Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
mbona umesema Elon Kasoma KoreaSiachi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona umesema Elon Kasoma KoreaSiachi
😂😂😂 aya mambo yanakatisha tamaaUdsm ni College tu, kwa nchi serious Udsm hakina hadhi ya kuwa chuo kikuu
Na akili yako timamu unaweza linganisha wanafunzi wanaomaliza UDSM na Yale au Harvard? Baada ya kumaliza vyuo wanakuja kufanya nini mitaani? Wapi wameleta matokeo chanya kwenye jamii?Lazima tukatae huu utumwa wa kishenzi.
Nani anayapangilia ubora wa vyuo? Beberu?
Africa nzima hakuna chuo bora hata kimoja kwenye top ten?
Aisee..Lazima tukatae huu utumwa wa kishenzi.
Nani anayapangilia ubora wa vyuo? Beberu?
Africa nzima hakuna chuo bora hata kimoja kwenye top ten?
Kiko nchi gani hicho?Mbona cha usdm sijakiona
Teofiro msanji cha ngapi jameni
Sasa pale UDSM wanafunzi wanashindana kula mihogo, IFM kila siku picha za uchi. Huoni sababu hapo ya sisi kuwa shit hole ?Lazima tukatae huu utumwa wa kishenzi.
Nani anayapangilia ubora wa vyuo? Beberu?
Africa nzima hakuna chuo bora hata kimoja kwenye top ten?
UkisemaUnahisi Bongo kuna vyuo kweli
Mate wangu wa Stanford nakuona 😄😄😄😄[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kikitoka Yale kinafata hikl mkuu wamesahau tu kukieka
Hicho sio chuo kikuu.Teofiro msanji cha ngapi jameni
Sasa kina CBE na Dodoma watakuwa wapi?Udsm ni College tu, kwa nchi serious Udsm hakina hadhi ya kuwa chuo kikuu
[emoji16]Sisi wa CBE tunaweka wapi comments zetu