bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Wewe sio Askari kwanini uvae mavazi yasiyokuhusu? Mbona hamvai sare za wafungwa, madaktari, mapadre, nk? Kwanini ya jeshi wakati we si Askari? Kila mtu huvaa vazi kulingana na aina ya kazi yake.
Wengine huyatumia vibaya kwenye uhalifu mavazi hayo. Pitia huu ushuhuda binafsi;
Mimi anko wangu (RIP) aliuwawa na majambazi waliovaa sare za kijeshi akiwa bar, wakavamiwa, wakaambiwa wote walale chini. Akiwa tayari kilaji akainuka na kuwaambia, "Tutambuane wenzangu", akidhani ni wana kikosi wenzake. Hakuomba hata maji akapigwa risasi, tena na jambazi la kike na kufia hapo hapo, wakapora na katokomea.
Huwa hakuna mhalifu smart, walikuja kamatwa wote. Jambazi la kike alipohojiwa kwanini umeua askari akajibu, "Sikujua kama ni askari"! Hapo ndio imetoka hiyo, uhai haurudi tena, huyo jambazi katuachia tunalea yatima leo. Atajuana na Mungu wake kama alihukumiwa au alitoka jela, hatukufatilia tena imepita miaka 13 sasa tangu tukio hilo, RIP uncle.
Kwahiyo JWTZ wapo sahihi, mabasi yalitekwa na watu waliovaa sare za jeshi.
Wengine huyatumia vibaya kwenye uhalifu mavazi hayo. Pitia huu ushuhuda binafsi;
Mimi anko wangu (RIP) aliuwawa na majambazi waliovaa sare za kijeshi akiwa bar, wakavamiwa, wakaambiwa wote walale chini. Akiwa tayari kilaji akainuka na kuwaambia, "Tutambuane wenzangu", akidhani ni wana kikosi wenzake. Hakuomba hata maji akapigwa risasi, tena na jambazi la kike na kufia hapo hapo, wakapora na katokomea.
Huwa hakuna mhalifu smart, walikuja kamatwa wote. Jambazi la kike alipohojiwa kwanini umeua askari akajibu, "Sikujua kama ni askari"! Hapo ndio imetoka hiyo, uhai haurudi tena, huyo jambazi katuachia tunalea yatima leo. Atajuana na Mungu wake kama alihukumiwa au alitoka jela, hatukufatilia tena imepita miaka 13 sasa tangu tukio hilo, RIP uncle.
Kwahiyo JWTZ wapo sahihi, mabasi yalitekwa na watu waliovaa sare za jeshi.