Vyombo vya dola endeleeni kuwa macho. Kuna baadhi ya watanzania wenzetu wamedhamiria kuiingiza Nchi katika machafuko ya kisiasa

Vyombo vya dola endeleeni kuwa macho. Kuna baadhi ya watanzania wenzetu wamedhamiria kuiingiza Nchi katika machafuko ya kisiasa

Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
Mara ngapi ushindi unanyang'anywa na hakuna machafuko, marangapi watu wananyimwa haki ya kuchagua na kuchaguliwa na hakuna machafuko, hoja hii ni ya mtu asiyependa watu wote wapate haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
 
Hakuna wa kuleta vurugu hapa.Vyama vyote vya upinzani vina watu wetu na kila walipangalo linajulikana hata kabla wino kukauka.CCM itashinda na watakaoleta hata dalili ya kukaidi wanaweza kukosa hata uhai.Nasoma sana kuhusu torture na nisingeomba yanikute nikiwa hai na ningeomba wananchi wenzangu hata kama umedhulumiwa usishindane na dola hasa kipindi hiki.Uchaguzi serikali za mitaa umepita na CCM imeshinda kwa asilimia kubwa na maisha yanaendelea na October yatatokea hayo na maisha yataendelea.Sisi si watu wa vurugu na tuendelee hivyo hivyo.
Nguvu ya umma ikiamua hakuna cha kushindana na Dolaccm lazima itashindwa kule Sudan misiri Tunisia Polisi walipiga waliua wee mwishowe wananchi wakaibuka kuwa washindi, usiombe wananchi wajitolee kukataa udikiteta wenu lazima watashinda tu
 
Nchi Ipo Salama, Wala Hakuna Lolote Nje Ya Utaratibu Linawezekana Eti Kufanywa Na Wasio Na Mapenzi Mema
 
Nchi Ipo Salama, Wala Hakuna Lolote Nje Ya Utaratibu Linawezekana Eti Kufanywa Na Wasio Na Mapenzi Mema
Wakurugenziccm kwenda kuwatangaza watu ambao siyo washindi siyo chaguo la wapiga kura ndiyo watahatarisha Amani ya Nchi
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
UNAWEZAJE WEWE KUJUA JAMBO HILO?

KIASI KWAMBA WANAUSALAMA WASIJUE?? HALAFU ETI WEWE UJUE??

NENDA KAWADANGANYE WAJINGA....👊👊👊👊😁😁😁😂😂
 
Tumechoka kuporwa ushindi na tume hii ya ccm. Tunahitaji tume huru ya uchaguzi kwa amani, maadamu ccm haiko tayari tume huru ya uchaguzi ipatikane. Basi acha tutumie njia nyingine ambayo mtajua dhuluma hailipi.
Kwa Tz hii, hajawahi kuzaliwa mtu wa kuyatoa maisha yake kufanya Jambo kama hilo
 
Pesa za viwanda pesa za kujenga Reli mmenda kukopa standard bank, huku mnachezea pesa za walipa kodi kuwanunua wabunge kufanya mambo yasiyo na tija kwa Taifa
nyinyi hamna wabunge wenye malengo ya kushika hatamu,bali mnapataga wabunge na viongozi wa chama wenye njaa.Chadema ni ngazi ya kupatia umaarufu.ukishakua maarufu unasepa.
CCM ndo chama kinachomoliki vyanzo vya mapato vya uhakika Tanzania.kinasajili mchezaji yeyote atakae hitajika.
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu. Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao. Jambo la hatari sana!

Kwa viashiria hivyo, naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.

Mungu ibariki Tanzania.
Acha woga we ndege wa kijani. Machafuko yanaletwa na ccm na vyombo vyake hivyo hivyo unavyotaja
 
nyinyi hamna wabunge wenye malengo ya kushika hatamu,bali mnapataga wabunge na viongozi wa chama wenye njaa.Chadema ni ngazi ya kupatia umaarufu.ukishakua maarufu unasepa.
CCM ndo chama kinachomoliki vyanzo vya mapato vya uhakika Tanzania.kinasajili mchezaji yeyote atakae hitajika.
Usajili wa kumtishia mtu kuwa akikataa atapigwa risasi kama Tundu lisu ndiyo umewapelekea wengu kuogopa wakanunuliwa kwenda huko wazee wa ndiyoo, kusajili wachezaji huku ukiwabambikia kesi timu yao ya zamani huo ni ushamba mkubwa sana
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu. Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao. Jambo la hatari sana!

Kwa viashiria hivyo, naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.

Mungu ibariki Tanzania.
IlaWasukuma, mna taabu sana. Hofu yote hiyo ni ya nini_? Hii nchi ilikuwa na amani kabla yenu, itaendelea kuwa na amani hata baada yenu! Kubwa fanyeni kz inavyopaswa .
 
We ulisikia wapi
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu. Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao. Jambo la hatari sana!

Kwa viashiria hivyo, naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu. Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao. Jambo la hatari sana!

Kwa viashiria hivyo, naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.

Mungu ibariki Tanzania.
Jina lako ni tusi na mawazo yako pia
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu. Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao. Jambo la hatari sana!

Kwa viashiria hivyo, naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.

Mungu ibariki Tanzania.
Mwanasiasa wa kwanza anayetoa maneno yenye viashiria vya uvunjifu wa amani ni Mwenyekiti wa CCM, adhibitiwe ama ashughulikiwe kabisa!
 
Back
Top Bottom