kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Aibu ni kwa wanachadema na si watanzaniaAibu kubwa sana
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu ni kwa wanachadema na si watanzaniaAibu kubwa sana
Wewe ndiye mpumbavu unaye danganywa kuiita rangi nyeupe kuwa ni nyeusi,wacha kuwa mtumwa wa wanasiasaWazungu wameshaanza kukutwa na Corona hata baada ya kupigwa chanjo mbili mbili huko USA, tena ni wakubwa. Jiulize huko mtaani wapo wangapi ambao hawajaripotiwa. Hizo chanjo ni miradi ya watu. Enyi BAVICHA amkeni usingizini.View attachment 1692371View attachment 1692372
![]()
Massachusetts Democratic congressman, vaccinated for Covid-19, tests positive for virus
Democratic Rep. Stephen Lynch of Massachusetts, who has been vaccinated for Covid-19, tested positive for the virus on Friday afternoon and remains asymptomatic, according to his spokeswoman.www.google.com
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Soma hizo link halafu mpunguze utumwa wa akili na UPUMBAVU vichwani mwenu.
Gongeni nyinyi maana mna uzoefu wa kutosha tangia kwa Babu Ambilikile
Kawadanganye lumumba wenzako na mtakwisha kwa uzuzu wenuWazungu wameshaanza kukutwa na Corona hata baada ya kupigwa chanjo mbili mbili huko USA, tena ni wakubwa. Jiulize huko mtaani wapo wangapi ambao hawajaripotiwa. Hizo chanjo ni miradi ya watu. Enyi BAVICHA amkeni usingizini.View attachment 1692371View attachment 1692372
![]()
Massachusetts Democratic congressman, vaccinated for Covid-19, tests positive for virus
Democratic Rep. Stephen Lynch of Massachusetts, who has been vaccinated for Covid-19, tested positive for the virus on Friday afternoon and remains asymptomatic, according to his spokeswoman.www.google.com
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Soma hizo link halafu mpunguze utumwa wa akili na UPUMBAVU vichwani mwenu.
Kawadanganye lumumba wenzako na mtakwisha kwa uzuzu wenu
Kama ni ivyo acheni na kumuabudu mungu wao JESUS CHRIST sababu na yeye ni mzunguHivi kwani Nyungu sio dawa?.. au kuendekeza utumwa tu! Mpaka whites wakisema kitu ndo kiwe sahihi
Bara la Africa lilikuwepo hata kabla ya whites kuja kutuvamia. Wazee wetu kabla ya kuja whites walikuwa wanajitibia na nini? Dawa walizokuwa wanatumia zilikuwa zinasibitishwa na nan? Au walikuwa hawaumwi?
TUACHE UTUMWA WA KIFIKRA
Na misaada yao msiende kuwaomba
Akili na mawazo yenu hayana tofauti na yale ya KIBWETEREwewee endelea kusubiri chanjo
Mimi mwenzio kila siku nakunywa juisi ya miwa ndani kuna limao na tangawizi.
Mwak wa 5huu hya malaria siijui.wala homa n.k.
Kasoro nyungu sijapiga.maana nipo vizuri.
Kila mtu aliye JF hata wapinzani wenzako wanaujua vizuri uwezo wako wa kufikiri(thinking capacity) yako ilivyo chini kiasi cha kuchukua picha ya basi Google na kuli edit Photoshop na kudai kazawadiwa Lissu ukaliandika SERA MBADALA. Tangu 2019 halijafika na ushahidi upo humu. Mtu wa namna yako ni MPUMBAVU wa kiwango cha juu. Nasisitiza huna akili.Wewe ndiye mpumbavu unaye danganywa kuiita rangi nyeupe kuwa ni nyeusi,wacha kuwa mtumwa wa wanasiasa
Hata jina lako linaonyesha uhalisia wako we tuache sie kina madindigwa we nenda kapate chanjo hukoAibu kubwa sana
Awajamaa wa Bavicha akilizao wamezitunza store.Wazungu wameshaanza kukutwa na Corona hata baada ya kupigwa chanjo mbili mbili huko USA, tena ni wakubwa. Jiulize huko mtaani wapo wangapi ambao hawajaripotiwa. Hizo chanjo ni miradi ya watu. Enyi BAVICHA amkeni usingizini.View attachment 1692371View attachment 1692372
![]()
Massachusetts Democratic congressman, vaccinated for Covid-19, tests positive for virus
Democratic Rep. Stephen Lynch of Massachusetts, who has been vaccinated for Covid-19, tested positive for the virus on Friday afternoon and remains asymptomatic, according to his spokeswoman.www.google.com
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Soma hizo link halafu mpunguze utumwa wa akili na UPUMBAVU vichwani mwenu.
Haitasaidia kuiondoa corona Tanzania na uzuri wa corona inawabamiza watu wehu kama nyinyi.Kila mtu aliye JF hata wapinzani wenzako wanaujua vizuri uwezo wako wa kufikiri(thinking capacity) yako ilivyo chini kiasi cha kuchukua picha ya basi Google na kuli edit Photoshop na kudai kazawadiwa Lissu ukaliandika SERA MBADALA. Tangu 2019 halijafika na ushahidi upo humu. Mtu wa namna yako ni MPUMBAVU wa kiwango cha juu. Nasisitiza huna akili.
Wacha kujidanganya hapa Tanzania chanjo haiwezi kuepukika na mkubali msukubali lazima itakuja na watu watachanjwa tu,Hata jina lako linaonyesha uhalisia wako we tuache sie kina madindigwa we nenda kapate chanjo huko