Huo ni WA viwango vya wanakijani pekee🤸.Ila Kuna watu mna matatizo kweli katika hii dunia. Yaani umekaa ukanitumia akili yako kabisa na kuhitimisha mawazo yako kwa jinsi hii!!!! Bado ukaona haitoshi, ukayatoa kwa jamii ili na wewe uhesabiwe Kuwa unao uwezo wa kutumia akili katika maisha yako.
Hii ni hatari Sana kwa jamii ya kidemokrasia. Lakini haya yote ni matunda ya kujilisha upepo maana kikutokacho moyoni kinaakisi ulivyo.
Yote kwa yote, hongera Sana kwa ujinga huu!!!!!!!
Jamaa akili zimemruka,hata yule Naibu Katibu Mkuu CCM bara ni mwanajeshi piaZelothe Stephen,Kanali Mwakibinga,Kanali Kinana na wengineo wapo Chama gani kwani?
Hivi sisiemu huwa inaokoteza wapi wajinga hawa?!!!Mbuyu ulianza kama mchicha. CHADEMA ni kama wanaunda Jeshi lao kimyakimya kwa kutumia maafisa waliokuwa jeshini. Wanawatumia hawa kwa kuwarubuni na fedha, na wanawapa maelekezo watafute maafisa wenzao ili liwe kundi kubwa, naipongeza serikali kwa kuwabaini mapema.
Ila napendekeza, uchunguzi mkali uanzishwe kujua kina hasa nia ya Chadema, labda wanataka kuunda Jeshi la uasi, kitu ambacho ni hatari sana.
Sheria ya vyama vya siasa iangalie namna ya kufuta vyama vya aina hii vinavyohatarisha amani ya nchi. Vyombo vya dola visilale, vifuatilie maafisa wa aina hii, na wachukuliwe hatua kali sana.
Kama nia hiyo ipo, Chadema ivunjwe kwa mujibu wa Sheria, na maafisa wake wote washtakiwe kwa kesi ya uhaini.
Sheria ibadilishwe, Mjeshi wa mafunzo au ngazi fulani lazima apate kibali Cha mkuu wa Majeshi kabla ya kufanya kazi inayohusisha mafunzo aliyopata jeshini, kama anataka kufanya kazi hiyo nje ya jeshi
Kwani wanafanya kazibya ulinzi huko waliko?Zelothe Stephen,Kanali Mwakibinga,Kanali Kinana na wengineo wapo Chama gani kwani?
We umeona kuna neno ulinzi limetajwa kwenye heading au content ya uzi,au we we ndio umelileta?Kwani wanafanya kazibya ulinzi huko waliko?
Au umesahau unachotaka kujibu hapa?
jingas busy at workChadema wanataka kuwatumia kwa nia ovu ya Ugaidi na kuunda Jeshi la uasi
Kwani ww upo CDM?Wajinga wako chadema
Jina lako kikwetu ni clotis ya mwanamke.Chadema wanataka kuwatumia kwa nia ovu ya Ugaidi na kuunda Jeshi la uasi
Na hatujajua mmekuwa mnawatumia kwa maovu hawa Makomandoo.Poleni,
Inavyoonekana, karibu mtapeleka marekebisho ya sheria ili nyie WAKIJANI ndio muwe mnaanda wajeshi wastaafu kwa ajili ya VIP protection kwa wote.
Unamchunguzaje mtu umemfukuza kazi, ameamua mwenyewe kujitafutia ujira tena ulinzi wa wazi ndani ya nchi yake au mnataka waelekee msumbiji au Kongo kujiunga na makundi ya kigaidiMbuyu ulianza kama mchicha. CHADEMA ni kama wanaunda Jeshi lao kimyakimya kwa kutumia maafisa waliokuwa jeshini. Wanawatumia hawa kwa kuwarubuni na fedha, na wanawapa maelekezo watafute maafisa wenzao ili liwe kundi kubwa, naipongeza serikali kwa kuwabaini mapema.
Ila napendekeza, uchunguzi mkali uanzishwe kujua kina hasa nia ya Chadema, labda wanataka kuunda Jeshi la uasi, kitu ambacho ni hatari sana.
Sheria ya vyama vya siasa iangalie namna ya kufuta vyama vya aina hii vinavyohatarisha amani ya nchi. Vyombo vya dola visilale, vifuatilie maafisa wa aina hii, na wachukuliwe hatua kali sana.
Kama nia hiyo ipo, Chadema ivunjwe kwa mujibu wa Sheria, na maafisa wake wote washtakiwe kwa kesi ya uhaini.
Sheria ibadilishwe, Mjeshi wa mafunzo au ngazi fulani lazima apate kibali Cha mkuu wa Majeshi kabla ya kufanya kazi inayohusisha mafunzo aliyopata jeshini, kama anataka kufanya kazi hiyo nje ya jeshi
Mliyoyatarajia yamekuja kinyume mmevurugika!! Sasa mnaongea kama mmekatwa vichwa!Mbuyu ulianza kama mchicha. CHADEMA ni kama wanaunda Jeshi lao kimyakimya kwa kutumia maafisa waliokuwa jeshini. Wanawatumia hawa kwa kuwarubuni na fedha, na wanawapa maelekezo watafute maafisa wenzao ili liwe kundi kubwa, naipongeza serikali kwa kuwabaini mapema.
Ila napendekeza, uchunguzi mkali uanzishwe kujua kina hasa nia ya Chadema, labda wanataka kuunda Jeshi la uasi, kitu ambacho ni hatari sana.
Sheria ya vyama vya siasa iangalie namna ya kufuta vyama vya aina hii vinavyohatarisha amani ya nchi. Vyombo vya dola visilale, vifuatilie maafisa wa aina hii, na wachukuliwe hatua kali sana.
Kama nia hiyo ipo, Chadema ivunjwe kwa mujibu wa Sheria, na maafisa wake wote washtakiwe kwa kesi ya uhaini.
Sheria ibadilishwe, Mjeshi wa mafunzo au ngazi fulani lazima apate kibali Cha mkuu wa Majeshi kabla ya kufanya kazi inayohusisha mafunzo aliyopata jeshini, kama anataka kufanya kazi hiyo nje ya jeshi
Huyo ni Jeshi la akiba ....reserve army, tunakula naye sahani moja mpaka ajute kuzaliwaUnamchunguzaje mtu umemfukuza kazi, ameamua mwenyewe kujitafutia ujira tena ulinzi wa wazi ndani ya nchi yake au mnataka waelekee msumbiji au Kongo kujiunga na makundi ya kigaidi
Atafungwa jela, mama kwa kuwa ana huruma, atamuachia kwa msamaha wa Rais, kwa kutumia katiba hiyo hiyo mnayoipiga vita, Mbowe atapata msamaha wa mama, the game will be over, akikata rufaa, anashonwa tena, halafu mama anamuachia kwa msamaha wa RaisMliyoyatarajia yamekuja kinyume mmevurugika!! Sasa mnaongea kama mmekatwa vichwa!
Unalijua jeshi la akiba wwHuyo ni Jeshi la akiba ....reserve army, tunakula naye sahani moja mpaka ajute kuzaliwa