Nakuunga mkono mkuu,hatuongei kwa ubaya..
Nilikuwa nafanya kazi kama fundi wa kituo fulani cha redio kinachomilikiwa na chuo kikuu fulani hapa mkoani kwetu..
Asee njaa mbaya, ikitokea kuna ugeni wa kiongozi fulani au professor fulani anapresent thesis yake ambapo waandishi wa habari inabidi waripoti ndipo majanga yanapoanza, majungu, kujipendekeza sometimes mpaka kushikana mashati.
Imagine hyo ni ndani ya taasisi kubwa tena ya wasomi, vipi huku changanyikeni!!!!!.