The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Nilidhani ni mimi peke yangu niliyeona hilo,Uchafu mtupu
Usafi ni muhimu sana aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilidhani ni mimi peke yangu niliyeona hilo,Uchafu mtupu
Mahali: Mbezibeach - Mbuyuni
Kodi ya Mwezi: Tshs 300,000
Apartment ina Chumba Kimoja ca kulala ambacho ni Masta, Sebule na Jiko.
Ina: Fensi na geti, Maji ya bomba/dawasa 24hrs, Umeme Luku yake.
Maelezo Zaidi: 0716442950View attachment 1812070View attachment 1812072View attachment 1812073View attachment 1812074
Pumbavu Kama utegemei wateja kutoka humu nini kimekufanya ulete humu ? Hizo picha c ungemtumia bibi yakoUyo anajifurahisha tu, mimi dalali kitambo sitegemei wateja kutoka jamiiforum
Sio wote wenye Uwezo wa Kulipa laki 3 Kwa Mwezi, nawanataka Kuishi mbezibeach kwasababu zao mbalimbali.Hapa sawaa
Sio wote wenye Uwezo wa Kulipa laki 3 Kwa Mwezi, nawataka Kuishi mbezibeach kwasababu zao mbalimbali.
Sehemu za Kutangaza zipo nyingi sio Jf tu, kuna Facebook, instagram, Kupatana, Zoomtanzani, Jiji, Blogs, n.kPumbavu Kama utegemei wateja kutoka humu nini kimekufanya ulete humu ? Hizo picha c ungemtumia bibi yako
Nenda uko Instagram na fb usiendelee kupost humuSehemu za Kutangaza zipo nyingi sio Jf tu, kuna Facebook, instagram, Kupatana, Zoomtanzani, Jiji, Blogs, n.k
Huko watu kama nyinyi huwa tunawablock maana tumepewa uwezo kufanya ivyo lakini jf block yao haina maana.
Yaani Mkuu kuna picha umejaribu ku edit Ili kuficha uchafu na uchakavu. Very sad.
Hebu jamani jitahidini kuwapa watu huduma nzuri ilimpate kufurahia hela yenu. Tanzania ya sasa imebadilika watu wanataka value for their money. Waishi pazuri, wale pazuri na walale pazuri.
Afu ni Mbezi Beach. Loh.
Kiranga njoo uone
Masikini tukipata Kidogo huwa tunashida sana...Ndio nimeshakupangia sasa
Hata wew hizo nyumba sio zako,wakigoma kupangisha utakufa njaaMasikini tukipata Kidogo huwa tunashida sana...
Watu wenye nyumba kama hii, hawanaga muda wa Kupoteza kwenye mitandao, kuandika ujingaView attachment 1812434
Mungu nae anaangalia watu wa kuwapa vitu kama hivi, hawezi kukupa bwiga kama wewe.Hata wew hizo nyumba sio zako,wakigoma kupangisha utakufa njaa
Unajifanya Unaponda Kumbe Mbwiga tuWewe mwenyewe ni mbwiga mbona haumiliki sasa unabakia kudalalia mali za wanaume
Wenzio wanapangisha wanapiga hela, we umebakia kulelewa na jimama,Uchafu mtupu
Hahahaha mzee Ila kusema ukweli hivyo vyumba Ni low standard kulinga na eneo husika .Unaleta mbwembwe humu, wakati wewe unaishi tandale kwa tumbo, uswahili gari haifiki [emoji57]
Haijitambui uyo dadaPlease Zuia hii Karucee
Kuna watu tunakuheshimu humu ndani punguza majibizano yasiyo na maana.
Ungeweza kumkosoa katika namna inayofaa kuliko hiki Unachofanya.
Leave him alone plz.
Mzee acha mbwembwe weweHakuna Mteja hapo, wateja wanapiga simu.
Sasa hiki tangazo umeliweka Hilo iweje?[emoji15][emoji15][emoji849]Uyo anajifurahisha tu, mimi dalali kitambo sitegemei wateja kutoka jamiiforum