Vyombo vya Habari Tanzania imarisheni 'Maslahi' kwa Waandishi wenu ili wasiwe wanang'ang'ania ziara za Wakubwa zinazowauwa kwa ajili ya Posho

Mkuu nayajua yote haya na hata na mengineyo kwani nimeshapita huko ( humo ) miaka ya nyuma na ndiyo maana leo nimeamua niwaambie ( niwachane ) huu Ukweli ili tubadilike ( wabadilike )
Bahati mbaya kumekuwa na vifo kadhaa kwa mfululizo vya waandishi wa habari kwenye hii misafara sielewi kwa nini 🤷
 
Bahati mbaya kumekuwa na vifo kadhaa kwa mfululizo vya waandishi wa habari kwenye hii misafara sielewi kwa nini 🤷
Waganga wa Kienyeji huwapenda na Kafara za kutafuta Mafanikio ( ya Uongozi, Mamlaka na Utajiri ) zikielekezwa Kwao huwa na Matokeo Chanya kwa Wahusika.
 
Unayoyaongea ni kweli tupu, inafika hatua hadi wanajidhalilisha. Malipo nayo yamekuwa kidogo hivyo wanaona bora kuhombania bahasha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…