Vyuo vya kikatoliki

Huyo anaejiita Jumong S yanayomsababishia umaskini ni mengi. Badilika la sivo siku nyingine wananchi wenye hasira kali watakuua, mjini wizi haufai fanya kazi.
 

Unakumbuka ulivotaka kuuawa na wananchi wenye hasira kali pale Mwenge sababu ya wizi wako. Leo unamshauri mwenzio aache chuo ili mfanane.
 

Ulilazimishwa kusoma hapo?

Nenda Arusha University, wanalazimisha kufanya Jumapili na siyo jumamosi!

Acha uvivu, kuwa flexible!
 

Acha kukashifu imani za watu mkuu. "Avalishwe vipedo na kibakuli ndio nini"? Tutumie lugha rafik katika majadiliano itapendeza zaid
 
Ninyi si ndio mna imani ya kutokunywa chai ya rangi, koka na mnatakwe kwenda ulaya kuhubiri kwa mguu bila nauli ya ndege?
 
Ninyi si ndio mna imani ya kutokunywa chai ya rangi, koka na mnatakwe kwenda ulaya kuhubiri kwa mguu bila nauli ya ndege?

Hahahahahaha hata passport hawana sijui wataingiaje kwenye nchi husika!!!
 

Hata nyie SDAs mmeanza tabia ya kulalamika lalamika kijinga kama wale jamaa?
Jitizame upya bwanamdogo!!!
 

Haaaaahahaaaaaaa..mbavu zangu japo ni ukweli tupu
 
Taasisi nyingi ukiondoa zile za umma zinafanya kazi hadi Jumamosi Cha kukushauli wewe vumilia tu umalizie masomo yako mda mwingine utakuwa makini kujua mashariti ya taasisi unayotaka kujiunga nayo kabla kufanya hivyo
 
Vyuo viko vingi bana, unalia njaa wakati mama ntilie wapo kibaooo...
 
bahati yako nimefunga, ningekupa tusi moja la tani 50 ili uwe na ustaarabu siku nyingine, unaizungumzia MUM hivyo lengo lako nn?

Kwaiyo kwenye mfungo tu matusi hutoi afu baada ya mfungo matusi unajaza mdomoni duh hii kali sasa si bora uache tu kufunga mana kwa miezi 12 mi mwezi mmoja tu unakuwa unashika dini afu mingine matusi kwa kwenda mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…