DOKEZO Vyoo vya UDOM ni hatari kwa afya ya watumiaji wake

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila bibi jamani
 
Tatizo choo Cha Bure wangeanza kuwalipisha wanafunzi wangekuwa wengine wanajisaidia mara moja tu Kila baada ya siku mbili choo kuwa Bure kwao wanaenda Kila mara chooni utafikiri Wana vipindi vya masomo chooni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukute kuanzia mkubwa wa chuo ni mtu aliyekuli kwa kunya vichkani huko kwao.

Wanafunzi tena ndiyo usiseme, "wakishua" utakuta wamekodishiwa mjengo jirani hapo wanamaliza haja zao. Hao wanaokwenda kwenye hivyo vyoo ni walewale kama mkubwa wa chuo, wa kunya vichakani tu.
 
Hakika umemaliza kila kitu, hawana nidhamu kuanzia mkubwa mpaka mdogo
Hao ndio wanaoandika ukutani kwa kinyesi

Huyo mkuu wa chuo anajua fika yanayoendelea halafu wakipata kipindupindu watasema ni mlipuko tu

Hawana aibu kwa kweli na uchafu ni jadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…