Vyovyote wafanyavyo, hata kama nia ni kumchafua, bado yeye ndiye turufu zaidi ndani ya chama chake hata kwa wapinzani

Hakuna anaefurahia utesaji,utekwaji wala umwagaji wa damu kwa watu wasio na hatia.

Rais amekuwa wa kwanza kulaani baada ya taarifa kumfikia na kuagiza vyombo vyake vifanyie kazi kisha vimpe taarifa,ukitaka Rais afanye nini??

Au ungekuwa wewe ndie Rais ungefanya nini??
 
Watanzania tuna unafki sana na hatuelewi kipaumbele chetu kama Taifa
 
Ni turufu ya kutegemewa kwenye kamari labda!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…