Vyombo vya Habari Tanzania acheni upendeleo kwa chama tawala, Mtaligawa taifa? Hivi hamuelewi?

Vyombo vya Habari Tanzania acheni upendeleo kwa chama tawala, Mtaligawa taifa? Hivi hamuelewi?

Nimejaribu kufuatilia jinsi coverage unavyofanywa na hizi local media zetu kuhusu matukio mbali mbali yanayofanywa na chama tawala CCM, hakika inasikitisha. Hakuna balance kabisa kwenye matukio ya kisiasa kati ya chama tawala na Upinzani.

Hivi vyombo vimeamua kua upande wa chama tawala hata kwenye urushaji habari na matangazo ya live, hili liko wazi na kila mmoja analijua. Mnataka mpaka mualikwe kwani kazi yenu si kutafuta matukio? Hii kwangu aiona kama ni aibu kubwa.

Hivi taaluma za waandishi wa habari wanazozisema ziko wapi? Tulizoea ITV ilikuwa balanced kwenye taarifa zake lakini kwa sasa ninashangaa sana kwa yanayoendelea. Haya ambayo miaka yote mmekuwa mkiyaripoti leo hii imekua ni uchochezi?

AZAM media na MillardAyo mnalalamikiwa sana na umma kuwa mmefuta taarifa za Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu wakati akichukua form toka NEC kwenye mitandao yenu kwa sababu gani?

Toeni notifications kwa Umma ni kwanini mmefanya hivyo kwa wakati mmoja kama ni kweli?

Vyombo vya habari ni muhimu mwingine muhimu sana wa taifa, sasa mkiendelea hivi mtakosa credibility ya kuaminiwa na jamii. Iangalie ni CNN na BBC au DW kunapokuwa na matukio ya kisiasa nchini mwao wanavyokua balanced.
Wanajipendekeza kwa magufuli maana wanajua kule kwa mbogamboga ukijipendekeza sana lazima ukumbukwe kwenye teuzi za ukurugenzi, ukiwa wa kike unapewa angalau Udc
 
Nimejaribu kufuatilia jinsi coverage unavyofanywa na hizi local media zetu kuhusu matukio mbali mbali yanayofanywa na chama tawala CCM, hakika inasikitisha. Hakuna balance kabisa kwenye matukio ya kisiasa kati ya chama tawala na Upinzani.

Hivi vyombo vimeamua kua upande wa chama tawala hata kwenye urushaji habari na matangazo ya live, hili liko wazi na kila mmoja analijua. Mnataka mpaka mualikwe kwani kazi yenu si kutafuta matukio? Hii kwangu aiona kama ni aibu kubwa.

Hivi taaluma za waandishi wa habari wanazozisema ziko wapi? Tulizoea ITV ilikuwa balanced kwenye taarifa zake lakini kwa sasa ninashangaa sana kwa yanayoendelea. Haya ambayo miaka yote mmekuwa mkiyaripoti leo hii imekua ni uchochezi?

AZAM media na MillardAyo mnalalamikiwa sana na umma kuwa mmefuta taarifa za Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu wakati akichukua form toka NEC kwenye mitandao yenu kwa sababu gani?

Toeni notifications kwa Umma ni kwanini mmefanya hivyo kwa wakati mmoja kama ni kweli?

Vyombo vya habari ni muhimu mwingine muhimu sana wa taifa, sasa mkiendelea hivi mtakosa credibility ya kuaminiwa na jamii. Iangalie ni CNN na BBC au DW kunapokuwa na matukio ya kisiasa nchini mwao wanavyokua balanced.
Sasa huyu mgombea wenu kila wakati anaongea kwa Jaziba tu nani hapa TZ anataka mtu wa namna hiyo. Eti tena anasema atawapeleka watu Barabarani anafikiri WATZ ni mbulula kiasi hicho cha kupelekwa tu? Atawapata labda hao wanasaccos wasiyo jitambua.
 
Sio vyombo tu vya habari, hata uraiani huku watu wanamkacha lissu!
 
Nimejaribu kufuatilia jinsi coverage unavyofanywa na hizi local media zetu kuhusu matukio mbali mbali yanayofanywa na chama tawala CCM, hakika inasikitisha. Hakuna balance kabisa kwenye matukio ya kisiasa kati ya chama tawala na Upinzani.

Hivi vyombo vimeamua kua upande wa chama tawala hata kwenye urushaji habari na matangazo ya live, hili liko wazi na kila mmoja analijua. Mnataka mpaka mualikwe kwani kazi yenu si kutafuta matukio? Hii kwangu aiona kama ni aibu kubwa.

Hivi taaluma za waandishi wa habari wanazozisema ziko wapi? Tulizoea ITV ilikuwa balanced kwenye taarifa zake lakini kwa sasa ninashangaa sana kwa yanayoendelea. Haya ambayo miaka yote mmekuwa mkiyaripoti leo hii imekua ni uchochezi?

AZAM media na MillardAyo mnalalamikiwa sana na umma kuwa mmefuta taarifa za Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu wakati akichukua form toka NEC kwenye mitandao yenu kwa sababu gani?

Toeni notifications kwa Umma ni kwanini mmefanya hivyo kwa wakati mmoja kama ni kweli?

Vyombo vya habari ni muhimu mwingine muhimu sana wa taifa, sasa mkiendelea hivi mtakosa credibility ya kuaminiwa na jamii. Iangalie ni CNN na BBC au DW kunapokuwa na matukio ya kisiasa nchini mwao wanavyokua balanced.
Anzisha chako uweke unachotaka au broadcast unachotaka


Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Nimejaribu kufuatilia jinsi coverage unavyofanywa na hizi local media zetu kuhusu matukio mbali mbali yanayofanywa na chama tawala CCM, hakika inasikitisha. Hakuna balance kabisa kwenye matukio ya kisiasa kati ya chama tawala na Upinzani.

Hivi vyombo vimeamua kua upande wa chama tawala hata kwenye urushaji habari na matangazo ya live, hili liko wazi na kila mmoja analijua. Mnataka mpaka mualikwe kwani kazi yenu si kutafuta matukio? Hii kwangu aiona kama ni aibu kubwa.

Hivi taaluma za waandishi wa habari wanazozisema ziko wapi? Tulizoea ITV ilikuwa balanced kwenye taarifa zake lakini kwa sasa ninashangaa sana kwa yanayoendelea. Haya ambayo miaka yote mmekuwa mkiyaripoti leo hii imekua ni uchochezi?

AZAM media na MillardAyo mnalalamikiwa sana na umma kuwa mmefuta taarifa za Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu wakati akichukua form toka NEC kwenye mitandao yenu kwa sababu gani?

Toeni notifications kwa Umma ni kwanini mmefanya hivyo kwa wakati mmoja kama ni kweli?

Vyombo vya habari ni muhimu mwingine muhimu sana wa taifa, sasa mkiendelea hivi mtakosa credibility ya kuaminiwa na jamii. Iangalie ni CNN na BBC au DW kunapokuwa na matukio ya kisiasa nchini mwao wanavyokua balanced.
WATANZANIA WAMECHUKIA SANA KWA CHADEMA KUNAJISI WIMBO WA TAIFA HALAFU MKADAI ACHA TUONE MTAFANYWA NINI.SASA HAYO NDIYO MAJIBU.MSIPOTUBU MTAPATA TAAAAABU SANA
 
Nimejaribu kufuatilia jinsi coverage unavyofanywa na hizi local media zetu kuhusu matukio mbali mbali yanayofanywa na chama tawala CCM, hakika inasikitisha. Hakuna balance kabisa kwenye matukio ya kisiasa kati ya chama tawala na Upinzani.

Hivi vyombo vimeamua kua upande wa chama tawala hata kwenye urushaji habari na matangazo ya live, hili liko wazi na kila mmoja analijua. Mnataka mpaka mualikwe kwani kazi yenu si kutafuta matukio? Hii kwangu aiona kama ni aibu kubwa.

Hivi taaluma za waandishi wa habari wanazozisema ziko wapi? Tulizoea ITV ilikuwa balanced kwenye taarifa zake lakini kwa sasa ninashangaa sana kwa yanayoendelea. Haya ambayo miaka yote mmekuwa mkiyaripoti leo hii imekua ni uchochezi?

AZAM media na MillardAyo mnalalamikiwa sana na umma kuwa mmefuta taarifa za Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu wakati akichukua form toka NEC kwenye mitandao yenu kwa sababu gani?

Toeni notifications kwa Umma ni kwanini mmefanya hivyo kwa wakati mmoja kama ni kweli?

Vyombo vya habari ni muhimu mwingine muhimu sana wa taifa, sasa mkiendelea hivi mtakosa credibility ya kuaminiwa na jamii. Iangalie ni CNN na BBC au DW kunapokuwa na matukio ya kisiasa nchini mwao wanavyokua balanced.
Hivyo vya habari si vya bure. Ni biashara. Ni viwanda vya kuzalisha habari. Ni ajira. Unalipa cash ya kutosha wanakufanyia kazi unayotaka kwa kiutalaam wa habari zinazozingatia maadili ya proffesion hiyo hiyo ya habari. Nyie mnadhani profession ya kulipia ni ya uwakili wa sheria tu.

Hata wasii wa bongo fleva lazima uwalipe. Wanamiliki viwanda vinavozalisha nyimbo na movie zinazozingatia maadili ya theatre arts profession.

Chadema haina pesa za kulipa huduma hizo. Wanategemea zitoke kwa washirika wao mabeberu. Tukizidaka ni halali yetu kwani ni kinyume na sheria zetu. Hivyo acha kulalamika. Chapa kazi mpate pesa ya kulipia bidhaa hizo kutoka kwenye viwanda hivyo!

Na bado. Kwenye kampeni ndiyo hamtaonekana kabisa kwani gharama zake ni kubwa. Mkiendelea kutegemea hivyo vyombo vya mabeberu yenu vya DW na BBC itakula kwenu kwani wapiga kura hawasikilizagi wala kuangalia matangazo yao.
 
Back
Top Bottom