Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Ni wote wanaabudu Mungu? Na hajawahi kuona mtu ambae haabudu Mungu anafanya mema kuliko hao wanaojifanya watu wa Mungu?Kama ni ivyo acheni na kumuabudu mungu wao JESUS CHRIST sababu na yeye ni mzungu
Dhibitisha uhalali wa vipimo vya hayo magonjwa kwa hawa waheshimiwaa.Wabunge na viongozi wangapi wa CCM wana UKIMWI ikiwemo Ndugai na wanaishi kwa ARVs toka kwao??? Unakataa dawa ya COVID 19 ila ARV sawa???? Kataeni na ARVS Tuone
Issue sio kusema,tupeni tafiti zilizoidhinisha tiba yetu .nasii kudanganyana hapa,na uhakika wa tiba yake kwa asilimia.Hivi kwani Nyungu sio dawa? Au kuendekeza utumwa tu! Mpaka whites wakisema kitu ndo kiwe sahihi
Bara la Africa lilikuwepo hata kabla ya whites kuja kutuvamia. Wazee wetu kabla ya kuja whites walikuwa wanajitibia na nini? Dawa walizokuwa wanatumia zilikuwa zinasibitishwa na nan? Au walikuwa hawaumwi?
TUACHE UTUMWA WA KIFIKRA
ARV Zinatoka wapi vile?Dhibitisha uhalali wa vipimo vya hayo magonjwa kwa hawa waheshimiwaa.
Hao viongozi mlliowataja mnaushaidi?ARV Zinatoka wapi vile?
******* anagonga shudu,anakataa chanjo ya covid!Wabunge na viongozi wangapi wa CCM wana UKIMWI ikiwemo Ndugai na wanaishi kwa ARVs toka kwao??? Unakataa dawa ya COVID 19 ila ARV sawa???? Kataeni na ARVS Tuone
Wakati kuna wanaochanjwa na kufa. Wengine wamechanjwa na bado wakaambukizwa tena[emoji57][emoji57][emoji57]Watumie Kwanza wao wenyewe WAPONE.
Katuni ya kipuuzi tuMchoraji maarufu wa katuni pale DW nchini Ujerumani ametoa mchoro unaoelezea uhalisia wa yanayo endelea kati ya shirika la afya duniani WHO na wenye maamuzi nchini Tanzania.
Je, hii ni sifa kwa taifa?
View attachment 1692360
Hiyo chanjo ni ya majaribio, wakiona inafaa ndio wanawapelekea binadamu huko ulaya baada ya sisi wanyamapori huku Afrika kuwa tumeijaribu, hiyo wanayopewa wazungu sasa hivi ni placebo tu, sio chanjoHivi kwa nini nguvu kubwa inatumika kueshinikiza Afrika ikubali chanjo?
Kisa tumekataa chanjo 😂😂😂, ina nini kwani hiyo chanjo jamani?, mbona hivi lakini?!Na misaada yao msiende kuwaomba
Nadhani wewe ndiye mpuuzi kuliko huyo mchorajiKatuni ya kipuuzi tu