Vyombo vyote vya habari vinatamani kuongea na Lissu; mbona tulimtuhumu kama msaliti?

Vyombo vyote vya habari vinatamani kuongea na Lissu; mbona tulimtuhumu kama msaliti?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Naona Lisu akipewa mialiko kila Kona ya nchi, vyombo vya habari vinakimbizana kuhojiana naye tofauti na awali tulivyoaminishwa Kwamba huyu ni msaliti na MTU asiyelitakia mema Taifa letu.

Kwa speed ya mahojiano inavyokwenda soon TBC nao watamtafuta wazungumze naye akikaa vibaya hata Chanel ten wanaweza kujikomba kwake.

Kwa trend hii, NI kweli kwamba vyombo vya habari vipo huru? Uhuru gani wakumkataa MTU Leo na kumkubali kesho? Leo mnasema msaliti kesho mnashirikiana naye Bila kutueleza ameacha lini kuwa msaliti...mnatuchanganya Kwa kweli. Tushike lipi?
 
[emoji115][emoji115]
Usipotoshe Umma
#Jambotv na #Clouds360 ndio waliompapatikia Lissu Mpaka sasa.
Tena hao Clouds wakionyesha kiwango kidogo cha kufanya mahojiano.
#Kija,#Samsasali na #PaulJames walikuwa wakichekacheka na kuuliza maswali bayo tayari Lissu alikwishayatolea maelekezo yote.

Ebu tuwekee hapa majina tofauti na hayo na utuonyeshe wamempapatikia wapi kila kona ya nchi?

Acha kutuambukiza ujinga wako,ishi nao wewe na wenzio!
 
Naona Lisu akipewa mialiko kila Kona ya nchi, vyombo vya habari vinakimbizana kuhojiana naye tofauti na awali tulivyoaminishwa Kwamba huyu ni msaliti na MTU asiyelitakia mema Taifa letu.

Kwa speed ya mahojiano inavyokwenda soon TBC nao watamtafuta wazungumze naye akikaa vibaya hata Chanel ten wanaweza kujikomba kwake.

Kwa trend hii, NI kweli kwamba vyombo vya habari vipo huru? Uhuru gani wakumkataa MTU Leo na kumkubali kesho? Leo mnasema msaliti kesho mnashirikiana naye Bila kutueleza ameacha lini kuwa msaliti...mnatuchanganya Kwa kweli. Tushike lipi?
Teh teh
 
Naona Lisu akipewa mialiko kila Kona ya nchi, vyombo vya habari vinakimbizana kuhojiana naye tofauti na awali tulivyoaminishwa Kwamba huyu ni msaliti na MTU asiyelitakia mema Taifa letu.

Kwa speed ya mahojiano inavyokwenda soon TBC nao watamtafuta wazungumze naye akikaa vibaya hata Chanel ten wanaweza kujikomba kwake.

Kwa trend hii, NI kweli kwamba vyombo vya habari vipo huru? Uhuru gani wakumkataa MTU Leo na kumkubali kesho? Leo mnasema msaliti kesho mnashirikiana naye Bila kutueleza ameacha lini kuwa msaliti...mnatuchanganya Kwa kweli. Tushike lipi?
Hata achafuliwe vipi matendo yake yatamsafisha tu.
 
Naona Lisu akipewa mialiko kila Kona ya nchi, vyombo vya habari vinakimbizana kuhojiana naye tofauti na awali tulivyoaminishwa Kwamba huyu ni msaliti na MTU asiyelitakia mema Taifa letu.
Awe makini na hizo microphones
 
Vyombo vingi vya habari vilikuwa vinaimba wimbo wasioujua. Mwanzilishi wa wimbo wa usaliti wa Lisu ni jini jiwe.

Lol kn bahati nzuri wabaya hawadumu
 
Naona Lisu akipewa mialiko kila Kona ya nchi, vyombo vya habari vinakimbizana kuhojiana naye tofauti na awali tulivyoaminishwa Kwamba huyu ni msaliti na MTU asiyelitakia mema Taifa letu.

Kwa speed ya mahojiano inavyokwenda soon TBC nao watamtafuta wazungumze naye akikaa vibaya hata Chanel ten wanaweza kujikomba kwake.

Kwa trend hii, NI kweli kwamba vyombo vya habari vipo huru? Uhuru gani wakumkataa MTU Leo na kumkubali kesho? Leo mnasema msaliti kesho mnashirikiana naye Bila kutueleza ameacha lini kuwa msaliti...mnatuchanganya Kwa kweli. Tushike lipi?
Vilijazwa hofu.Sasa wanaona wakimualika chanel zao zitakuwa na watazamaji wengi,comets nk.
 
Back
Top Bottom