ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Pole asee me nimefika mingoyo saa sita najua kila kitu....mpaka changamoto ya mizani inavyozungumziwa mimi nipo kama wewe ulikuwelo mnazi na pengine ni wa system aidha mwandishi nakupa ukweli wale vijana ni wa ccm...me mwenyewe ccm ila kwa hili lazima niwe mkweliWe wasema
Asante kwa taarifaWakuu mimi mwenyewe nilikua nipo mnazimmoja wale vijana wanafahamika wote ni ccm .......au kama na wewe ulikuwa mnazimmoja bisha baada ya kuongea RC akaja mbunge kisha mbarawa na kisha wa tamisemi waziri..me mwenyewe shahidi mkuu wale vijana waliobeba bendera za act na chadema ni wa ccm
Mkuu yaani ingekuwa tuna uwezo wa kurekodi kila kitu basi ningeeweka hio video hapa ....nashuhudia kwa jina la mwenyeziMungu japo mimi ni mtumishi wa umma lazima niunge mkono ccm tutekeleze ilani ila kwa hili hapana leo ndo nineamini huwa wanawekwa.nilikuwa nimekaa pale sakina pub kwa wakazi wa mnazi wanapajua...wakaja wacheza mzikinwa ccm wamevaa jezi zimeandikwa samia karibu kusini...kisha hao vijana wa mchongo wakapita barabarani wakiwa wamevaa jezi za act na chadema na bendera na bango..mdada fulani wa ccm akaniambia wale wote ni ccm..kwenye kubutubia mbunge akasema eti mpk wapinzani wanaunga mkono serikali blah blahAsante kwa taarifa
View attachment 2432603View attachment 2432604
Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.
Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
Huyo ni Rais wa Tanzania, tuna haki ya wote kumshangilia
View attachment 2432603View attachment 2432604
Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.
Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
Pole sana ndungu yangu inaonekana una makasiliko makubwa na serikali yako lakini nikwambie tu hao ni chadema wanaojielewa wanaojua maendeleo hayana chama kama unamsikilizaga Rais Samia Suluhu utagundua kuwa anasisitiza tuungane tuwe wamoja kwasababu tunajenga Tanzania
Hao Ni CCM wamevaa nguo za chadema danganya totoView attachment 2432603View attachment 2432604
Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.
Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
Kamanda heche alienda na michongo yake imesheheni matusi kwa Nape; Rais kaenda na staha wafuasi wake heche wakamkaribisha. Sijui kama ni wa digital au organise?View attachment 2432603View attachment 2432604
Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.
Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
Unayajua mamilioni ya watanzania wewe?? Hopeless insane kabisaNdio akili yako ilipoishia lakini jua kwamba Rais Samia Suluhu anaendelea kuweka record ya kupendwa zaidi na wananchi wake kila ziara yake anapokelewa na mamilioni ya watanzania
umejaza comments zako nying za kijinga kila mtu unamjibu ili ionekana uzi umechangiwa na wengi kumbe poyoyo moja kutoka lumumba linalopewa vihela vya bando kutoka walamba asali kupitia tozoNdio akili yako ilipoishia lakini jua kwamba Rais Samia Suluhu anaendelea kuweka record ya kupendwa zaidi na wananchi wake kila ziara yake anapokelewa na mamilioni ya watanzania
mjumbe wa kamati kuu heche alienda siku mbili mbwiga wa ccm wote wameenda kujipima uzito wa heche na mama yaoKamanda heche alienda na michongo yake imesheheni matusi kwa Nape; Rais kaenda na staha wafuasi wake heche wakamkaribisha. Sijui kama ni wa digital au organise?
Hilo halina Mjadala, lakini hao Ndugu zangu wa Lindi wameshindwa hata kupiga Bati na ndio Ngome ya CCM, sasa ndio nimeamini kuwa CCM huwa inastawi kwenye Mafukara.Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania
Samia nampenda na aliahidi November hii atafungulia Siasa za majukwaani za staha lakini naona kigugumizi sijui kimetoka wapi December hiyo inakuja hebu tungoje.Rais wa CCM . Anakataza wengine wasifanye siasa yeye anafanya.
Wapinzani wanakubali maendeleo ya mama acha makasiliko
Lini umeona Rais Kajenga nyumba za wananchi serikali inachokifanya ni kuwasaidia wananchi kuinuka kiuchumi kupitia mikopo ya gharama nafuu pia kwa familia maskini kupewa pesa za TASAF serikali ya Rais Samia Suluhu imejipanga kwa hali na mali kuleta maendeleo
View attachment 2432603View attachment 2432604
Wafuasi wa vyama vikuu vya upinzani nchini CHADEMA na ACT Wazalendo Mkoani Lindi wameungana na wenzao wa CCM pamoja na wananchi katika mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Wafuasi hawa wanajua ya kuwa maendeleo hayana chama, maana Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuwaboreshea sekta ya afya, sekta ya elimu, sekta ya kilimo pia ameboresha miundombinu katika mkoa wao. Hivyo wana kila sababu ya kumkaribisha Rais wetu mpendwa kwa furaha.
Kwa mambo yanavyoenda inaonekana Rais Samia Suluhu anaenda kuvunja record kwa kuwa Rais wa kwanza kupendwa Tanzania.
Samia nampenda na aliahidi November hii atafungulia Siasa za majukwaani za staha lakini naona kigugumizi sijui kimetoka wapi December hiyo inakuja hebu tungoje.
Subira huvuta kheri.
Kamanda heche alienda na michongo yake imesheheni matusi kwa Nape; Rais kaenda na staha wafuasi wake heche wakamkaribisha. Sijui kama ni wa digital au organise?