Tetesi: Vyombo vya habari vya kimataifa vyaanza kuwasili Tanzania kuelekea Sep 1(UKUTA)

Tetesi: Vyombo vya habari vya kimataifa vyaanza kuwasili Tanzania kuelekea Sep 1(UKUTA)

kilaza mjanja

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2016
Posts
654
Reaction score
1,144
Taarifa zilizotufikia punde ni kuwa baadhi ya vyombo vya kimataifa hasa vya nchi za magharibi na mashariki ya mbali vimeanza kuwasili nchini ili kushuhudia tukio kubwa la kitaifa linalotarajiwa kufanyika mwanzoni mwa mwezi unao kuja (Sept 1)

Uchunguzi uliofanywa na mchunguzi wetu unaeleza wazi kuwa vyombo hivyo vya habari vya kimataifa (CNN, BBC, SBBC, CCTV ALJAZERA, RT) vimewasili nchini baada ya taarifa zilizoripotiwa na ubalozi wa Marekani kwa raia wake ambapo imeelezwa kwamba taarifa za kijasusi zinasema kunaweza kutokea maandamano makubwa yanayoweza kupelekea mapigano na uvunjifu wa amani.

Pia wapo wachunguzi wengine wanasema maandamano haya yanasukumwa na baadhi ya mataifa yenye nguvu za ushawishi duniani.

Ikumbukwe kwamba vyama vya upinzani nchini vimeandaa maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika Sept 1 kama yalivyopangwa huku kukiwa na mivutano mikubwa na serikali ambapo madai ya wapinzani yanahusisha serikali kukiuka katiba.

Source: Afisa uhamiaji (uwanja wa ndege JKNIA)

MY TAKE

Kwa mjibu wa nyaraka za MOSSAD, CIA, RAW na FSB juu ya elimu ihusuyo "kiwango cha hali ya hatari katika eneo la kiraia" ambacho hupimwa kwa kipimo kiitwacho Def Cond, inasema, "Pale majadiliano ya meza yanaposhindwa kuleta jibu chanya, wanamjadala hususia meza, ambapo katika kipimo husomeka Def Cond 0001".

Ikitokea kuwa hata huko walikoamua wanamjadala hao kupeleka hisia zao nako kukazuiwa, hasira ya wanamjadala hao huongezeka na kuwa Def Cond 0002. Hatua ya mwisho ya wanamjadala hawa huwa ni kwenda kwenye mahakama ya umma, hapa kipimo husomeka Def Cond 0003.

Hiki ni kipimo kikubwa katika medani ya kiusalama kwa mambo ya ndani, ambapo matokeo yake shughuli katika jamii husimama, serikali hushindwa kutawala wala kuongoza. Katika lugha nyingine huitwa mgogoro wa ndani,kisiasa,kikatiba nk...

Zingatia hali hii haizai vita, kwani ili vita kamili ya ndani izaliwe lazima hali ya hatari isomeki Def Cond 0006. Na ili vita kamili izaliwe katika ya taifa na taifa lazima hali ya hatari isomeke Def Cond 0008.

Ulimi ndio silaha izaayo vita, na ulimi ndio silaha imalizayo vita... Hakuna silaha kubwa duniani kama Ulimi wa binadamu.
 
Nani atawafukuzaaa... wazungu waachwe vile vile wanajuwa wanachofanya wenyewe huwa sio wajinga kama sisi tulivyo wajinga wa kufikiria kuna viongizi wetu mambo wanayoongea siku moja watakuja kujuta....atokeee kiongozo yoyote awapige marufuku hivyo vituo vya habari waone mshike mshike wake.....ndio hapo watajuwa wazungu ni watu tofauti kabisaaa na wanajuwa wanachofanya
 
mimi ninae zungumza haya sipo hata nchini kwenu ila swala la tarehe 1 sio jepesi kama unavyodhani ni swala zito sana na watanzania mnaweza kupasuana kweli kweli
Afisa Uhamiaji ndio mchunguzi wenu ?
 
Mkuu mbona kuna wasela wameshapata ajira ya kurikodi matukio kwa usiri pia kuna drones zitarushwa. Mpaka sasa najua dar, mwanza arusha na mbeya wapo watu maalamu wa hayo mambo. Ndio nilileta uzi hapa kama wiki tatu zilizopita kuwa UKUTA mtego wa Magufuli wa kupelekwa icc. Lakini kuna watu wanachukulia utani na kubeza tu.
 
Mkuu mbona kuna wasela wameshapata ajira ya kurikodi matukio kwa usiri pia kuna drones zitarushwa. Mpaka sasa najua dar, mwanza arusha na mbeya wapo watu maalamu wa hayo mambo. Ndio nilileta uzi hapa kama wiki tatu zilizopita kuwa UKUTA mtego wa Magufuli wa kupelekwa icc. Lakini kuna watu wanachukulia utani na kubeza tu.
kazi ipo
 
They also understand when the public is used as political pawns to fund parties secret destructive agenda and that is intolerable anywhere.

Tarehe 1 mbali sana kwa wengine; hata mtoto inafikia hatua wazazi lazima wamuonyeshe ukweli mchungu awezi pata kila kitu anachotaka kuna limited time ya kusumbua wazazi, limited resources ya kumpatia every whim; tantrum zipo atakapokosa lakini msimamo pekee ndio ubadilisha tabia. Ni wakati sasa kwa upinzani kuelewa siasa ni hoja sio kununa nuna kama watoto wadogo na kuleta tantrum.
 
Taharifa zilizo tufikia punde ni kuwa baadhi ya vyombo vya kimataifa hasa vya nchi za magharibi na mashariki ya mbali vimeanza kuwasili nchini ili kushuhudia tukio kubwa la kitaifa linalo tarajiwa kufanyika mwanzoni mwa mwezi unao kuja (sep 1)

Uchunguzi uliofanywa na mchunguzi wetu unaeleza wazi kuwa vyombo hivyo vya habari vya kimataifa (CNN, BBC, SBBC, CCTV ALJAZERA, RT) vimewasili nchini baada ya taharifa zilizo ripotiwa na ubalozi wa marekani kwa raia wake ambapo imeelezwa kwamba taharifa za kijasusi zinasema kunaweza kutokea maandamano makubwa yanayoweza kupelekea mapigano na uvunjifu wa amani.

Pia wapo wachunguzi wengine wanasema maandamano haya yanasukumwa na baadhi ya mataifa yenyenguvu za ushawishi duniani.


Ikumbukwe kwamba vyama vya upinzani nchini vimeandaa maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika sep 1 kama yalivyo pangwa huku kukiwa na mivutano mikubwa na serikali ambapo madai ya wapinzani yanahusisha serikali kukiuka katiba.

source: ofisa uhamiaji (uwanja wa ndege JKNIA)

my take

Kwa mjibu wa nyaraka za MOSSAD, CIA, RAW na FSB juu ya elimu ihusuyo "kiwango cha hali ya hatari katika eneo la kiraia" ambacho hupimwa kwa kipimo kiitwacho Def Cond, inasema, "Pale majadiliano ya meza yanaposhinwa kuleta jibu chanya, wanamjadala hususia meza, ambapo katika kipimo husomeka Def Cond 0001".

Ikitokea kuwa hata huko walikoamua wanamjadala hao kupeleka hisia zao nako kukazuiwa, hasira ya wanamjadala hao huongezeka na kuwa Def Cond 0002.

Hatua ya mwisho ya wanamjadala hawa huwa ni kwenda kwenye mahakama ya umma, hapa kipimo husomeka Def Cond 0003.

Hiki ni kipimo kikubwa katika medani ya kiusalama kwa mambo ya ndani, ambapo matokeo yake shughuli katika jamii husimama, serikali hushindwa kutawala wala kuongoza. Katika lugha nyingine huitwa mgogoro wa ndani,kisiasa,kikatiba nk...

Zingatia hali hii haizai vita, kwani ili vita kamili ya ndani izaliwe lazima hali ya hatari isomeki Def Cond 0006. Na ili vita kamili izaliwe katika ya taifa na taifa lazima hali ya hatari isomeke Def Cond 0008.

Ulimi ndio sila izaayo vita, na ulimi ndio silaha imalizayo vita... Hakuna silaha kubwa duniani kama Ulimi wa binadamu.
Bavicha mko desperate for sympathy, hao watu wanatoka wapi? Hivi haujui kuwa hivi vyombo vina wawakilishi wao wanaishi humu humu ndani ya nchi??
Dah!
 
They also understand when the public is used as political pawns to fund parties secret destructive agenda and that is intolerable anywhere.

Tarehe 1 mbali sana kwa wengine; hata mtoto inafikia hatua wazazi lazima wamuonyeshe ukweli mchungu awezi pata kila kitu anachotaka kuna limited time ya kusumbua wazazi, limited resources ya kumpatia every whim; tantrum zipo atakapokosa lakini msimamo pekee ndio ubadilisha tabia. Ni wakati sasa kwa upinzani kuelewa siasa ni hoja sio kununa nuna kama watoto wadogo na kuleta tantrum.

Mfumo wa kuongoza Nchi usiufananishe na mfumo wa kuongoza Familia ...
 
Acheni umbeya, hasa wa kuunganisha story na matukio.

Hao jamaa wameshuka kibao hapa Songwe airport Mbeya - wanaelekea Kitulo na maeneo mengine kushuhudia kupatwa kwa jua.

Msijifariji hakuna wa kuandamana, mzungu hawezi take risk ya kuleta mwandishi wake eneo ambalo kuna security alert, sana atatumia local journalists kwa ajili ya coverage.
 
Hii inanikumbusha tetesi ya barua ya ICJ ya wadhungu kuzuia JPM kuapishwa. Watu walisubiriiii sana wadhungu Airport wakati ngoma inamalizwa pale uwanja wa Taifa.
 
Makubwa...hata majina ya hayo unayoongelea huna... Kukosa la kufanya na kutunga lolote ili tu uanzishe uzi.

#Hapakazitu
Umeelewa kweli alicho andika au ndiyo hivyo kiazi tena..!
 
Nafikiri wamevutiwa na MAZOEZI yanayofanyika viwanja vya wazi. Hakuna maandamano!
 
They also understand when the public is used as political pawns to fund parties secret destructive agenda and that is intolerable anywhere.

Tarehe 1 mbali sana kwa wengine; hata mtoto inafikia hatua wazazi lazima wamuonyeshe ukweli mchungu awezi pata kila kitu anachotaka kuna limited time ya kusumbua wazazi, limited resources ya kumpatia every whim; tantrum zipo atakapokosa lakini msimamo pekee ndio ubadilisha tabia. Ni wakati sasa kwa upinzani kuelewa siasa ni hoja sio kununa nuna kama watoto wadogo na kuleta tantrum.
Anayenuna nani? Haupo realistic.
 
Mkuu mbona kuna wasela wameshapata ajira ya kurikodi matukio kwa usiri pia kuna drones zitarushwa. Mpaka sasa najua dar, mwanza arusha na mbeya wapo watu maalamu wa hayo mambo. Ndio nilileta uzi hapa kama wiki tatu zilizopita kuwa UKUTA mtego wa Magufuli wa kupelekwa icc. Lakini kuna watu wanachukulia utani na kubeza tu.


Unafikiri watu wanapelekwa huko ICC ovyo ovyo tu??????? Hujui hata huyo Mbowe, Tundu Lissu kwamba wanaweza kupelekwa ICC kwa kuchochea vurugu???? Unadhani ICC ndiye mwokozi wa UKAWA sijui UKUTA wait and see....nyie andamaneni muone, you will regret.....kamuulize Maalim Seif na ICC alichoambiwa huko ICC....
 
Back
Top Bottom