Vyoo vya Uwanja wa Ndege JNIA ni vichafu na havijafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu

Vyoo vya Uwanja wa Ndege JNIA ni vichafu na havijafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu

H
Bila shaka kutakuwa na watu wa TAA humu. Nadhani watakuwa wamesoma na kupeleka taarifa ofisini kwao. Ila siku nyingine ukibanwa, jisogeze kidogo Kama unakwenda Terminal 3 , au Nenda Kabisa Terminal 3 - kule bado kupya. Nenda kale matunda ya nchi kule. Hata Kama unasafiri na local lights….
Uyu alikuwa na hamu ya kuweka rekodi ya kujisaidia vyoo vya airport. Ukarabati mkubwa inakuwa ja soon Kwa jengo Zina la terminal 2.
 
Back
Top Bottom