Vyuo vya Kisabato na degree ya sheria

Vyuo vya Kisabato na degree ya sheria

huu utetezi wako ni wa kike unangozwa na mihemko zaidi

Upeo wako ndo umeishia hapo, Na Nina uhakika huwezi tetea kauli yako endapo nikikuuliza Ni kwanini umesema hivyo. Zaidi sijaelewa unamaanisha nini unaposema utetezi wangu Ni wa kike, kwamba unaeleweka, au wanawake hawawezi toa utetezi?

Zaidi rejea ID yako Na profile picture uliyoweka.
 
Sometimes you better keep your fingers and not bother. Try to imagine suala la Taasisi ya kidini kukosa kozi mtu analianziashia hoja hivi huwezi tambua kuwa huyu mtu ana lake jambo ila ameshindwa kwenda straight na anaanzia mbali tu vyuo vingapi havifundishi sheria na sio sheria tu Engineering, medicine, mbona vyuo vya serikali havifundishi theology na watu hawaulizi. Itafika hatua tutaanza kuulizana hata mavazi sasa kwanini unavaa suti. Vitu vingine heri kunyamaza tu

Fuata ukweli unakokupeleka, muanzisha mada anataka kujua sababu za kutofundishwa sheria vyuo vya kisabato.
Kama wajua tujuze na sisi plz
 
Mkuu, kwanza Chuo hakikulazimishi wewe usome kitu flani ndani ya siku flani, ningependa uufute kabisa huo mtazamo wako kwanza,
Fahamu kwanza utaratibu WA Chuo umewekwa kabla hata ya mwanafunzi kwenda hapo chuoni, Na hata kwenye sekta nyingine Ni vivyo hivyo, Na hauwezi kubadilishwa Na kitu kimoja kikaathiri wengi kwa sababu ya interest zako, kwa ifupi Chuo kinapopanga ratiba fulani huwa hawaangalii Ni nani muislam au mkristu kwa sababu like siyo suala la dini, kinachoangaliwa pale Ni itifaki ya Chuo husika ambayo mwanafunzi lazima aitambue kabla ya kufanya maamuzi ya kujiunga Na Chuo hicho (hapa nazungumzia kile kipindi TCU haijakuwa Na mandate ya kudahili wanafunzi)
...sasa Kama wewe Ni muislam alaf unaenda Chuo cha kinachomilikiwa Na mfumo kristu, ujue Kuna mambo lazma yatabase kwenye ukristu Na Ni lazma uyafuate Kama ukitaka, Na huwezi sema umenyimwa haki.

PIA ifahamike kuwa hata mitihani ya taasisi za elimu zinazomilikiwa Na serikali, huwa Kuna note inawekwa kuwa ratiba haitabadilishwa endapo tarehe ya mtihani itaangukia kwenye sikukuu za kitaifa n.k. (Christmas Na Eid nazo Ni sikukuu za kitaifa) Na hili nimeshalishuhudia Mkwawa University kipindi nipo chini ya UDSM, watu walifanya mtihani siku ya Christmas Na mwaka mpya. So usiwalaumu SAUT maana najua Wao ndo waliwafukuza wanafunzi wa kisabato walipogoma kufanya mtihani siku ya jumamosi.

Na sijui Ni haki gani SAUT waliyoikiuka, je, unaweza itaja? Na ukiitaja ueleze na mipaka ya haki za binaadamu, maana najua haki za binaadamu zina mipaka (check limitations of human rights)

Mfano mzuri Ni shule za kiislam, Kama Thaqaafa pale mwanza Na nyingine uzijuazo, (mdogo wangu Ni mkistu 100% Na kasoma pale, Na Mimi ndo nlikuwa ninampeleka so najua protocal zao hata kabla) hiyo shule wasichana Ni lazima wavae hijab, ambalo nna uhakika Ni vazi la kiislam Na lugha inayotumika Ni English au Arabic, so Na mdogo wangu alivaa na hakuna aliyelalamika. Kwasababu yeye ndiye aliyechagua wakati alikuwa Na options za kwenda shule nyingine tena za kikristu.

Sasa unataka kundi flani la watu wanaoabudu j5 Na Wao jumatano iwe siku ya mapumziko?, Kama Ni hivyo mbona waislam wanafanya mitihani ijumaa Na hawalalamiki?, hilo la wasabato limetoka wapi?, au Wao ndo wana haki zaidi, ukitaka kujibu anza kunijibu kuhusu ijumaa Na waislam kuhusu kufanya kazi Na kwenda mashuleni, then uendelee.

Tafakari.



Maandiko yanasema ikumbuke siku ya sabato uitakase, siku Sita fanya kz zako Lkn siku ya Saba ni Sabato ya Bwana Mungu wako, siku hiyo usifanye kz yoyote, wewe wala Mja wako, wala Mgeni alie ktk malango yako, wala mnyama wako wa kufuga, etc...!

Hapa wasabato ndio wanasimamia..... Haya ni maagizo ya Mungu kwa wanadamu...! Sasa km wengine hawafati wanakwenda kinyume na Mungu..!
 
Maandiko yanasema ikumbuke siku ya sabato uitakase, siku Sita fanya kz zako Lkn siku ya Saba ni Sabato ya Bwana Mungu wako, siku hiyo usifanye kz yoyote, wewe wala Mja wako, wala Mgeni alie ktk malango yako, wala mnyama wako wa kufuga, etc...!

Hapa wasabato ndio wanasimamia..... Haya ni maagizo ya Mungu kwa wanadamu...! Sasa km wengine hawafati wanakwenda kinyume na Mungu..!

Umeelewa alichokiandika huyo jamaa..

Ameandika Busara tupu lakini wewe unajifanya hujaona busara hiyo..
 
wasabato hawawezi kuwa na idea ya kuwa na chuo kiuu,wao wanajua tu biblia na kubishana kuhusu hiyo biblia

Unaitaji maombi ili kufikili nje ya box ina maana wanabishana tu au wanaelimisha na umesema hawana idea ya kuanzisha vyuo vikuu inamaana hamna wasabato waliosoma vyuo vikuu mbaka wakose idea ya kuanzisha vyuo au wote wanaelimu ya biblia tu hawana elimu ya darasani?
 
Umeelewa alichokiandika huyo jamaa..

Ameandika Busara tupu lakini wewe unajifanya hujaona busara hiyo..

Nilichokijibu ndicho nilichoelewa we sema km Hayo sio majibu sahihi...!

Alafu kuna busara Zaidi kuliko neno la Mungu? Au wewe ndio unajifanya huoni?
 
Hiyo alizungumzia chuo cha Arusha pekee, vyuo vya Kisabato huko duniani vinatoa degree ya sheria.Ni mawazo mgando ndio huwaza kuwa kazi ya mwanasheria ni kutetea uhalifu pekee, sheria ni pana na ina vipengele kibao.Kama unaishi kwenye nchi iliyojaa wizi na ufisadi kazi ya mwanasheria ndio huwa reduced kwenye kutetea wahalifu..

SDA majors and programs | Adventist Colleges and Universities
 
Hiyo alizungumzia chuo cha Arusha pekee, vyuo vya Kisabato huko duniani vinatoa degree ya sheria.Ni mawazo mgando ndio huwaza kuwa kazi ya mwanasheria ni kutetea uhalifu pekee, sheria ni pana na ina vipengele kibao.Kama unaishi kwenye nchi iliyojaa wizi na ufisadi kazi ya mwanasheria ndio huwa reduced kwenye kutetea wahalifu..

SDA majors and programs | Adventist Colleges and Universities

Wakuu,

Jana nilijuwa na jamaa zangu na niliwauliza kuhusu chuo kizuri cha sheria kwakuwa kuna jamaa yangu anahitaji

Katika mazungumzo hayo kuna jamaa alitaja chuo kumoja cha kisabato ndipo jamaa yetu akasema kuwa vyuo vya kisabato havitoi degree hiyo kwasababu ya kidini,nilishangaa

Bahati mbaya pale hakukuwa na mtu mwenye majibu sahihi ya maswali yangu,naombeni mnijuze kama hili lina ukweli na kama ni kweli ni kwanini

Karibuni Ntuzu Ishmael Mkuu wa chuo charminglady Basluma Original Otorong'ong'o Nkwesa Makambo Lisa Valentine na wengine ...
 
Last edited by a moderator:
Vyuo vya kisabato vinatoa degree ya sheria, huyo alizungumzia chuo cha Arusha pekee;

SDA majors and programs | Adventist Colleges and Universities
Wakuu,

Jana nilijuwa na jamaa zangu na niliwauliza kuhusu chuo kizuri cha sheria kwakuwa kuna jamaa yangu anahitaji

Katika mazungumzo hayo kuna jamaa alitaja chuo kumoja cha kisabato ndipo jamaa yetu akasema kuwa vyuo vya kisabato havitoi degree hiyo kwasababu ya kidini,nilishangaa

Bahati mbaya pale hakukuwa na mtu mwenye majibu sahihi ya maswali yangu,naombeni mnijuze kama hili lina ukweli na kama ni kweli ni kwanini

Karibuni Ntuzu Ishmael Mkuu wa chuo charminglady Basluma Original Otorong'ong'o Nkwesa Makambo Lisa Valentine na wengine ...
 
Last edited by a moderator:
Vyuo vya kisabato wanatoa degree ya Sheria, hicho cha Arusha ndio hamna lakini vuovingine vya kisababto
wanafundisha law and legal studies
SDA majors and programs | Adventist Colleges and Universities

Kama Kuna ukweli, Kuna sehemu wameteleza kwa sababu
1. Waumini Wao wanasoma sheria, wengi nawafahamu, mfano mzuri Kuna baadhi walifukuzwa SAUT kwa kutofanya mtihani siku ya jmosi.
2. Tunaishi katika dunia ambayo Kuna imani mbalimbali tena zisizofanana, Na wakati huohuo tunashirikiana vitu mbalimbali, je Ni kitu gani ambacho kitaleti uniformity Kama siyo sheria?.
3. Sheria za Mungu (amri 10) naamini hakina dini wala imani inayozipinga, tena zimewekwa katika sheria za nchi kwa namna nyingine (has been accommodated)
4. Hizo sheria wanazozikataa je wanakataa kwakuwa Ni mbaya au?, je Ni sheria gani inayokinzana Na maagizo ya Mungu, (wasabato waje Ku justify hapa)
5. Je, msabato akiwa na tatizo haendi mahakamani kwa ajili ya kupata msaada?
6. Vipi kuhusu kada zingine za elimu, mfano sayansi ambayo ukiofuatilia kwa karibu ndo utakuta inapinga imani zetu, Kama vile historia ya mwanadamu n.k. Je hawafundishi nazo?

Binafsi nahisi kutoweka sheria Kama somo kwenye vtuo vyao its just a coincidence and not a plan, so ipo siku wataweka.
 
Wakuu,

Jana nilijuwa na jamaa zangu na niliwauliza kuhusu chuo kizuri cha sheria kwakuwa kuna jamaa yangu anahitaji

Katika mazungumzo hayo kuna jamaa alitaja chuo kumoja cha kisabato ndipo jamaa yetu akasema kuwa vyuo vya kisabato havitoi degree hiyo kwasababu ya kidini,nilishangaa

Bahati mbaya pale hakukuwa na mtu mwenye majibu sahihi ya maswali yangu,naombeni mnijuze kama hili lina ukweli na kama ni kweli ni kwanini

Karibuni Ntuzu Ishmael Mkuu wa chuo charminglady Basluma Original Otorong'ong'o Nkwesa Makambo Lisa Valentine na wengine ...

Mkuu Eiyer, hili sijawahi kulisikia. Ngoja nitauliza kwa Mch!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Watu wengi huwa wanakubali chochote tu hata kama hajui....ila kwa mwenye busara angekujibu 'sijui' ili apate muda wa kutaka kujua. Ukweli ni kuwa vyuo vya Kisabato vinafundisha masomo ya sheria tena hata kwenye level za Doctorate...

Kuna msemo....''information is power''
Kuna mwenzako alikubali hapo juu,sijui hao ni wasabato au vipi!
 
Back
Top Bottom