KERO Vyoo vya Wanaume Stendi Kuu ya Mabasi Singida ni vichafu sana, hizo 300 zinazokusanywa zinaenda wapi?

KERO Vyoo vya Wanaume Stendi Kuu ya Mabasi Singida ni vichafu sana, hizo 300 zinazokusanywa zinaenda wapi?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mliogwa

Member
Joined
Jun 6, 2024
Posts
37
Reaction score
37
Vyoo vya upande wa juu yanakotokea mabasi katika Stendi Kuu ya Mabasi Singida maarufu kama Stendi Mpya (vyoo vya kiume) havifai jamani..... ni vichafu vinatia kinyaa.

Ushuru tunaolipa getini na kwenye huduma ya chooo unafanya kazi gani?

Kwanini Manispaa isiweke kampuni ya usafi au watu maalum wa kufanya usafi vyooni. Kwa upande wa wanawake sijui lakini mazingira hata ya nje pale hayafai. Ukiwa unakaribia eneo la choo unakaribishwa na harufu kali ya mkojo. Kwakweli hapana jamani.

Manispaa shughulikieni hii mapema. Msimu wa wasafiri kuwa wengi ndo unawadia abiria watakuwa wengi jaribuni kuweka mazingira mazuri kiafya kwa watumiaji.
photo_2024-11-21_11-55-18.jpg

IMG-20241120-WA0060.jpg
IMG-20241120-WA0054.jpg
IMG-20241120-WA0052.jpg
IMG-20241120-WA0053.jpg
IMG-20241120-WA0064.jpg
IMG-20241120-WA0061.jpg
Pia soma ~ Vyoo vya stendi kuu ya mabasi Singida Vyasafishwa
 
Lakini unaionaje hiyo stendi mpya ya misuna mazingira yake kwa ujumla? Kwenye top ten ya stendi bora nchini ipo
 
Kwani nani amechafua, si wanaume wenyewe? Kusafisha sio suluhisho la kudumu. Ni watu kuwa wastaarabu katika matumizi vyoo vya jumuia. Most of us bado ni primitive people, tunachafua vyoo, tunatupa chupa tupu za maji nje ya magari. Unakuta mtu ana hela anaendesha gari zuri mara mchupa mtupu wa maji fyuu na kuangukia barabarani! Uncultured people, that is what we are. Shithole citizens hatutaki hata uraia pacha kwa sababu za kijinga tu. Tunashabikia mafisadi wawe viongozi wetu😀
 
Vyoo vya upande wa juu yanakotokea mabasi katika Stendi Kuu ya Mabasi Singida maarufu kama Stendi Mpya (vyoo vya kiume) havifai jamani..... ni vichafu vinatia kinyaa.

Ushuru tunaolipa getini na kwenye huduma ya chooo unafanya kazi gani?

Kwanini Manispaa isiweke kampuni ya usafi au watu maalum wa kufanya usafi vyooni. Kwa upande wa wanawake sijui lakini mazingira hata ya nje pale hayafai. Ukiwa unakaribia eneo la choo unakaribishwa na harufu kali ya mkojo. Kwakweli hapana jamani.

Manispaa shughulikieni hii mapema. Msimu wa wasafiri kuwa wengi ndo unawadia abiria watakuwa wengi jaribuni kuweka mazingira mazuri kiafya kwa watumiaji.
Kidogo nitapike ... Hicho ni choo au msalani...kichafu mnoo hapo nimeona kisonono bila hata microscope 🔬
 
Uchafu ndio utambulisho wa mtz.
Taifa limejaa watu wasiojielewa wengi sana.
 
Kwani nani amechafua, si wanaume wenyewe? Kusafisha sio suluhisho la kudumu. Ni watu kuwa wastaarabu katika matumizi vyoo vya jumuia. Most of us bado ni primitive people, tunachafua vyoo, tunatupa chupa tupu za maji nje ya magari. Unakuta mtu ana hela anaendesha gari zuri mara mchupa mtupu wa maji fyuu na kuangukia barabarani! Uncultured people, that is what we are. Shithole citizens hatutaki hata uraia pacha kwa sababu za kijinga tu. Tunashabikia mafisadi wawe viongozi wetu😀
Wabongo ni wachafu!
 
Lakini unaionaje hiyo stendi mpya ya misuna mazingira yake kwa ujumla? Kwenye top ten ya stendi bora nchini ipo
Inafaa kulinganishwa na stendi za Daladala kama Mbezi mwisho na si kwa Stendi za Mabasi
 
Back
Top Bottom