Nashangaa mpaka leo hujamjua JPM vizuri. Hizo chanjo nakuhakikishia haziletwi bongo maana zinauzwa na Magu hatoi pesa, hata zikiletwa bure zitachomwa Kama zilivyochomwa test kits za Corona pale Temeke hospitali last year. Bado nasisitiza wewe kichwani ni mweupe huna akili.Wacha kujidanganya hapa Tanzania chanjo haiwezi kuepukika na mkubali msukubali lazima itakuja na watu watachanjwa tu,
Hakuna masikini anayeweza kumbishia tajiri tena kwenye jambo la kunusuru maisha ya watu