Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Bahati mbaya kumekuwa na vifo kadhaa kwa mfululizo vya waandishi wa habari kwenye hii misafara sielewi kwa nini 🤷Mkuu nayajua yote haya na hata na mengineyo kwani nimeshapita huko ( humo ) miaka ya nyuma na ndiyo maana leo nimeamua niwaambie ( niwachane ) huu Ukweli ili tubadilike ( wabadilike )