tuanze kula misuti tuu.mtaalamu.. na vidude vya masikiona alafu tuwe tunatembea.kama kundi hivi π πkama wangu
hakuna picha mbona ? waogopa hata post picha
Huku tumetunisha vifua na kunyanyua makwapatuanze kula misuti tuu.mtaalamu.. na vidude vya masikiona alafu tuwe tunatembea.kama kundi hivi [emoji28][emoji28]View attachment 2735396
π π π ndio na mtu mmoja anakuwa mbele.. alafu tunakuwa tunatumia gari nyeusi full tinted yani.. hadi kioo cha mbele.. napo tusikie watasemaje..Huku tumetunisha vifua na kunyanyua makwapa
Wataanza kutuwinda kama majambazi[emoji28][emoji28][emoji28] ndio na mtu mmoja anakuwa mbele.. alafu tunakuwa tunatumia gari nyeusi full tinted yani.. hadi kioo cha mbele.. napo tusikie watasemaje..
Ndio hiihakuna picha mbona ? waogopa hata post picha
hii haina msala.. labda waamue kuwa wachawi tu
Uchawi ulianza kitambo waliwahi jisimamisha maeneo ya ubungohii haina msala.. labda waamue kuwa wachawi tu
Haya matukio yalifanya sana mipakani (hasa Kigoma) na wahalifu kutoka nchi jirani zilizokumbukwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe.Kwahiyo JWTZ wapo sahihi, mabasi yalitekwa na watu waliovaa sare za jeshi.