Vyama vya Upinzani, unganeni na CHADEMA , Waachieni CCM uchaguzi wao wenyewe , unganeni kupigania Hatima yenu ya Sasa na Baadae !!

Vyama vya Upinzani, unganeni na CHADEMA , Waachieni CCM uchaguzi wao wenyewe , unganeni kupigania Hatima yenu ya Sasa na Baadae !!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Ninawahakikishia, Siku mtakayotoa Kauli Moja tu ya kwamba, HAMTASHIRIKI UCHAGUZI WOTE BILA MABADILIKO , mchakato waabadiliko hayo utaanza mara Moja .

Waachieni CCM uchaguzi wao, wajifanyie Kampeni wao, wajichague wenyewe !!.



Achanane na Hadaa za muda mfupi za CCM , kwamba zitakupa Ruzuku , zitakupa Wabunge Kadhaa na madiwani Kadhaaa..KATAENI KATA KATA.

Msitanguliza matumbo.

Nina hakika mabadiliko katika Uchaguzi, Si tu faida Kwa CHADEMA , Bali Kwa Vyama vyote vya Upinzani TZ.
 
Ninawahakikishia, Siku mtakayotoa Kauli Moja tu ya kwamba, HAMTASHIRIKI UCHAGUZI WOTE BILA MABADILIKO , mchakato waabadiliko hayo utaanza mara Moja .

Waachieni CCM uchaguzi wao, wajifanyie Kampeni wao, wajichague wenyewe !!.



Achanane na Hadaa za muda mfupi za CCM , kwamba zitakupa Ruzuku , zitakupa Wabunge Kadhaa na madiwani Kadhaaa..KATAENI KATA KATA.

Msitanguliza matumbo.

Nina hakika mabadiliko katika Uchaguzi, Si tu faida Kwa CHADEMA , Bali Kwa Vyama vyote vya Upinzani TZ.
Hawawezi.

Viongozi wengi sana wa Vyama vya Siasa vinavyoitwa kuwa ni Vyama vya Upinzani ni Mamluki.
Wametumwa makusudi kwenda kusajili Vyama vya Siasa kwa nia ovu ya kufanya Ghiriba. Wanafanya Ghiriba za kiutawala katika Siasa ili ionekane kwamba nchini Tanzania kuna Utawala wa nchi wenye Demokrasia kwa kuruhusu Mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa. Hizo ni Ghiriba na Geresha za kisiasa.
 
Kuna upinzani bandia siku hizi, ngumu kuwatambua
 
Back
Top Bottom