Vyama vya upinzani vimekubali maendeleo hayana chama

Vyama vya upinzani vimekubali maendeleo hayana chama

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Fi45oWBWAAIE0-2.jpg
Fi45pQyWQAAeqYX.jpg


Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.

Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
 
View attachment 2432603View attachment 2432604

Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.

Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
ccm inawajinga wengi sana mnavalisha wapumbavu wenu huko lumumba t shirts za chadema na kutafta bendera za chadema halafu mnapeleka kwenye mikutano yenu ya kijinga mkizan mtahadaa watanzania kuunga mkono serikali ya kipuuz iliyofail kila kitu.
 
View attachment 2432603View attachment 2432604

Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.

Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
IMG_20221109_221854.jpg
 
ccm inawajinga wengi sana mnavalisha wapumbavu wenu huko lumumba t shirts za chadema na kutafta bendera za chadema halafu mnapeleka kwenye mikutano yenu ya kijinga mkizan mtahadaa watanzania kuunga mkono serikali ya kipuuz iliyofail kila kitu.

Huyo ni Rais wa Tanzania, tuna haki ya wote kumshangilia
 
View attachment 2432603View attachment 2432604

Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.

Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
Vaa t-shirt kisha beba bendera
 
ccm inawajinga wengi sana mnavalisha wapumbavu wenu huko lumumba t shirts za chadema na kutafta bendera za chadema halafu mnapeleka kwenye mikutano yenu ya kijinga mkizan mtahadaa watanzania kuunga mkono serikali ya kipuuz iliyofail kila kitu.
Pole sana ndungu yangu inaonekana una makasiliko makubwa na serikali yako lakini nikwambie tu hao ni chadema wanaojielewa wanaojua maendeleo hayana chama kama unamsikilizaga Rais Samia Suluhu utagundua kuwa anasisitiza tuungane tuwe wamoja kwasababu tunajenga Tanzania
 
Tutaaminije kuwa hayo ni mapokezi ya SSH!!??
Kwanini usiamini ndugu leo Rais Samia Suluhu alikua mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya ukimwi Duniani maadhimisho hayo yamefanyika mkoani Lindi
 
Huyo ni Rais wa Tanzania, tuna haki ya wote kumshangilia
Unaakili sana aisee hiki kitu UFIPA wanajisahaulisha kwamba Rais ni wa kila mtu na sio wa chama wanachadema wa Lindi wanajua hilo ndio maana wameungana kumpokea Rais Samia Suluhu
 
Vaa t-shirt kisha beba bendera
Ndio akili yako ilipoishia lakini jua kwamba Rais Samia Suluhu anaendelea kuweka record ya kupendwa zaidi na wananchi wake kila ziara yake anapokelewa na mamilioni ya watanzania
 
Mbona yule wa dodoma mlimpiga na matofari? Hakuna mpinzani akili tu za kijinga za Africa kuvishana upuuzi wakijua watanzania ni wajinga
 
Mbona yule wa dodoma mlimpiga na matofari? Hakuna mpinzani akili tu za kijinga za Africa kuvishana upuuzi wakijua watanzania ni wajinga
Huu ni utawala wa Rais Samia Suluhu usikalili
 
Pole sana ndungu yangu inaonekana una makasiliko makubwa na serikali yako lakini nikwambie tu hao ni chadema wanaojielewa wanaojua maendeleo hayana chama kama unamsikilizaga Rais Samia Suluhu utagundua kuwa anasisitiza tuungane tuwe wamoja kwasababu tunajenga Tanzania
Huna akili hata moja
 
Mbona hizo nyumba wanazoishi haziendani na maendeleo
Lini umeona Rais Kajenga nyumba za wananchi serikali inachokifanya ni kuwasaidia wananchi kuinuka kiuchumi kupitia mikopo ya gharama nafuu pia kwa familia maskini kupewa pesa za TASAF serikali ya Rais Samia Suluhu imejipanga kwa hali na mali kuleta maendeleo
 
Wakuu mimi mwenyewe nilikua nipo mnazimmoja wale vijana wanafahamika wote ni ccm .......au kama na wewe ulikuwa mnazimmoja bisha baada ya kuongea RC akaja mbunge kisha mbarawa na kisha wa tamisemi waziri..me mwenyewe shahidi mkuu wale vijana waliobeba bendera za act na chadema ni wa ccm
 
Second version ya kuunga juhudi baada ya ile ya dhalimu.
 
Back
Top Bottom