira nyingine? Hii ni baada ya kuona viongozi wa upinzani, wabunge na waanzilishi wa vyama hivi wakilimiki mahoteli, majumba, magari ya kifahari, miradi, mastudio, mashamba, kusomesha watoto wao shule za gharama, shule, nk binafsi badala ya kutumia hela hizo kujenga na kuimarisha vyama vyao au hata pesa hizo kwenda kusaidia wananchi wenye shida kama ya maji, ada, umeme, nyumba, usafiri, afya, nk.

Naomba tafadhali kwa unyenyekevu tu mjibu maswali haya ili tuone thamani halisi ya vyama vya upinzani ili wanaoviunga mkono hivi vyama waione thamani na hasara ya kuviunga mkono. Maana wananchi hawa ndiyo wanaovipigia na kulinda kura za wagombea wa vyama. Wanapenda kujua maisha yao yatatofautianaje na ya sasa au vyama vya upinzani vya mataifa mengine vilivyofanikiwa kushika dola vinakosea wapi?

Je, ruzuku, mahoteli, majumba, magari na mali za viongozi/wabunge wanazozipata baada ya kuungwa mkono na kupigiwa kura na kuchaguliwa zinawanufaishaje watu hawa? Au wanatumika tu kutafutia watu ulaji na maisha kwa familia zao?
 
Upepo haujawahi kuisha wala kupungua makambako na singida, so tungekuwa na megawatts kadhaa ambazo hazitegemei maji,for
Upepo haujawahi kwisha 24/7 for 365
 
Tunachohitaji ni Katiba mpya bora ambayo chama chochote kitakachoshinda kitakuwa kimeshinda bila kura za maruhani, katiba ambayo wananchi watakuwa na nguvu kubwa ya kuwawajibisha watendaji wa serikali, katiba ambayo itatoa uhuru mkubwa hata kwa wapinzani. Kama hatutapata maendeleo katika hali hiyo, hakuna tatizo kabisa kwa sababu ni mbaya zaidi ukiyakosa maendeleo ya vitu na uhuru wako kwa pamoja.
Mbona Katiba kama hizo kwenye baadhi ya nchi za kiafrika? Kule South Africa hata Rais anafungwa jela, lakini wote tunalia wote tu kwa umaskini
 
Back
Top Bottom