A.R.M
Member
- Oct 6, 2012
- 89
- 21
Jamani nauliza hivi kwanini vyuo vya kikatoliki vinalazimisha watu kufanya mitihani siku ya jumamosi?,ila jumapili hawawezi?na wakikujua wewe ni wa jumamosi ndio wanakuambia ukubali kwa kuweka sahihi yako kuwa utakuwa unafanya mitihani siku hiyo na ukikataa unadisco chuo?,
mbona chuo cha wasabato siku ya jumamosi maji yanakatwa ili msifue nyie ambao sio wasabato.