Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Leo CHADEMA wameanza mchakato wa kumpata Mgombea Urais ila vyombo vya habari vikubwa nchini havikuripoti live tukio ilo.
Kura zimepigwa bado hawakutaka kuripoti, hata ITV ambao Wana breaking news hawakuwa habari yoyote kuonyesha Kuna Jambo linaendelea.
Mgombea amepitishwa bado vipo kimya, hata pale mwanahabari mwenzao Salum Mwalim alipewa ridhaa ya mgombea mwenza hawakutaka kuupa umma habari hii
Kateuliwa mgombea Zanzibar baro TBC, Star Tv na ITV wapo kimya
Nyarandu kapongeza na kusema anamuunga mkono Tundu but bado wapo kimya
BBC wametangaza na taarifa kuanza kusambaa mitandaoni ndipo wanaanza kuandika kidogokidogo.
Wapi nafasi ya vyombo vya habari Tanzania?
Leo naona CHADEMA wamejifunza, wamejiwekea mkakati wakurekodi matukio kwa simu na kuyarusha WhatsApp yasambae kila Kona hii ikiwa nikukabuiliana na mgomo wa vyombo vyetu vya habari .
ACT pia kupitia blogs na WhatsApp watarekodi na kurusha ninyi endeleeni kutumia Tv ambazo hazina tena waangaliaji tuone
Kura zimepigwa bado hawakutaka kuripoti, hata ITV ambao Wana breaking news hawakuwa habari yoyote kuonyesha Kuna Jambo linaendelea.
Mgombea amepitishwa bado vipo kimya, hata pale mwanahabari mwenzao Salum Mwalim alipewa ridhaa ya mgombea mwenza hawakutaka kuupa umma habari hii
Kateuliwa mgombea Zanzibar baro TBC, Star Tv na ITV wapo kimya
Nyarandu kapongeza na kusema anamuunga mkono Tundu but bado wapo kimya
BBC wametangaza na taarifa kuanza kusambaa mitandaoni ndipo wanaanza kuandika kidogokidogo.
Wapi nafasi ya vyombo vya habari Tanzania?
Leo naona CHADEMA wamejifunza, wamejiwekea mkakati wakurekodi matukio kwa simu na kuyarusha WhatsApp yasambae kila Kona hii ikiwa nikukabuiliana na mgomo wa vyombo vyetu vya habari .
ACT pia kupitia blogs na WhatsApp watarekodi na kurusha ninyi endeleeni kutumia Tv ambazo hazina tena waangaliaji tuone