Vyuo vikuu vya Marekani vilivyohusika katika maandamano ya Wapalestina: Netanyahu anasema ni Hamas

Usijifanye unanijua sana JF siyo sehemu ya porojo na bahati nzuri kuna kila data za member ukileta hizo
Posts unazosema najitoa JF kama usipoleta basi nakuweka kwenye group la mashoga wazee wasiyo jitambua nakupa na jina rasmi Shoga Miittoga.

Nasubiri hizo post
 
Weka hapa mahali nilipofurahia na kushabikia mtu yoyote kuuliwa bila hatia.
Mimi kwanza niliwashutumu Hamasi wewe ulikuwa kimya kabisa.
Leo watoto wasio na hatia wa gaza wanauliwa ndio unajitokeza shimoni kulaani.
Mnafiki mkubwa wewe
wewe mlokole wa Maji Matitu mimi nipo JF kila siku angalia nyuzi zangu nimejitokeza wapi wewe kweli bwege hao watoto wa Gaza wanauliwa na nani? Eti mimi wa kwanza wa kwanza kwenye nini kwanza mimi hata sikuhamu ndiyo leo nakusomo halafu mimi na mashoga mbalimbali.
 
Kila kitu lazima mtukane mashoga ambao hata hamuwajui, kwani wamewakosea nini, cha ajabu hamuachi kukimbilia nchi zao, hata hiyo keyboard unayotumia kuandika uharo wako imetengenezwa na mashoga
 
Wana create sympathy ya magaidi wa kiislamu yasije jitoa muhanga kuua watu USA. Na USA wajanja, wanahakikisha hamas anapata kichapo cha mbwa koko huku wanajifanya kumuonea huruma hahaha
Na ni mwanamke wewe umekuwa katili kiasi hichi si mzazi wewe bibi? unajuwa uchungu wa kuzaa ila haishanfazi waafrika wengi huruma ni kwa familia zao tu,ndio ulikuwa supporters mkubwa wa katili mwenzio Magufuli.
 
Kila kitu lazima mtukane mashoga ambao hata hamuwajui, kwani wamewakosea nini, cha ajabu hamuachi kukimbilia nchi zao, hata hiyo keyboard unayotumia kuandika uharo wako imetengenezwa na mashoga
Wewe kweli punguani hiyo keyboard napewa bure si nanua hao wazungu mbona na wao walikija kwetu kuiba mali zetu za asili.
 
Kwanini hukuwalaani Hamas walipo uwa watu wakiwemo watoto wasio na hatia kule Israeli ?

Nikikuwekea hapa vitendo vya Ushoga vya kiongozi wako mlivyoviandika wenyewe utakimbilia kuwaambia Mods wanipige bani?
Sema nikusikie nibandike hapa jinsi kiongozi wako alivyofanya vitendo vya kishoga hadi na wavulana wadogo.
Jinga kabisa wewe
Israeli ina watoto pia na sio Gaza pekee.
 
Uliwahi hata sekunde moja kuwalaani Hamasi kwa kitendo chao cha kuuwa watoto wa Israeli wasio na hatia ?
Kama sio, leo huruma yako inatokea wapi?
Au unaongea kama Mwanafamilia wa mji wa Gaza ?
 
Punguani hilo kila kitu kinachukulia kwa mtazamo wa kilokole.
 
Siliza mimi siyo mtu porojo wala
Kuokota maneno kwenye vijiwe vya mapuya na kuleta JF. Unajua kama Israel waliwauwa raia wake ?
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kwanini hukuwalaani Hamas walipo uwa watu wakiwemo watoto wasio na hatia kule Israeli
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kwa faida ya JF weka ushahidi wa hao watoto wa Israel walioliwa na mimi takuwekea ushahidi wa Israel kuwaua raia wake Oct 7

Kukusaidia kingine huwenda ufaahmu mgogoro wa Palestina na Israel haukuanza Oct 7 toka mwaka 1947 wapelistina wanauliwa na kuporwa ardhi yao wewe unanileta habari za kulaani leo ndiyo maana nakuita punguani.
 
Uliwahi hata sekunde moja kuwalaani Hamasi kwa kitendo chao cha kuuwa watoto wa Israeli wasio na hatia ?
Kama sio, leo huruma yako inatokea wapi?
Au unaongea kama Mwanafamilia wa mji wa Gaza ?
Usiletee porojo weka ushahidi hao watoto walioliwa na Hamas yaani unamezeshwa habari na walokole wenzako unaleta JF? JF sehemu ya porojo ukiweka ushahidi acha kulaani najitoa JF.
 
Mada inasemaje kwanza
Naona unatoka nje ya mada.
 
Usiletee porojo weka ushahidi hao watoto walioliwa na Hamas yaani unamezeshwa habari na walokole wenzako unaleta JF? JF sehemu ya porojo ukiweka ushahidi acha kulaani najitoa JF.
Kwani chanzo cha vita hii inayoendelea Gaza ninini hasa.

Israeli wanalipiza kisasi cha kuuliwa na kutekwa watu wao na Hamas.
Hamasi na Israeli wakatangaza vita kwa makubaliano yao.
Vita inaendelea hamas wanauwa waisraeli na waisraeli wanauwa wapelestina.
Wewe unakuwaje upande mmoja?
Hamas kama alijiona hana nguvu asingewachokoza Israeli.
Pia Hamasi alitakiwa aikate vita na Israeli.
hujui kuwa vita havina macho na vita ni halali kutokana na Maazimio ya Kimataifa?
Ndio maana vita vimetungiwa sheria kabisa za kupigana kama kuvaa kombati, kuto tumia silaha za Sumu nk.
 
Na walokole wa

Na walokole wa hapa bongo. Wa maji matitu watasema kweli ni hammasi maana wao ni kama nyumbu tu huwewzi kuwaambia kitu
shida iko wapi? Iandamane hata dunia nzima dhidi ya israel, kichapo kiko palepale kwa hao magaidi. Israel itapata ushindi mkubwa dhidi ya dunia iliyo kinyume nayo
 
Msomeni huyu mlolokole anatoa historia ya vita vya Israel na Palestina, nakushari tu nakukupa nasaa ukiendelea kubishana na ushabiki mandazi utajipunja vingi sana soma historia huenda una umri mdogo nafunga mjadala na wewe.
 
Kwahiyo Hamasi walikuwa wanachagua kuuwa watu wazima tu.

Zile risasi na makombola yao yalikuwa yanauwa watu wazima tu
Ndivyo unavyotaka kusema hapa
Mauaji ya Gaza wakulaumiwa ni Hamasi.
Unamchokozaje anayekuzidi nguvu halafu unaanza kulialia bila sababu.

Haya sasa maelfu ya wanagaza wanauliwa na kukosa makazi.
Hamas kama chama cha siasa hawakutafakari hayo madhara yake kabla ya kukubali vita ?

Au waliwategemea wanafunzi wa Marekani waandamane kusitisha vita waliyoianzisha na inayowashinda?
 
Nakumbuka kipindi vita haijaanza watu walikuwa humu kufurahia Israel alivyovamiwa ile October 7. Tuliwaonya tukasema vita Haina macho ona Sasa Leo Gaza na Palestina yote imekuwa Majibu. Hao hapo Marekani wanaadamana bunge litatunga Sheria maandamo yoyote kuhusu Palestina ni antisemitism... Kwisha Habari na ndicho kitakachofuata.


Cha kushangaza hayo maandamano hatuyasikii kwenye vyuo vya Saudi Arabia au UAE.



MIMI NASEMAJE ISRAEL CHAPA HASAAAA


HIKI NDIO KIPINDI ISRAEL HAPASWI KURUDI NYUMA


WAO WALIJIFANYA WAJUAJI WEWE KUWA MJUAJ MARA 1000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…