Vyama vya Upinzani vinajiaandaje kwa uchaguzi wa 2025?

Vyama vya Upinzani vinajiaandaje kwa uchaguzi wa 2025?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tangu chaguzi za vyama vyingi za 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, na 2020 sababu kubwa wanayotuambia wapinzani kama sababu ya kushindwa chaguzi ni kuilalamikia TUME ya Uchaguzi kwamba sio huru hivyo haiwatendei haki.

Je, 2025 kutakuwa na tume ya uchaguzi iliyo tofauti na zilizotangulia? Kama hakuna mtaipataje na lini?

Mbona tunaisikia sauti ya Mbowe TU na CHADEMA, wengine mbinu zenu za kupata tume huru ni zipi?
 
Uchaguzi (uchafuzi) wa 2025 chini ya bibi ushungi utakuwa sawa na ule wa 2020 chini ya jiwe
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Upinzani wetu feki, wanataka kujaza tu vitambi vyao, akina Heche
Natofautiana na wewe. Binafsi naona wananchi ndiyo wamedoda kama kiporo Cha viazi. Na wapinzani ni sehemu ya wananchi. Hivyo lawama zuende kwa wananchi.
 
Wapinzani wamekuwa wakiweka wagombea vilaza, afu wakishindwa lawama zinaenda kwa tume.
 
KATIBA, KATIBA MPYA, KATIBA MPYA
Nini shida? Kwa ajili ya kizazi kijacho pia!
 
Tangu chaguzi wa vyama vyingi za 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, na 2020 sababu kubwa wanayotuambia wapinzani kama sababu ya kushindwa chaguzi ni kuilalamikia TUME ya UCHAGUzi kwamba sio huru hivyo haiwatendei haki...
Msimamo wa CHADEMA NI uleule, hawashiriki chaguzi danganya toto
 
Nafassi ni kubwa sana wakijipanga mama kavunja tumaini la watz keshachemka mapema
 
Nafassi ni kubwa sana wakijipanga mama kavunja tumaini la watz keshachemka mapema
Askofu Gwajima hahubiri bali anapiga kampeni dhidi ya mama kwa 2025. Yaani ni heri mbinu ya Gwajima kuliko vyama vya upinzani vinasubiria chorus ya tume mbaya baada ya uchaguzi, sasa hivi wametulia wanakula nyani wala ndizi na jibini
 
Ccm labda waibe tena awatoboi
CCM looks for leaders with intelligence, who are supportive, grounded and encompasses a shared set of values, Chadema cares only for personalities and not leaders. Always electing personalities who are hot, wild and exciting.

Chadema look for instant gratification, but CCM is in it for the long haul.
 
CCM looks for leaders with intelligence, who are supportive, grounded and encompasses a shared set of values, Chadema cares only for personalities and not leaders. Always electing personalities who are hot, wild and exciting.

Chadema look for instant gratification, but CCM is in it for the long haul.
Fatigue is for everyone, no everlasting entity
 
Back
Top Bottom