Vyombo vya Dola, mdhibitini Barbara la sivyo ataleta sintofahamu kubwa huko mbeleni

Vyombo vya Dola, mdhibitini Barbara la sivyo ataleta sintofahamu kubwa huko mbeleni

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
aggysimbasportsclub~p~Cfb6XH-jzO_~1.jpg

Huwezi kuongelea siasa ya nchi yetu Tanzania pasi na kuwepo vilabu vya Yanga na Simba na huo ndiyo ukweli.

Sasa ndani ya Taasisi ya Simba kuna huyo binti Babra ambaye ndiye CEO wa klabu ile hakika ndani ya muda mchache ameshagombana na kila aliyehisi ni kirusi kwenye nafasi yake!

Utulivu haupo tena ndani ya Simba kwa sababu ya roho ya chuki ya binti huyo huku akijawa na majivuno yasiyo na staha hata kwa watu walio mzidi umri.

Ieleweke utulivu ndani ya Simba na Yanga ndiyo utulivu wa siasa za nchi yetu sasa anapotokea mtu mmoja anayetaka kusababisha taharuki ndani ya vilabu vyetu akamewe mara moja!

Babra hafai kuongoza Taasisi kubwa kama Simba ama Yanga kwa sababu hana uvumilivu na ni muumini wa kukomoa.
 
Sasa mbona hakuna uhusiano wowote ule kati ya vyombo vya dola na u CEO wa huyo Barbara! Amefanya kosa gani la jinai?

Naona Moo na Barbara wanawavuruga kweli baadhi ya wanachama/mashabiki!

Na kosa lenu kubwa ni kuto kukubaliana na ukweli mchungu juu ya timu yenu kwa sasa kumilikiwa na Moo! .
 
Kiasili huyo mdada siyo damu ya kiswahili so,hana mambo ya uswahili na anachohitaji ni simba sc kujiendesha kama club, taasisi na kufuata misingi na miiko ya kibiashara kitu ambacho sisi wabongo hatukitaki na hatukiwezi. Haiwezekani mtu aingize fedha ninyi muingize maneno, siasa, uchawi/ ushirikina na uswahili halafu mseme anaharibu club.

By the way, usichokifahamu kuhusu soka la Tanzania hasa kwa vilabu by Simba na Yanga ni kama matawi ya c.c.m na serikali yake; wakati mwingine c.c.m na serikali yake wao ndiyo hupanga hata matokeo ya Simba na Yanga na ndani ya hizo club kuna wazee maalum kwaajili ya ushirikina wao wanajiita kamati ya ufundi

Pia, kwenye usajili wa club hizi wakati mwingine kuna wazee huwa wanawafuata wachezaji pembeni na kuwaomba rushwa ili wawapigie promo' wapate kusajiliwa au kupangwa kwenye mechi

Hizi takataka zote BaBrah hakubaliani nazo kwa kuwa haziwezi kutengeneza future nzuri kwenye soka!
 
jungu la kane hili. Huyu dada mama Gonza hataki kabisaa kusikia mambo ya ushirikina yanashika hatamu. sioni kwa nini hawa washirikina wanataka kuishikisha hatamu SSC kishirikina. mpira ni sanaa na kipaji cha saikolojia hivyo hakina tofauti na kusanaa ya kujua kuchora.

Mtu akiujua mpira hiyo ni heaven gift ushirikina hauingilii kabisaa kipaji cha soka. Barbara gonzalel yupo gado na nitamtetete bila mwisho ingawa mimi sio mshabiki wa simba nataka mashabiki wa simba wakue kisaikolojia.
 
jungu la kane hili. Huyu dada mama Gonza hataki kabisaa kusikia mambo ya ushirikina yanashika hatamu. sioni kwa nini hawa washirikina wanataka kuishikisha hatamu SSC kishirikina. mpira ni sanaa na kipaji cha saikolojia hivyo hakina tofauti na kusanaa ya kujua kuchora.

Mtu akiujua mpira hiyo ni heaven gift ushirikina hauingilii kabisaa kipaji cha soka. Barbara gonzalel yupo gado na nitamtetete bila mwisho ingawa mimi sio mshabiki wa simba nataka mashabiki wa simba wakue kisaikolojia.
Simba waipowasha moto soth yeye alikuwa wapl
 
Mwache afanye kazi , watu naona waliozoea kula bure hali ngumu...
 
Wapigaji bana , Simba ya sasa siyo ya enzi zile , mambo yanabadilika kadri siku zinavyoenda.

Tafuteni Kazi nyingine acheni Barbara afanye kazi.
 
Babra ataua watu maana sio kwa milio hii dah!! Mimi kama mwanachama wa simba nasema hivi Mama kaza mpaka hao wahuni wasio na shughuli ya kufanya watafute cha kufanya maana hakuna pesa za bure siku hizi

Huwezi kuongelea siasa ya nchi yetu Tanzania pasi na kuwepo vilabu vya Yanga na Simba na huo ndiyo ukweli.

Sasa ndani ya Taasisi ya Simba kuna huyo binti Babra ambaye ndiye CEO wa klabu ile hakika ndani ya muda mchache ameshagombana na kila aliyehisi ni kirusi kwenye nafasi yake!

Utulivu haupo tena ndani ya Simba kwa sababu ya roho ya chuki ya binti huyo huku akijawa na majivuno yasiyo na staha hata kwa watu walio mzidi umri.

Ieleweke utulivu ndani ya Simba na Yanga ndiyo utulivu wa siasa za nchi yetu sasa anapotokea mtu mmoja anayetaka kusababisha taharuki ndani ya vilabu vyetu akamewe mara moja!

Babra hafai kuongoza Taasisi kubwa kama Simba ama Yanga kwa sababu hana uvumilivu na ni muumini wa kukomoa.
 

Huwezi kuongelea siasa ya nchi yetu Tanzania pasi na kuwepo vilabu vya Yanga na Simba na huo ndiyo ukweli.

Sasa ndani ya Taasisi ya Simba kuna huyo binti Babra ambaye ndiye CEO wa klabu ile hakika ndani ya muda mchache ameshagombana na kila aliyehisi ni kirusi kwenye nafasi yake!

Utulivu haupo tena ndani ya Simba kwa sababu ya roho ya chuki ya binti huyo huku akijawa na majivuno yasiyo na staha hata kwa watu walio mzidi umri.

Ieleweke utulivu ndani ya Simba na Yanga ndiyo utulivu wa siasa za nchi yetu sasa anapotokea mtu mmoja anayetaka kusababisha taharuki ndani ya vilabu vyetu akamewe mara moja!

Babra hafai kuongoza Taasisi kubwa kama Simba ama Yanga kwa sababu hana uvumilivu na ni muumini wa kukomoa.
Wangeanza na wajinga Kama wewe ambao mnaspoil vijana wengine mtaani, ustawi wa vijana ni nguzo kwa nchi
 

Huwezi kuongelea siasa ya nchi yetu Tanzania pasi na kuwepo vilabu vya Yanga na Simba na huo ndiyo ukweli.

Sasa ndani ya Taasisi ya Simba kuna huyo binti Babra ambaye ndiye CEO wa klabu ile hakika ndani ya muda mchache ameshagombana na kila aliyehisi ni kirusi kwenye nafasi yake!

Utulivu haupo tena ndani ya Simba kwa sababu ya roho ya chuki ya binti huyo huku akijawa na majivuno yasiyo na staha hata kwa watu walio mzidi umri.

Ieleweke utulivu ndani ya Simba na Yanga ndiyo utulivu wa siasa za nchi yetu sasa anapotokea mtu mmoja anayetaka kusababisha taharuki ndani ya vilabu vyetu akamewe mara moja!

Babra hafai kuongoza Taasisi kubwa kama Simba ama Yanga kwa sababu hana uvumilivu na ni muumini wa kukomoa.
Mitandaoni kuna kila aina ya takataka
 

Huwezi kuongelea siasa ya nchi yetu Tanzania pasi na kuwepo vilabu vya Yanga na Simba na huo ndiyo ukweli.

Sasa ndani ya Taasisi ya Simba kuna huyo binti Babra ambaye ndiye CEO wa klabu ile hakika ndani ya muda mchache ameshagombana na kila aliyehisi ni kirusi kwenye nafasi yake!

Utulivu haupo tena ndani ya Simba kwa sababu ya roho ya chuki ya binti huyo huku akijawa na majivuno yasiyo na staha hata kwa watu walio mzidi umri.

Ieleweke utulivu ndani ya Simba na Yanga ndiyo utulivu wa siasa za nchi yetu sasa anapotokea mtu mmoja anayetaka kusababisha taharuki ndani ya vilabu vyetu akamewe mara moja!

Babra hafai kuongoza Taasisi kubwa kama Simba ama Yanga kwa sababu hana uvumilivu na ni muumini wa kukomoa.
We bibi kalee tu wajukuu kwenye mpira hujui lolote.
 
Back
Top Bottom