Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vyombo tumieni hapo ufipani. Sisi tulianza na nyungu, na tutaendeleza nyunguuMchoraji maarufu wa katuni pale DW nchini Ujerumani ametoa mchoro unaoelezea uhalisia wa yanayo endelea kati ya shirika la afya duniani WHO na wenye maamuzi nchini Tanzania.
Je, hii ni sifa kwa taifa?
View attachment 1692360
Usisahau na ile ya Madagascar, iliishia kwao, waligawana mpaka le hatujui nani alikunywa na nani hakunywaGongeni nyinyi maana mna uzoefu wa kutosha tangia kwa Babu Ambilikile
phuck off 'who' , tuna nyungu
🤣 🤣 🤣 🤣 hio "faki" sasa alivyoiandika, utafurahi!Haha sawa Mzee wa Nyungu
Kwema lakini John ?
Kwema kabisa mkuu, tuna survive na 'nimonia' kibishiHaha sawa Mzee wa Nyungu
Kwema lakini John ?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] hio "faki" sasa alivyoiandika, utafurahi!
By they way kuna asiyeelewa kwamba kamaanisha nn? 🤣 🤣 🤣 🔥Anaogopa Ban huyo [emoji3][emoji3]
kwema kabisa mkuu, tuna survive na 'nimonia' kibishi
Achana na machanjo Yao, piga nyungu,Mchoraji maarufu wa katuni pale DW nchini Ujerumani ametoa mchoro unaoelezea uhalisia wa yanayo endelea kati ya shirika la afya duniani WHO na wenye maamuzi nchini Tanzania.
Je, hii ni sifa kwa taifa?
View attachment 1692360