Proffesor
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 2,164
- 2,968
Sema wananchi wengi wanaikubal fiesta regardless na wasaniii wanaotumbuizastamina mbona yupo". (rostam watakuwepo).... ila honestly wamezingua" visanii visivyo na fan base vipo vingi mnooo ..mpaka Z.anto.... you know kuna harufu fulani inayonuka inayoonyesha kuwa kampuni haina hela" ndio maana wamebeba wasanii wengi wa kawaida ambao huwa wanamudu kuwafanyisha show kwa hela ya bia na sahani ya nyama choma" huku wakiwapatia ahadi ya promotion