Uchaguzi 2020 Vyama vya upinzani vijifunze ujazaji fomu kwa wagombea wao kutoka CCM

Uchaguzi 2020 Vyama vya upinzani vijifunze ujazaji fomu kwa wagombea wao kutoka CCM

Pointi yangu kuu hapa ni chama kuwasaidia wagombea wake kwenye mambo haya.

Hili linaweza kuepusha hata wale wanao nunuliwa na kukosea kujaza form kwa makusudi.
Please tusipotezeane muda bana, mbona mgumu kuelewa wewe! Mbona Ngwajima aliyeandika Jina lake ni Askofu hajaenguliwa? Wako wagombea wengi tu wa CCM wamebandika picha za kipemara, ubatizo na harusi kwenye fomu mbona hawajaenguliwa???
 
Kwa vyo vyote
1. Ujazaji wa fomu hauwachagulii wapiga kura wawakilishi wanaowahitajika .
2. Maana ya uchaguzi ni fursa ya hiari ya kura yako kuamua unayempima kuwa anafaa.
2. Aliyeteuliwa ni uwakilishi wa aliyemteua si uchaguzi wa wapiga kura.
4. Nakubaliana na wewe kuwa CCM walijitayarisha kuhumu uchaguzi kwa kuwaengua washindani. Wenye akili wanajua hawangefua dafu kwa wapiga kura.

KUNAPOKOSEKANA DHAMIRA YA KUTENDA HAKI, CCM HUTANGAZA HUJUMA ZAO KUWA WANAPENDWA NA WAPIGA KURA NA KUWA NI HAKI YAO. WANAPOBAKI MADARAKANI KWA NGUVU YA DOLA WANASHINDWA KWENYE MIPANGO NA MIKAKATI INAYOTARAJIWA NA WANANCHI.
 
Kwa vyo vyote
1. Ujazaji wa fomu hauwachagulii wapiga kura wawakilishi wanaowahitajika .
2. Maana ya uchaguzi ni fursa ya hiari ya kura yako kuamua unayempima kuwa anafaa.
2. Aliyeteuliwa ni uwakilishi wa aliyemteua si uchaguzi wa wapiga kura.
4. Nakubaliana na wewe kuwa CCM walijitayarisha kuhumu uchaguzi kwa kuwaengua washindani. Wenye akili wanajua hawangefua dafu kwa wapiga kura.

KUNAPOKOSEKANA DHAMIRA YA KUTENDA HAKI, CCM HUTANGAZA HUJUMA ZAO KUWA WANAPENDWA NA WAPIGA KURA NA KUWA NI HAKI YAO. WANAPOBAKI MADARAKANI KWA NGUVU YA DOLA WANASHINDWA KWENYE MIPANGO NA MIKAKATI INAYOTARAJIWA NA WANANCHI.
Nyinyi ni shida!! Mtabaki hivyo hivyo mnafundishwa cha kufanya lakini mapovu tuuu!!
 
Unacho ongea hakina uhalisia nipo serikalini ninafahamu hii michezo vizuri,mengi siwezi kusema lakini jua huu ndio ukweli.

Kingine ni kuwa wagombea wengi wa upinzani wana uelewa sana na wengi wamesoma tofauti na wa CCM
 
Umewapa somo zuri sana lakini wanasaccos na timu yao hawatakuelewa bali wataleta mqpovu tu.
Tatizo hawa ndugu zangu ni wabishi kweli. CCM inamfumo mzuri sana wa kitaasisi, lakini hawa ndugu hata ukiwaambia jengeni ofisi za maana ili muachane na habari za kufanyia vikao mlimani city na mahotelini hawataki kabisa kusikia.
 
Kwa vyo vyote
1. Ujazaji wa fomu hauwachagulii wapiga kura wawakilishi wanaowahitajika .
2. Maana ya uchaguzi ni fursa ya hiari ya kura yako kuamua unayempima kuwa anafaa.
2. Aliyeteuliwa ni uwakilishi wa aliyemteua si uchaguzi wa wapiga kura.
4. Nakubaliana na wewe kuwa CCM walijitayarisha kuhumu uchaguzi kwa kuwaengua washindani. Wenye akili wanajua hawangefua dafu kwa wapiga kura.

KUNAPOKOSEKANA DHAMIRA YA KUTENDA HAKI, CCM HUTANGAZA HUJUMA ZAO KUWA WANAPENDWA NA WAPIGA KURA NA KUWA NI HAKI YAO. WANAPOBAKI MADARAKANI KWA NGUVU YA DOLA WANASHINDWA KWENYE MIPANGO NA MIKAKATI INAYOTARAJIWA NA WANANCHI.
Ni kweli, ideally mambo yanapaswa kuwa hivyo, lakini kwenye mazingira halisi hali ndio iko hivi kama tuliyonayo, sasa kwanini chama makini kifanye uzembe na kumpa mtesi wake nafasi ya kukiadhibu?

Lakini pia kuna wagombea wa upinzani wanatumia mwanya huo kuchukua pesa upande wa pili na kujaza form vibaya ili waenguliwe.
 
Tatizo siyo kujaza ni nia ovu ya serikali ya CCM na jeshi la polisi,watu wanaporwa fomu ndo ujue tatizo siyo kujaza
 
Unaposema wapinzani wajifunze kwenye hili unakosea kwani kuna uhakika gani kama uchaguzi mwingine watakuja na mbinu hii tena ya kuweka complications kwenye form?
 
Unaposema wapinzani wajifunze kwenye hili unakosea kwani kuna uhakika gani kama uchaguzi mwingine watakuja na mbinu hii tena ya kuweka complications kwenye form?
Hii mbinu itatumika tena 2025, lakini pia kuna mbinu mpya zitaibuka. Wapinzani wajijenge kitaasisi zaidi na wawe na intelijensia ya kuyang'amua haya mapema.
 
Kwani wapinzani wanajielewa basi!

Lissu wakati yuko kwenye matibabu alitamka kwa kinywa chake kwamba chama chao kiwekeze kwenye kujaza fomu kwani wagombea wao kwa miaka mingi hawawezi kujaza fomu. Leo hii Lissu huyo huyo ambaye anajua udhaifu wao na hawajaufanyia kazi, analalamika eti Tume inawaonea kuwakata kwa kukosea kujaza fomu! Alafu ndiyo tumpe urais, labda wa TLS!

Wakati wa uchaguzi wa wenyeviti wa mitaa CCM waliwekeza hivyo hivyo kwa kutuma mawakili Tanzania nzima kufundisha jinsi ya kujaza fomu, wakati wa upinzani hata wagombea wanawatafuta mpaka dakika ya mwisho, sembuse kuwafundisha kujaza fomu!
 
Naona unafanya juhudi kubwa kuwahamasisha “wapinzani” wakimbize kivuli chao wenyewe. You certainly look forward to savoring the fun of watching the cat chasing its own tail while the mouse escapes with morsels of cheese!

Yaani unawaaminisha wapinzani eti ni kiasi tu cha wao kuweka “umakini” kwenye ujazaji wa forms zenye mitego ili “safari ijayo” wasienguliwe kwa wingi! Mitego kwenye demokrasia? Inawekwa na NEC ya serikali ya CCM? Kwa lengo gani? Kweli kuna mwisho wa mitego aina hii? Hapo ndipo unapotakiwa kuwa mjadala wa GTs hapa JF. Sio namna ya kujaza forms za uchaguzi. Hilo halijawahi kuwa suala tangu tupate uhuru.

Yaani uchaguzi mkuu leo hii unageuzwa kuwa kama mchezo wa SUDOKU? Means CCM has finally succeeded in transforming the good old TZ into a zombie land!
 
Mi
Tume ni ccm utake usitake, kosa umesema ni tecnical la mgombea wa njombe na kawekewa pingamizi sasa nec inasubiri nini kumtoa?
nadhani ifike mahali upinzani ujifunze kuwa andaa wagombea wake ili kutokuja kuviziana kwenye ushindi wa mezani na kuishia kulalamikia mpingamizi kutupiliwa mbali
 
Usiwajaze watu uongo ili kujenga hoja ya kuhalalisha njama na maovu yanayofanywa na CCM! Maelekezo yaliyopo kwenye zile form yanajitosheleza na yanaeleweka kabisa wala haitaji Semina wala uzoefu! Nani hajuwi kama vimeshafanywa visvyoeleweka??

Acheni kujichanganya mseme CCM ilisambaza wanasheria Nchi nzima!, Mara mseme walitoa semina! Mara walipelekwa wilayani! Wananchi sio wajinga wanelewa wazi kuwa kuna mitego inawekwa kwenye hizo form ili mgombea akijaza tu, hachomoki kwenye pingamizi au anaenguliwa kwa madai ya kukosea kujaza form!

Kuna mapingamizi mengine yametengenezwa na watu wasio wagombea lakini kwa maelekezo na ushirikiano na wanaoshughulikia hizo form alafu mtu unatoka hadharani kutamka eti hawakupewa semina na kusimamiwa! Hivi kuna vyama vinavyofanya shughuli zao kwa umakini kama wapinzani hususani CHADEMA??

Kama ujazaji wa hizo form ni lazima kusomea sheria , basi hata hao waliopita bila kupingwa hawana vigezo!

Sasa unafikiri kwa nn polepole amepeleka wanasheria zenji kwa ajili ya kuwajazia form wagombea wao ? Maana yake form hizo zimeaandaliwa kwa ajili ya wapinzani wakosee hata huyo mwanasheria peke yake hawezi maana si mitego ya kiufundi ni ya makusudi lakini kwa nini iwe hivyo? Kigezo cha kukosea herufi si cha kumuengua ni kurkebisha tu vipo vigezo vya muhimu
 
Sasa unafikiri kwa nn polepole amepeleka wanasheria zenji kwa ajili ya kuwajazia form wagombea wao ? Maana yake form hizo zimeaandaliwa kwa ajili ya wapinzani wakosee hata huyo mwanasheria peke yake hawezi maana si mitego ya kiufundi ni ya makusudi lakini kwa nini iwe hivyo? Kigezo cha kukosea herufi si cha kumuengua ni kurkebisha tu vipo vigezo vya muhimu

Sasa nimekuelewa uwe makini unaposoma habari usikurupuke kama kijani
 
Ni kweli, ideally mambo yanapaswa kuwa hivyo, lakini kwenye mazingira halisi hali ndio iko hivi kama tuliyonayo, sasa kwanini chama makini kifanye uzembe na kumpa mtesi wake nafasi ya kukiadhibu?

Lakini pia kuna wagombea wa upinzani wanatumia mwanya huo kuchukua pesa upande wa pili na kujaza form vibaya ili waenguliwe.
Mfumo wa kuengua wagombea ni wa serikali iliyo madarakani. Tutaupigia keller mpaka wajione walivyo wapumbavu. Naamini hata kwenye sanduku la kura kukataa mfumo huu kandamizi kutawekwa alama.
 
Back
Top Bottom