Vyombo vya habari vya nje na msimamo wa Tanzania juu ya Covid-19

Vyombo vya habari vya nje na msimamo wa Tanzania juu ya Covid-19

Status
Not open for further replies.
Tutachomwa kama tulivyochomwa yellow fever, tutachomwa kama tulivyochomwa zile za clinic. hutaambiwa lazima ila utakutana na vikwazo tu vitakufanya mwenyewe kwenda kufungua mkono. kwani lazima mpaka ushikwe barabarani? utalazimishwa kwa njia za akili tu wenyewe tutapiga foleni.
 
Wewe ndio hujaelewa kwa maana nyingine chanjo inafanya kazi. Kupata chanjo sio kwamba hupati corona ni kwamba utapata corona ila hautaumwa inakuwa kama mafua kawaida tu. Ingekuwa hawa wamepata chanjo halafu wakaumwa hapo ndio tatizo. kwa maana hii chanjo inafanya kazi. sasa kwanini wanajitenga? ni kwa sababu watu wengi hawajapata chanjo anaweza kuwapa corona wakaumwa. kwa hii chanjo iko fine. UK wamesema mpaka mwisho wa mwezi wa 2 watakuwa wamewapa chanjo watu wengi kipimo itakuwa wakiona wagonjwa wanapungua kulazwa ni mafaniko ila sio chanjo kutopata corona.
Huo ni ushahidi wa mwanzo, nitakupa ushahidi wa waliochanjwa na wakaumwa tena sio kutest +ve tu na kuumwa kulazwa. Hizo chanjo mpaka Sasa zipo kwenye majaribio kupitia miili ya watu. Nakuhakikishia kufika April ndo utanielewa na WHO itajitokeza kuongelea chanjo na ndo JPM ataonekana kama nabii. Kwa wiki 6 tu kampuni ya PFIZER imeshaingiza $ bil. 4 approx. Zaidi ya trillion 9 za kibongo. Na wameweka awamu ya 1, ya 2, etc ya chanjo. Hapo ni watu milioni 22 wa US.Bado wanaendelea kuchanja watu. Walitengeneza tatizo Sasa ndo linawalipa rasmi na malengo yao yanatimia. Wake up bro.
 
Huo ni ushahidi wa mwanzo, nitakupa ushahidi wa waliochanjwa na wakaumwa tena sio kutest +ve tu na kuumwa kulazwa. Hizo chanjo mpaka Sasa zipo kwenye majaribio kupitia miili ya watu. Nakuhakikishia kufika April ndo utanielewa na WHO itajitokeza kuongelea chanjo na ndo JPM ataonekana kama nabii. Kwa wiki 6 tu kampuni ya PFIZER imeshaingiza $ bil. 4 approx. Zaidi ya trillion 9 za kibongo. Na wameweka awamu ya 1, ya 2, etc ya chanjo. Hapo ni watu milioni 22 wa US.Bado wanaendelea kuchanja watu. Walitengeneza tatizo Sasa ndo linawalipa rasmi na malengo yao yanatimia. Wake up bro.
Mimi sitobisha kwenye facts na wala sina upande naongelea facts. mtu akipata chanjo corona atapata tu ila hataumwa kutafuta matibabu hosp hiyo ndio gauge ya kupima. ikitokea wamepigwa chanjo na bado watu wanalazwa waliopinga watakuwa sawa ila ukubali ukisikia number inshuka baada ya chanjo muwe tayari kumsema nabii kam wewe muongo.
 
Huo ni ushahidi wa mwanzo, nitakupa ushahidi wa waliochanjwa na wakaumwa tena sio kutest +ve tu na kuumwa kulazwa. Hizo chanjo mpaka Sasa zipo kwenye majaribio kupitia miili ya watu. Nakuhakikishia kufika April ndo utanielewa na WHO itajitokeza kuongelea chanjo na ndo JPM ataonekana kama nabii. Kwa wiki 6 tu kampuni ya PFIZER imeshaingiza $ bil. 4 approx. Zaidi ya trillion 9 za kibongo. Na wameweka awamu ya 1, ya 2, etc ya chanjo. Hapo ni watu milioni 22 wa US.Bado wanaendelea kuchanja watu. Walitengeneza tatizo Sasa ndo linawalipa rasmi na malengo yao yanatimia. Wake up bro.
Suala la haya makampuni kupata pesa hilo mimi haliniumizi kichwa wala sio muhimu kwangu ugonjwa udhibitiwe pia kuna gharama kubwa katika research na kuzalisha hizi dawa ni kazi gharama kubwa sana wana invest.
 
Mimi sitobisha kwenye facts na wala sina upande naongelea facts. mtu akipata chanjo corona atapata tu ila hataumwa kutafuta matibabu hosp hiyo ndio gauge ya kupima. ikitokea wamepigwa chanjo na bado watu wanalazwa waliopinga watakuwa sawa ila ukubali ukisikia number inshuka baada ya chanjo muwe tayari kumsema nabii kam wewe muongo.
Kwasasa ni mapema sana kuongelea effectiveness ya chanjo ni wiki chache tu toka zoezi lianze. Kufikia April mwishoni hadi May na kuendelea ndo majibu yataonekana. Kumbuka kipindi cha baridi ulaya kitakuwa kinaisha so kupungua kwa wagonjwa kwaweza kusitokane na chanjo, hata last year kipindi hicho wagonjwa walipungua sana summer. Anyway, tusijipe majibu muda ni rafiki mzuri. Penye ukweli uongo hujitenga.
 
Mimi sitobisha kwenye facts na wala sina upande naongelea facts. mtu akipata chanjo corona atapata tu ila hataumwa kutafuta matibabu hosp hiyo ndio gauge ya kupima. ikitokea wamepigwa chanjo na bado watu wanalazwa waliopinga watakuwa sawa ila ukubali ukisikia number inshuka baada ya chanjo muwe tayari kumsema nabii kam wewe muongo.
Ukisoma baada ya kupigwa ile ya kwanza inachukuwa siku 12 kumpa kinga ya 54% baada ile ya pili anapata kinga ya 80% plus tuipe nafasi science wenzetu wakionesha mafanikio tuwe wepesi kusema hapa tulikosea njooni mtupige sindano. wakikosea na wao lazima watashambuliwa tu.
 
Suala la haya makampuni kupata pesa hilo mimi haliniumizi kichwa wala sio muhimu kwangu ugonjwa udhibitiwe pia kuna gharama kubwa katika research na kuzalisha hizi dawa ni kazi gharama kubwa sana wana invest.
Kazi haiwi kubwa mtu aliyekuletea ugonjwa kukuletea dawa pia, pengine ana dawa kabla ya kukuletea ugonjwa. Ni Kama mchungaji anayekupandikiza majini halafu jumapili unakimbilia kwake ayatoe. Kazi inakuwa rahisi maana anayajua hadi majina. Unaamini kuna watu waliitengeneza hii Corona!?... Je ni akina nani!?
 
Kwasasa ni mapema sana kuongelea effectiveness ya chanjo ni wiki chache tu toka zoezi lianze. Kufikia April mwishoni hadi May na kuendelea ndo majibu yataonekana. Kumbuka kipindi cha baridi ulaya kitakuwa kinaisha so kupungua kwa wagonjwa kwaweza kusitokane na chanjo, hata last year kipindi hicho wagonjwa walipungua sana summer. Anyway, tusijipe majibu muda ni rafiki mzuri. Penye ukweli uongo hujitenga.
Nakubaliana na wewe 100% ni mapema haya yote ubishi utaisha ikifika katikati ya mwaka kila kitu kitakuwa wazi hakuna ubishi tena. wakati miaka ile chanjo za watoto kulikuwa na maneno kama haya ila imethibitisha chanjo za watoto zimeokoa maisha sana ya watoto. zamani watoto wanafariki matumbo ya kuharisha tu acha sijui surua siku hizi husikiii haya tena.
 
Ukisoma baada ya kupigwa ile ya kwanza inachukuwa siku 12 kumpa kinga ya 54% baada ile ya pili anapata kinga ya 80% plus tuipe nafasi science wenzetu wakionesha mafanikio tuwe wepesi kusema hapa tulikosea njooni mtupige sindano. wakikosea na wao lazima watashambuliwa tu.
Hiyo ni Pfizer ya US, Astrazeneca ya UK nao Wana formula yao, China ,Russia na wengine wana formula zao, tumuamini nani!?.. kumbuka WHO imetangaza dawa affordable (chanjo) kwa ajili ya nchi za Africa zile walizoagiza Kenya. At this stage bado unashauri tukurupukie chanjo!??????.... Si bora kujifukiza tu na kupiga dozi ya NIMR!?
 
Nakubaliana na wewe 100% ni mapema haya yote ubishi utaisha ikifika katikati ya mwaka kila kitu kitakuwa wazi hakuna ubishi tena. wakati miaka ile chanjo za watoto kulikuwa na maneno kama haya ila imethibitisha chanjo za watoto zimeokoa maisha sana ya watoto. zamani watoto wanafariki matumbo ya kuharisha tu acha sijui surua siku hizi husikiii haya tena.
Tatizo ni pale chanjo imevamiwa na ndani ya miezi nane wameibuka na chanjo. Mwezi wa 3 mwaka jana WHO,CNN,CBS,SKY na wengine walisema itachukua sio chini ya miezi 18 kupata chanjo na kuihakiki. Miezi 8 baadae wana chanjo tofauti tofauti. Australia waliibuka na chanjo December baada ya wiki wakaipiga marufuku wakadai wanaochanjwa wakienda kupima ukimwi wanaonekana positive. Hizi chanjo kwa dakika hii bado hujanishawishi ufanisi wake. Naamini natural stuff kwenye kudili na virus yoyote wa Dunia hii hasa nyakati hizi.
 
Hiyo ni Pfizer ya US, Astrazeneca ya UK nao Wana formula yao, China ,Russia na wengine wana formula zao, tumuamini nani!?.. kumbuka WHO imetangaza dawa affordable (chanjo) kwa ajili ya nchi za Africa zile walizoagiza Kenya. At this stage bado unashauri tukurupukie chanjo!??????.... Si bora kujifukiza tu na kupiga dozi ya NIMR!?
Unajuwa tahadhari yoyote ni bora unaweza kutumia dawa asilia zikasaidia mimi sitaki kudharau chochote unapokuwa una tatizo ukipewa chochote utatumia sababu unataka upone. tahadhari ni muhimu. kuna kitu tunadhani corona ni kitu kipya hapana kilikuwepo miaka na wana science walifanya research ni jamii ya SARs wakati ule ilipovamia miaka ya 2000 data walikuwa nazo na wali sign makubaliano ncho zote kubalishana infomation ila Pfizer na Moderna wao new tech mpya wanatumia hawa wengine ni tech kama chanjo za zamani ndio maana storage za pfizer ni ngumu kwa nchi maskini inahitaji facilities muhimu zote ni chanjo. nchi nyingi zimepitisha zote tu chaguo la mchomwaji anataka ipi.
 
Tatizo ni pale chanjo imevamiwa na ndani ya miezi nane wameibuka na chanjo. Mwezi wa 3 mwaka jana WHO,CNN,CBS,SKY na wengine walisema itachukua sio chini ya miezi 18 kupata chanjo na kuihakiki. Miezi 8 baadae wana chanjo tofauti tofauti. Australia waliibuka na chanjo December baada ya wiki wakaipiga marufuku wakadai wanaochanjwa wakienda kupima ukimwi wanaonekana positive. Hizi chanjo kwa dakika hii bado hujanishawishi ufanisi wake. Naamini natural stuff kwenye kudili na virus yoyote wa Dunia hii hasa nyakati hizi.
Ni kweli lakini sababu kubwa mwaka 2000 walichafanya research wakati wa SARs inauwa watu ila hawaku develope chanjo nchi hazikutoa pesa kuchangia ila data zilikuwepo ila corona ilivyokuja sababu imeleta shida katika uchumi nchi nyingi zikatoa mamilion chanjo ipatikane kwa sababu data zilikuwepo ilikuwa ni kufanya test tu ndio maana tunayaona haya. SARs hawakutaka kutoa pesa kwa kuwa haiukusimamisha shughuli za kiuchumi. juzi EU wanataka chanjo zisiende kwingine mpaka wapate wao sababu wamechangia pesa nyingi na sharti wawe kwanza kupata. kama USA na Moderna wamewapa pesa nyingi sana.
 
Tutachomwa kama tulivyochomwa yellow fever, tutachomwa kama tulivyochomwa zile za clinic. hutaambiwa lazima ila utakutana na vikwazo tu vitakufanya mwenyewe kwenda kufungua mkono. kwani lazima mpaka ushikwe barabarani? utalazimishwa kwa njia za akili tu wenyewe tutapiga foleni.
Umesema kweli mkuu
 
Mimi sitobisha kwenye facts na wala sina upande naongelea facts. mtu akipata chanjo corona atapata tu ila hataumwa kutafuta matibabu hosp hiyo ndio gauge ya kupima. ikitokea wamepigwa chanjo na bado watu wanalazwa waliopinga watakuwa sawa ila ukubali ukisikia number inshuka baada ya chanjo muwe tayari kumsema nabii kam wewe muongo.
Huyo yupo hapo kwa kupongeza kila kitu kitokacho kwa nabii
 
Wabunge na viongozi wangapi wa CCM wana UKIMWI ikiwemo Ndugai na wanaishi kwa ARVs toka kwao??? Unakataa dawa ya COVID 19 ila ARV sawa???? Kataeni na ARVS Tuone
Duh...............
Hivi sababu ya kukataa chanjo hii ni nini? Mimi nimeaminishwa kuwa tumekataa kwa sababu hakuna Corona au kuna sababu nyingine nyuma ya pazia?
 
South Africa chanjo imeingia tangia jana
Ngoja tusubili matokeo
 
Tatizo ni pale chanjo imevamiwa na ndani ya miezi nane wameibuka na chanjo. Mwezi wa 3 mwaka jana WHO,CNN,CBS,SKY na wengine walisema itachukua sio chini ya miezi 18 kupata chanjo na kuihakiki. Miezi 8 baadae wana chanjo tofauti tofauti. Australia waliibuka na chanjo December baada ya wiki wakaipiga marufuku wakadai wanaochanjwa wakienda kupima ukimwi wanaonekana positive. Hizi chanjo kwa dakika hii bado hujanishawishi ufanisi wake. Naamini natural stuff kwenye kudili na virus yoyote wa Dunia hii hasa nyakati hizi.
Severe acute respiratory syndrome coronavirus 2 (SARS-CoV-2) is the strain of coronavirus that causes coronavirus disease 2019 (COVID-19), the respiratory illness responsible for the COVID-19 pandemic.

Hawa ni ndugu moja ni kama hii ya SA vina change. ndio maana wanataka wote wachome sababu wanajuwa nchi moja ikikataa kuchoma corona vitakuwa vita change halafu vitaleta maafa tena kama walivyofanya 2003 tunalipa 2019. kuna watu wanasema wakichoma wao inatosha ila wanasema haitoshi sababu dunia kama kijiji tu ugonjwa unaweza kuanza nchi yoyote na ukasambaa dunia nzima tunaingiliana.
 
Katika kila darasa kuna litoto tukutu
Halielewi masomo lakini bish sana
Masoud Kipanya.......
 

Attachments

  • IMG_20210202_142504.jpg
    IMG_20210202_142504.jpg
    99.6 KB · Views: 2
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom