omereyo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 308
- 91
Sijasoma mzumbe ila wametumia kigezo gani iwe ya 13?
The Hubert Kairuki ipo ndan ya vyuo mia bora kwa Africa sikumbuki niyangapi kipo chenyewe na UDSM..Kwahiyo kwa rank za Africa kwa Tanzania kitakuwa cha pili y hapo kipo cha nne?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kila mtu atasema kuvutia wadau!.