Vyoo vya Uwanja wa Ndege JNIA ni vichafu na havijafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu

Vyoo vya Uwanja wa Ndege JNIA ni vichafu na havijafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu

Una roho mbaya kiasi hichi hata kuandika vizuri huwezi?

Dada mimi ndege nimepanda sana kama vile daladala za kwenye mbagala siwez kumwonea roho mbaya mtu
 
Dada mimi ndege nimepanda sana kama vile daladala za kwenye mbagala siwez kumwonea roho mbaya mtu
Inawezekana maana siku hizi wanawake wengi mna hela kiukweli
 
Hii nchi inatoa tenda na ajira jwa misingi ya kindugu sana mpaka kusimamiana inakuwa tatizo.
Airport ni nchi,mtu anaanza kutuelewa anapoingia tu uwanja wa ndege,ukienda kwa wenzetu unaingia chooni unatamani usitoke,usafi,Tv,baridi na kila kinachohitajika.
Hawa maboss wa hapo sijui kwao watakuwa wanaishije,huenda makwao ni kama dampo,nyumbani kwao kutakuwa na mandhari ya kikungutukunguru tu.
 
Hii nchi inatoa tenda na ajira jwa misingi ya kindugu sana mpaka kusimamiana inakuwa tatizo.
Airport ni nchi,mtu anaanza kutuelewa anapoingia tu uwanja wa ndege,ukienda kwa wenzetu unaingia chooni unatamani usitoke,usafi,Tv,baridi na kila kinachohitajika.
Hawa maboss wa hapo sijui kwao watakuwa wanaishije,huenda makwao ni kama dampo,nyumbani kwao kutakuwa na mandhari ya kikungutukunguru tu.
Nyumba nyingi nikama store angalia mtu anapo hama kwenda sehemu nyingine
 
Vilevile elimu ya usafi isambazwe kwa jamii.

Kuna watu wengine aidha kwa makusudi au kutokujua hawajui utumiaji wa vyoo kwa ustarabu wakati maji yakutosha yapo!
 
Upatikanaji wa maji tiririka ukiwa si wa uhakika usitegemee vyoo kuwa visage. Kwa sehemu kama Mwalimu Julius Nyerere International Airport ambapo asilimia 70 ya wageni wetu wanaingilia hapo walipaswa kuwa na Simtanks ambazo zinajazwa maji na magari kama maji ya bomba ni shida. Wahudumu kuwa wanaingia kuangalia mazingira kila baada ya dakika 15.
 
Vilevile elimu ya usafi isambazwe kwa jamii.

Kuna watu wengine aidha kwa makusudi au kutokujua hawajui utumiaji wa vyoo kwa ustarabu wakati maji yakutosha yapo!
Ninashauri Wizara ya Afya impe tenda Kipanya kuchora vibonzo vya utumiaji bora wa vyoo na visambazwe kwenye public places kama vyuoni, mahospitalini, mahotelini, viwanja vya michezo na hata viwanja vya ndege.

Wengine sisi wa Kwamtogole hatujawahi kutumia vyoo vya ku flush.
 
Hili la vyoo vichafu ni donda ndugu kwenye vyoo vingi vya public.

Ni aibu Sana kwa inchi yetu kushindwa kuhudumia vyoo vya public,

Kwa kweli ni uchafu mtupu.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
mimi nadhani serikali ikabidhi selta binafsi vyoo vyake vyote, pale Busisi nako ukiingia kukojoa unatoka unanuka hatufu ya choo licha ya kwamba umelipia
serikali ime fail katika kusimamia hili
 
mswaili hajawah ku consider usaf wa choo kama agenda muhim.
tamadun zet choon bado mtihan sana.umakuta mtu choon hana ustaarb kabisa zero

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Ninashauri Wizara ya Afya impe tenda Kipanya kuchora vibonzo vya utumiaji bora wa vyoo na visambazwe kwenye public places kama vyuoni, mahospitalini, mahotelini, viwanja vya michezo na hata viwanja vya ndege.

Wengine sisi wa Kwamtogole hatujawahi kutumia vyoo vya ku flush.
Ustarabu unaanzia kwetu......

Kabla ya kulaumu tujiangalie sisi kwanza

Ova
 
Back
Top Bottom