Tetesi: Vyombo vya habari vya kimataifa vyaanza kuwasili Tanzania kuelekea Sep 1(UKUTA)

Tetesi: Vyombo vya habari vya kimataifa vyaanza kuwasili Tanzania kuelekea Sep 1(UKUTA)

Mkuu mbona kuna wasela wameshapata ajira ya kurikodi matukio kwa usiri pia kuna drones zitarushwa. Mpaka sasa najua dar, mwanza arusha na mbeya wapo watu maalamu wa hayo mambo. Ndio nilileta uzi hapa kama wiki tatu zilizopita kuwa UKUTA mtego wa Magufuli wa kupelekwa icc. Lakini kuna watu wanachukulia utani na kubeza tu.
Kijan hakuna mahakam ya kumfunga magu
 
Hivyo hivyo vipo siku zote na wawakilishi wao ni watanzania, hiyo BBC, DW, CNN na CCTV ni logo tu.
 
Acheni umbeya, hasa wa kuunganisha story na matukio.

Hao jamaa wameshuka kibao hapa Songwe airport Mbeya - wanaelekea Kitulo na maeneo mengine kushuhudia kupatwa kwa jua.

Msijifariji hakuna wa kuandamana, mzungu hawezi take risk ya kuleta mwandishi wake eneo ambalo kuna security alert, sana atatumia local journalists kwa ajili ya coverage.
Iraq, Libya, Iran huwa wanafikaje hai?
 
Taharifa zilizo tufikia punde ni kuwa baadhi ya vyombo vya kimataifa hasa vya nchi za magharibi na mashariki ya mbali vimeanza kuwasili nchini ili kushuhudia tukio kubwa la kitaifa linalo tarajiwa kufanyika mwanzoni mwa mwezi unao kuja (sep 1)

Uchunguzi uliofanywa na mchunguzi wetu unaeleza wazi kuwa vyombo hivyo vya habari vya kimataifa (CNN, BBC, SBBC, CCTV ALJAZERA, RT) vimewasili nchini baada ya taharifa zilizo ripotiwa na ubalozi wa marekani kwa raia wake ambapo imeelezwa kwamba taharifa za kijasusi zinasema kunaweza kutokea maandamano makubwa yanayoweza kupelekea mapigano na uvunjifu wa amani.

Pia wapo wachunguzi wengine wanasema maandamano haya yanasukumwa na baadhi ya mataifa yenyenguvu za ushawishi duniani.


Ikumbukwe kwamba vyama vya upinzani nchini vimeandaa maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika sep 1 kama yalivyo pangwa huku kukiwa na mivutano mikubwa na serikali ambapo madai ya wapinzani yanahusisha serikali kukiuka katiba.

source: ofisa uhamiaji (uwanja wa ndege JKNIA)

my take

Kwa mjibu wa nyaraka za MOSSAD, CIA, RAW na FSB juu ya elimu ihusuyo "kiwango cha hali ya hatari katika eneo la kiraia" ambacho hupimwa kwa kipimo kiitwacho Def Cond, inasema, "Pale majadiliano ya meza yanaposhinwa kuleta jibu chanya, wanamjadala hususia meza, ambapo katika kipimo husomeka Def Cond 0001".

Ikitokea kuwa hata huko walikoamua wanamjadala hao kupeleka hisia zao nako kukazuiwa, hasira ya wanamjadala hao huongezeka na kuwa Def Cond 0002.

Hatua ya mwisho ya wanamjadala hawa huwa ni kwenda kwenye mahakama ya umma, hapa kipimo husomeka Def Cond 0003.

Hiki ni kipimo kikubwa katika medani ya kiusalama kwa mambo ya ndani, ambapo matokeo yake shughuli katika jamii husimama, serikali hushindwa kutawala wala kuongoza. Katika lugha nyingine huitwa mgogoro wa ndani,kisiasa,kikatiba nk...

Zingatia hali hii haizai vita, kwani ili vita kamili ya ndani izaliwe lazima hali ya hatari isomeki Def Cond 0006. Na ili vita kamili izaliwe katika ya taifa na taifa lazima hali ya hatari isomeke Def Cond 0008.

Ulimi ndio sila izaayo vita, na ulimi ndio silaha imalizayo vita... Hakuna silaha kubwa duniani kama Ulimi wa binadamu.
Mtayatoboa tu vyote unavyoongea tunayajua
 
Ndio muandamane sasa mfe ili dunia ione, hiyo ndo gharama ya haki mnayoidai.
 
Taharifa zilizo tufikia punde ni kuwa baadhi ya vyombo vya kimataifa hasa vya nchi za magharibi na mashariki ya mbali vimeanza kuwasili nchini ili kushuhudia tukio kubwa la kitaifa linalo tarajiwa kufanyika mwanzoni mwa mwezi unao kuja (sep 1)

Uchunguzi uliofanywa na mchunguzi wetu unaeleza wazi kuwa vyombo hivyo vya habari vya kimataifa (CNN, BBC, SBBC, CCTV ALJAZERA, RT) vimewasili nchini baada ya taharifa zilizo ripotiwa na ubalozi wa marekani kwa raia wake ambapo imeelezwa kwamba taharifa za kijasusi zinasema kunaweza kutokea maandamano makubwa yanayoweza kupelekea mapigano na uvunjifu wa amani.

Pia wapo wachunguzi wengine wanasema maandamano haya yanasukumwa na baadhi ya mataifa yenyenguvu za ushawishi duniani.


Ikumbukwe kwamba vyama vya upinzani nchini vimeandaa maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika sep 1 kama yalivyo pangwa huku kukiwa na mivutano mikubwa na serikali ambapo madai ya wapinzani yanahusisha serikali kukiuka katiba.

source: ofisa uhamiaji (uwanja wa ndege JKNIA)

my take

Kwa mjibu wa nyaraka za MOSSAD, CIA, RAW na FSB juu ya elimu ihusuyo "kiwango cha hali ya hatari katika eneo la kiraia" ambacho hupimwa kwa kipimo kiitwacho Def Cond, inasema, "Pale majadiliano ya meza yanaposhinwa kuleta jibu chanya, wanamjadala hususia meza, ambapo katika kipimo husomeka Def Cond 0001".

Ikitokea kuwa hata huko walikoamua wanamjadala hao kupeleka hisia zao nako kukazuiwa, hasira ya wanamjadala hao huongezeka na kuwa Def Cond 0002.

Hatua ya mwisho ya wanamjadala hawa huwa ni kwenda kwenye mahakama ya umma, hapa kipimo husomeka Def Cond 0003.

Hiki ni kipimo kikubwa katika medani ya kiusalama kwa mambo ya ndani, ambapo matokeo yake shughuli katika jamii husimama, serikali hushindwa kutawala wala kuongoza. Katika lugha nyingine huitwa mgogoro wa ndani,kisiasa,kikatiba nk...

Zingatia hali hii haizai vita, kwani ili vita kamili ya ndani izaliwe lazima hali ya hatari isomeki Def Cond 0006. Na ili vita kamili izaliwe katika ya taifa na taifa lazima hali ya hatari isomeke Def Cond 0008.

Ulimi ndio sila izaayo vita, na ulimi ndio silaha imalizayo vita... Hakuna silaha kubwa duniani kama Ulimi wa binadamu.
Pole na huyo afisa uhamiaji wako! Wanaenda Mbeya kuna kupatwa kwa mwezi tarehe hizo mwezi wa tisa. Jitahidi kufuatilia vyombo vya habari, usipende kuadithiwa
 
Uzuri hawa hawerembi,hawaogopi mtu wala kujipendekeza ila msije kushangaa wanawakee mashariti jinsi ya kufanya kazi yao au hata kufukuzwa nchini na wakiwafukuza wasahau misaada.

Vipi kesi yenu ya ICC kupinga matokeo ya uchaguzi wa Magufuli imefikia wapi?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
kwa wapiga dili bwana duh! sasa mmekuwa dhaifu mnategemea wazungu!
 
Nani atawafukuzaaa... wazungu waachwe vile vile wanajuwa wanachofanya wenyewe huwa sio wajinga kama sisi tulivyo wajinga wa kufikiria kuna viongizi wetu mambo wanayoongea siku moja watakuja kujuta....atokeee kiongozo yoyote awapige marufuku hivyo vituo vya habari waone mshike mshike wake.....ndio hapo watajuwa wazungu ni watu tofauti kabisaaa na wanajuwa wanachofanya

Mjinga mwenyewe na kwenu, mzungu ni nguruwe tu, hanibabaishi, hakuna analoweza mm nisiweze, peleka mawazo/ fikra hasi kwenyu.
 
Acheni umbeya, hasa wa kuunganisha story na matukio.

Hao jamaa wameshuka kibao hapa Songwe airport Mbeya - wanaelekea Kitulo na maeneo mengine kushuhudia kupatwa kwa jua.

Msijifariji hakuna wa kuandamana, mzungu hawezi take risk ya kuleta mwandishi wake eneo ambalo kuna security alert, sana atatumia local journalists kwa ajili ya coverage.
Akili nyingine bhana! Wazungu wanaenda hadi Pakistan,Syria,Iran,Iraq kuchukua matukio sembuse Tanzania? Hivi unajua sheria za kimataifa zinazo mlinda mwandishi wa habari au umeamua kujitoa ufahamu?
 
Japo hii ni habari ya kutunga tuu "concoction", lakini ina ujumbe ndani yake! ,wakati wengine wakijitahidi kuepusha shari kwa kuhamasisha kutafutwa suluhu kwa amani, kuna wenzetu wengine wao wana anticipate kutokea kwa fujo na uvunjifu wa amani ili wapate cha kuripoti!.

Kwa bahati nzuri, hakutakuwa na maandamano yoyote, ila nitafuatilia hivi vyombo hivyo vya habari vya kimataifa (CNN, BBC, SBBC, CCTV ALJAZERA, RT) ili kuona kama wataripoti habari za kutokuwepo kwa maandamano hayo kwa sababu honestly I don't see maandalizi yoyote ya maana ya maandamano na mikutano ya hadhara nchi nzima kuhamasisha UKUTA.

No news is good news, ila kwa wenzetu bad news ndio good news! .

Pasco
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Unafikiri watu wanapelekwa huko ICC ovyo ovyo tu??????? Hujui hata huyo Mbowe, Tundu Lissu kwamba wanaweza kupelekwa ICC kwa kuchochea vurugu???? Unadhani ICC ndiye mwokozi wa UKAWA sijui UKUTA wait and see....nyie andamaneni muone, you will regret.....kamuulize Maalim Seif na ICC alichoambiwa huko ICC....
Wanadhani ICC ni danguro kwamba ukiwa na hela yako tu unajitoma ndani kumaliza shida yako
 
Labda wamekuja kutalii tu,
Naomba waorodheshwe kama watalii.
Wali jua hilo hata kipindi cha uchaguzi kuwa kutatokea vurugu
Lakini ikala kwao.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Unafikiri watu wanapelekwa huko ICC ovyo ovyo tu??????? Hujui hata huyo Mbowe, Tundu Lissu kwamba wanaweza kupelekwa ICC kwa kuchochea vurugu???? Unadhani ICC ndiye mwokozi wa UKAWA sijui UKUTA wait and see....nyie andamaneni muone, you will regret.....kamuulize Maalim Seif na ICC alichoambiwa huko ICC....
Tatizo ni akili za kufuata mkumbo hawa vijana
 
Uchunguzi uliofanywa na mchunguzi wetu unaeleza wazi kuwa vyombo hivyo vya habari vya kimataifa (CNN, BBC, SBBC, CCTV ALJAZERA, RT) vimewasili nchini /QUOTE]

BBC mbona wapo miaka yote na wana wawakilishi wao.Wamewasili toka wapi?
Kwa uongo hujambo.Anyway kama wamekuja kimya kimya watakuwa magaidi yaliyojificha kama waandishi wa habari
 
Hivi unajua sheria za kimataifa zinazo mlinda mwandishi wa habari au umeamua kujitoa ufahamu?

Kwenye vita huwa kuna sheria ya kumlinda mwandishi wa habari? Vita haina macho.Kule vitani waandishi huenda AT THEIR OWN RISK hakuna sheria ya kuwalinda.Mwandishi akiingia eneo la mapambano hakuna wa kuhangaika kumlinda watu wanahangaika na mapambano sio kuhangaika kulinda kikamera cha cha mwandishi.
 
Back
Top Bottom