Tetesi: Vyombo vya habari vya kimataifa vyaanza kuwasili Tanzania kuelekea Sep 1(UKUTA)

Tetesi: Vyombo vya habari vya kimataifa vyaanza kuwasili Tanzania kuelekea Sep 1(UKUTA)

Ninavyojua eclipse inapotokea waandishi wa habari duniani hufika ili kutoa ripoti tukio hili la ajabu.
Tutashuhudia wageni wengi wakifika nchini sasa kama camera zitaelekezwa chini badala ya angani hili ni suala lingine, lakini wanaokuja wala hawajui zaidi ya mwezi na jua
 
Taharifa zilizo tufikia punde ni kuwa baadhi ya vyombo vya kimataifa hasa vya nchi za magharibi na mashariki ya mbali vimeanza kuwasili nchini ili kushuhudia tukio kubwa la kitaifa linalo tarajiwa kufanyika mwanzoni mwa mwezi unao kuja (sep 1)

Uchunguzi uliofanywa na mchunguzi wetu unaeleza wazi kuwa vyombo hivyo vya habari vya kimataifa (CNN, BBC, SBBC, CCTV ALJAZERA, RT) vimewasili nchini baada ya taharifa zilizo ripotiwa na ubalozi wa marekani kwa raia wake ambapo imeelezwa kwamba taharifa za kijasusi zinasema kunaweza kutokea maandamano makubwa yanayoweza kupelekea mapigano na uvunjifu wa amani.

Pia wapo wachunguzi wengine wanasema maandamano haya yanasukumwa na baadhi ya mataifa yenyenguvu za ushawishi duniani.

Ikumbukwe kwamba vyama vya upinzani nchini vimeandaa maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika sep 1 kama yalivyo pangwa huku kukiwa na mivutano mikubwa na serikali ambapo madai ya wapinzani yanahusisha serikali kukiuka katiba.

source: ofisa uhamiaji (uwanja wa ndege JKNIA)

MY TAKE

Kwa mjibu wa nyaraka za MOSSAD, CIA, RAW na FSB juu ya elimu ihusuyo "kiwango cha hali ya hatari katika eneo la kiraia" ambacho hupimwa kwa kipimo kiitwacho Def Cond, inasema, "Pale majadiliano ya meza yanaposhinwa kuleta jibu chanya, wanamjadala hususia meza, ambapo katika kipimo husomeka Def Cond 0001".

Ikitokea kuwa hata huko walikoamua wanamjadala hao kupeleka hisia zao nako kukazuiwa, hasira ya wanamjadala hao huongezeka na kuwa Def Cond 0002. Hatua ya mwisho ya wanamjadala hawa huwa ni kwenda kwenye mahakama ya umma, hapa kipimo husomeka Def Cond 0003.

Hiki ni kipimo kikubwa katika medani ya kiusalama kwa mambo ya ndani, ambapo matokeo yake shughuli katika jamii husimama, serikali hushindwa kutawala wala kuongoza. Katika lugha nyingine huitwa mgogoro wa ndani,kisiasa,kikatiba nk...

Zingatia hali hii haizai vita, kwani ili vita kamili ya ndani izaliwe lazima hali ya hatari isomeki Def Cond 0006. Na ili vita kamili izaliwe katika ya taifa na taifa lazima hali ya hatari isomeke Def Cond 0008.

Ulimi ndio sila izaayo vita, na ulimi ndio silaha imalizayo vita... Hakuna silaha kubwa duniani kama Ulimi wa binadamu.
Wanapoteza fedha zao bure kwa sababu hakuna maandamano wala fujo yoyote kutokea
 
UKAWA au CHADEMA ni vyama vya siasa kama ilivyo CCM au TLP. Kila chama kiachwe kifanye shughuli zake za kisiasa kwa amani. Sijawahi kuona UKAWA au CCM wamefanya mikutano au maandamano kukatokea fujo.Nchi yetu ni ya amani, na tuna jeshi la polisi ambalo lina wajibu wa kulinda amani wakati vyama hivi vikifanya shughuli zake ikiwa ni pamoja na maandamano na mikutano. Tufuate na kuheshimu sheria na misingi tuliyojiwekea. Watu wanaoongelea fujo au machafuko, ni waongo, wanajaribu kuwatia hofu watanzania bila sababu za msingi...
 
Ally Jazeera: wenyewe wameongelea kwamba tatizo linaweza kuwa zaidi mgogoro wa Zanzibar

BBC UK : hawa wameongelea kauli ya mbowe Kuwa maandalizi yapo tayari

BBC focus in Africa : wameongelea kuuawa kwa wale police mbande

BBC Swahili : wameongelea kauli ya Kingunge kuwa uwepo usuluishi!

DW: wameingelea kauli ya mwigulu chemba kuwa Tunaye Raisi mmoja tu akiongea lazima wote tufuate!

Sauti ya America : hawa wamenukuu kauli za myika na Lowassa kwamba Ukuta upo pale pale!!

CNN : wameongelea mwendelezo wa kukamatwa kwa wapinzani na wamewaongelea Tundu Lissu na Zitto kabwe!!!

Hawa wote kwa wakati tofauti wanaongelea Ukuta lakini kilochonishutua ni kuona CNN wakionge
mambo ya Tanzania nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!

Nitoe tu ushauri kama mnafikiri mnapambana na viongozi wa chadema na wananchi wao mnajidanganya!!!

Kiukweli mnapambana na nchi zote ambazo zina democrasia Duniani kama UK,France, USA etc

Hivi mnafikiri Rais wa Tunisia ambaye aliondolewa kwa nguvu ya uma alikuwa Ajachaguliwa na wananchi?

Mnakumbuka sababu iliyomfanya aondolewe Rais wa Tunisia?
Si ilikuwa ni kumsumbua yule kijana machinga Aliyekuwa ameitimu first degree anajifanyia biashara zake mjini lakini police wakawa wanamsumbua kilichofatia ni watu kupatwa na hasira na kuingia barabarani na Rais akaondolewa kwa nguvu ya umma!!!

Sasa hivi tunapambana na wapinzani wakati mnajua kabisa marekani ni Rafiki wa wapinzani karibu duniani kote na mnategemea tena misaada kutoka kwao?

Hiyo misaada yote mnayotegemea kupewa tegeneeni maumivu kama mtasumbua raia wenu !!

Mjue tu tuko uchi wa myama na dunia yote sasa hivi inatumulika na tutakuja kuyajua haya badae!!
 
Akili nyingine bhana! Wazungu wanaenda hadi Pakistan,Syria,Iran,Iraq kuchukua matukio sembuse Tanzania? Hivi unajua sheria za kimataifa zinazo mlinda mwandishi wa habari au umeamua kujitoa ufahamu?
Kwa hio Kitulo National Parks pia kuna UKUTA?
 
Hicho ndicho wanachokifurahia Chadema. Wao watakuwa na hivyo vymbo, watanzania tutasimama na rais wetu.
 
Ally Jazeera: wenyewe wameongelea kwamba tatizo linaweza kuwa zaidi mgogoro wa Zanzibar

BBC UK : hawa wameongelea kauli ya mbowe Kuwa maandalizi yapo tayari

BBC focus in Africa : wameongelea kuuawa kwa wale police mbande

BBC Swahili : wameongelea kauli ya Kingunge kuwa uwepo usuluishi!

DW: wameingelea kauli ya mwigulu chemba kuwa Tunaye Raisi mmoja tu akiongea lazima wote tufuate!

Sauti ya America : hawa wamenukuu kauli za myika na Lowassa kwamba Ukuta upo pale pale!!

CNN : wameongelea mwendelezo wa kukamatwa kwa wapinzani na wamewaongelea Tundu Lissu na Zitto kabwe!!!

Hawa wote kwa wakati tofauti wanaongelea Ukuta lakini kilochonishutua ni kuona CNN wakionge
mambo ya Tanzania nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!

Nitoe tu ushauri kama mnafikiri mnapambana na viongozi wa chadema na wananchi wao mnajidanganya!!!

Kiukweli mnapambana na nchi zote ambazo zina democrasia Duniani kama UK,France, USA etc

Hivi mnafikiri Rais wa Tunisia ambaye aliondolewa kwa nguvu ya uma alikuwa Ajachaguliwa na wananchi?

Mnakumbuka sababu iliyomfanya aondolewe Rais wa Tunisia?
Si ilikuwa ni kumsumbua yule kijana machinga Aliyekuwa ameitimu first degree anajifanyia biashara zake mjini lakini police wakawa wanamsumbua kilichofatia ni watu kupatwa na hasira na kuingia barabarani na Rais akaondolewa kwa nguvu ya umma!!!

Sasa hivi tunapambana na wapinzani wakati mnajua kabisa marekani ni Rafiki wa wapinzani karibu duniani kote na mnategemea tena misaada kutoka kwao?

Hiyo misaada yote mnayotegemea kupewa tegeneeni maumivu kama mtasumbua raia wenu !!

Mjue tu tuko uchi wa myama na dunia yote sasa hivi inatumulika na tutakuja kuyajua haya badae!!
Tunajua cdm ni watekelezaji na wahamasishaji tu wenye miradi wako kwenye nchi ulizozitaja sasa kwa taarifa yenu tutawachapa ili muwarudishie taarifa kuwa tanzania siyo Libya, Tunisia wala Iraq. Na tutawakung'uta kweli ndiyo maana tumesema hakuna mbowe kuondoka mpk sept saba
 
Tunajua cdm ni watekelezaji na wahamasishaji tu wenye miradi wako kwenye nchi ulizozitaja sasa kwa taarifa yenu tutawachapa ili muwarudishie taarifa kuwa tanzania siyo Libya, Tunisia wala Iraq. Na tutawakung'uta kweli ndiyo maana tumesema hakuna mbowe kuondoka mpk sept saba
Nilidhani kila raia ana uhuru wa kusafiri wakati wowote. Mbowe lazima awe nje ya Nchi kama lolote likitutokea sisi wafuasi awe muakilishi wetu ICC.
 
Acheni umbeya, hasa wa kuunganisha story na matukio.

Hao jamaa wameshuka kibao hapa Songwe airport Mbeya - wanaelekea Kitulo na maeneo mengine kushuhudia kupatwa kwa jua.

Msijifariji hakuna wa kuandamana, mzungu hawezi take risk ya kuleta mwandishi wake eneo ambalo kuna security alert, sana atatumia local journalists kwa ajili ya coverage.
Hapo unakosea, kupeleka mwandishi kwenye security alert wakati wanawapeleka mpaka mstari wa mbele vitani? Halafu wewe unadhani hayo mashirika yana weza kuwa na local journalists wakutosha ku cover nchi kama hii? Yaweza kuwa habari hii sio kweli ila pia yawezekana hasa kutokana na kauli ya polisi na wimbi la mazoezi yao ya kivita mitaani. Hilo ndio kosa kubwa walilofanya polisi.
Kwa taarifa yako, tishio la sept 1 sio waandamanaji tena bali wezi, vibaka na majambazi ambao watatumia purukushani hiyo itakayo anzishwa na polisi kuvamia maduka, majumba na maofisi kufanya looting kama tunavyoona nchi zingine. Ndio maana nawasikitikia sana wale wanaosema ACHA WAANDAMANE WAKIONE bila kujua usalama wao majumbani utakuwa haupo kabisa
 
Tunajua cdm ni watekelezaji na wahamasishaji tu wenye miradi wako kwenye nchi ulizozitaja sasa kwa taarifa yenu tutawachapa ili muwarudishie taarifa kuwa tanzania siyo Libya, Tunisia wala Iraq. Na tutawakung'uta kweli ndiyo maana tumesema hakuna mbowe kuondoka mpk sept saba
No sense acha vitisho katishe familia yako upuuzi mtupu
Ally Jazeera: wenyewe wameongelea kwamba tatizo linaweza kuwa zaidi mgogoro wa Zanzibar

BBC UK : hawa wameongelea kauli ya mbowe Kuwa maandalizi yapo tayari

BBC focus in Africa : wameongelea kuuawa kwa wale police mbande

BBC Swahili : wameongelea kauli ya Kingunge kuwa uwepo usuluishi!

DW: wameingelea kauli ya mwigulu chemba kuwa Tunaye Raisi mmoja tu akiongea lazima wote tufuate!

Sauti ya America : hawa wamenukuu kauli za myika na Lowassa kwamba Ukuta upo pale pale!!

CNN : wameongelea mwendelezo wa kukamatwa kwa wapinzani na wamewaongelea Tundu Lissu na Zitto kabwe!!!

Hawa wote kwa wakati tofauti wanaongelea Ukuta lakini kilochonishutua ni kuona CNN wakionge
mambo ya Tanzania nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!

Nitoe tu ushauri kama mnafikiri mnapambana na viongozi wa chadema na wananchi wao mnajidanganya!!!

Kiukweli mnapambana na nchi zote ambazo zina democrasia Duniani kama UK,France, USA etc

Hivi mnafikiri Rais wa Tunisia ambaye aliondolewa kwa nguvu ya uma alikuwa Ajachaguliwa na wananchi?

Mnakumbuka sababu iliyomfanya aondolewe Rais wa Tunisia?
Si ilikuwa ni kumsumbua yule kijana machinga Aliyekuwa ameitimu first degree anajifanyia biashara zake mjini lakini police wakawa wanamsumbua kilichofatia ni watu kupatwa na hasira na kuingia barabarani na Rais akaondolewa kwa nguvu ya umma!!!

Sasa hivi tunapambana na wapinzani wakati mnajua kabisa marekani ni Rafiki wa wapinzani karibu duniani kote na mnategemea tena misaada kutoka kwao?

Hiyo misaada yote mnayotegemea kupewa tegeneeni maumivu kama mtasumbua raia wenu !!

Mjue tu tuko uchi wa myama na dunia yote sasa hivi inatumulika na tutakuja kuyajua haya badae!!
 
Mjinga mwenyewe na kwenu, mzungu ni nguruwe tu, hanibabaishi, hakuna analoweza mm nisiweze, peleka mawazo/ fikra hasi kwenyu.

Kama hakubabaishi mbona mnakula vumbi kila siku??na mbona mambo mengi hapa nchi wazungu hao hao ndio wanafanya acha upumbavu wako wewe...leteni vyoko vyoko kama hamjaburuzwa.....hakubabaishi kwanza wanakujua wewe??muulize boss wako anawapa respect sanaa na anawajuwa mziki wao...
 
Amani ya Tanzania ni muhimu kuliko kitu chochote

Kama hakuna HAKI hakuna AMANI. Amani ni Tunda la HAKI

Kutumia nguvu kubwa ya dola kuwanyamazisha wanaowashauri serikali kufuata sheria na katiba ya nchi siyo dawa ama suluhu ya tatizo.

Rais ni mtumishi wa watanzania na ameapa kwa katiba ya Tanzania, hivyo katika kutekeleza majukumu yake ya urais anatakiwa afuate misingi ya katiba
 
Tunajua cdm ni watekelezaji na wahamasishaji tu wenye miradi wako kwenye nchi ulizozitaja sasa kwa taarifa yenu tutawachapa ili muwarudishie taarifa kuwa tanzania siyo Libya, Tunisia wala Iraq. Na tutawakung'uta kweli ndiyo maana tumesema hakuna mbowe kuondoka mpk sept saba
Haha hao mapolisi laki mbili wachape watumilioni 45 mumedekezwa nyie kuna raisi sijui wa mali alizabwa vibao na wananchi kwa ujinga kama huu unaofanywa hapa nchini hakuna jeshi linazuia wananchi Mnatunga uongo eti Mbowe akimbiwe wapi ambako hajawa front line Mwanza Arusha Dar Mbeya Mbowe siku zote huwa front line na aliyekuwa katibu mkuu acha ubazazi wewe ukadhani nchi hii ya mama yenu
 
Uzuri hawa hawerembi,hawaogopi mtu wala kujipendekeza ila msije kushangaa wanawakee mashariti jinsi ya kufanya kazi yao au hata kufukuzwa nchini na wakiwafukuza wasahau misaada.
Hili Taifa haliendeshwi kwa misaada tafadhari kuwa na ADABU.
 
Tunakoelekea CHADEMA watakubali masharti ya ndoa za jinsia moja. Maana dah wanazidi kujipendekeza
 
Tunajua cdm ni watekelezaji na wahamasishaji tu wenye miradi wako kwenye nchi ulizozitaja sasa kwa taarifa yenu tutawachapa ili muwarudishie taarifa kuwa tanzania siyo Libya, Tunisia wala Iraq. Na tutawakung'uta kweli ndiyo maana tumesema hakuna mbowe kuondoka mpk sept saba
kwanza serikali ya mwingulu na wenzake wanakesi bado ya kujibu na kuwaeleza watanzania kuhusu mauwaji ya askari 4 na 56 kuuwawa.


swissme
 
Back
Top Bottom