comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Siku nne zijazo wamarekani watapiga kura kuchagua rais na wawakilishi wao. Mwisho wa uchaguzi ni matokeo na namna yatakavyopokelewa na jamii. Vyombo vya habari vya Marekani vimeanza kuandika kwa namna ya kuwapa jamii yao ya mwenendo wa uchaguzi katika hatua zake za mwisho na kutangazwa kwa matokea na washindi. Vyombo hivyo vinawataka waamerika wawe watui wa subira. Hii ni tofauti na vyombo vyetu hapa na namna tunavyoielekeza jamii- hakuna subira.
www.yahoo.com
How to watch election night: Poll closing times and key swing states
The first state polls close Nov. 5 at 6 and 7 p.m. ET, while the final state polls close in Hawaii and most of Alaska at midnight ET.