Tetesi: Vyombo vya habari vya kimataifa vyaanza kuwasili Tanzania kuelekea Sep 1(UKUTA)

Tetesi: Vyombo vya habari vya kimataifa vyaanza kuwasili Tanzania kuelekea Sep 1(UKUTA)

Tunawakaribisha kuona maajabu asilia ya dunia ili wakirudi kwao wawe mabalozi wazuri wa utalii wetu Tanzania.

Vinginevyo watawaona jamaa wachovu wachache wakiandamana chini ya uangalizi mdogo wa polisi kisha viongozi wao wachovu pia wakitokwa povu kuhutubia hoja mfu kwa viumati visivyo na tija!

BTW: WAANGALIZI KUTOKA UN WATAKUWEPO?
Mkuu, hujitambui. UN haitumi waangalizi wake kwenye maandamano, na hiyo haijawahi kutokea popote. vyombo vya habari vina kazi ya ku report matukio duniani kwa ajiri ya kuhabarisha ulimwengu dhidi ya yanayotokea. sijui kama elimu zenu zinawasaidia kujitambua? what a shame..!
 
Acheni umbeya, hasa wa kuunganisha story na matukio.

Hao jamaa wameshuka kibao hapa Songwe airport Mbeya - wanaelekea Kitulo na maeneo mengine kushuhudia kupatwa kwa jua.

Msijifariji hakuna wa kuandamana, mzungu hawezi take risk ya kuleta mwandishi wake eneo ambalo kuna security alert, sana atatumia local journalists kwa ajili ya coverage.
Uelewa wako ni kinyume. Kama kuna security alert waandishi wabobeshi wanaeeza wakatumwa kuriport wakisaidiana na locals.
 
Uelewa wako ni kinyume. Kama kuna security alert waandishi wabobeshi wanaeeza wakatumwa kuriport wakisaidiana na locals.
Wanaweza, ila si of that massive kama tunavyotaka kuaminishwa kwamba jamaa wameishaingia kwa wingi.

Imagine kwa mfano: BBC wana centre yao hapa Dar then tuambiwe kuna BBC wengine wameingia, kwa tukio hili la UKUTA ambalo nalifananisha na tukio walevi waliopotea njia, hata haliwezi kuwa global story ukilinganisha na turmoil za Somalia, Libya, Syria etc.
 
Uzuri hawa hawerembi,hawaogopi mtu wala kujipendekeza ila msije kushangaa wanawakee mashariti jinsi ya kufanya kazi yao au hata kufukuzwa nchini na wakiwafukuza wasahau misaada.

Kwakuwa hawarembi then to you is okay hata kutokee fujo? Kweli kuna watanzania na watazamia!

All in all tupo gado na mategemeo yako count it zero!
 
Back
Top Bottom