CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
mkuu zipo shule nyingi tu eg ikizu,TASS,Nyansicha,etc,hicho chuo cha Tabata ni chu mtu si kanisa!
Umesahau Nyabihore na Nyanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu zipo shule nyingi tu eg ikizu,TASS,Nyansicha,etc,hicho chuo cha Tabata ni chu mtu si kanisa!
Huna haja ya kwenda kwa Mchungaji.....in fact hata wachugaji wapo humu...
.Vyuo vya ksabato vinatoa degree ya sheria na legal studies
SDA majors and programs | Adventist Colleges and Universities
SDA majors and programs | Adventist Colleges and Universities
Watu wengi huwa wanakubali chochote tu hata kama hajui....ila kwa mwenye busara angekujibu 'sijui' ili apate muda wa kutaka kujua. Ukweli ni kuwa vyuo vya Kisabato vinafundisha masomo ya sheria tena hata kwenye level za Doctorate...
Kuna msemo....''information is power''
Ndio mimi msabato, lakini haimaanishi kuwa nikiwa msababto basi nijue education system ya kanisa coz kuna uwezekana sijawa na interest hiyo au labda fani hiyo haina uelekeo na fani/kazi za kila siku za maisha yangu.Wewe ni Msabato?!
Umewahi kupitia kwenye department ya elimu ya kanisa? Vyuo vya kisababato vinatoa degree ya law na legal studies(major)
Chukua muda wako kusoma hapa SDA majors and programs | Adventist Colleges and Universities
Ila inaonekana wameanza karibuni tu maana kwa wale waliosoma miaka mitano nyuma hawajui hii kitu ....
Kwahiyo inawezekana waligundua wameingizwa chaka na sasa wamejirekebisha ..!!
Eiyer, kuna mambo ili uyafahamu ni lazima ujihusishe directly au indirectly, vinginevyo uwe na hobby. Sasa kwa swala la kutoa masomo ya sheria inategemea na interest ya mtu kufahamu mambo ya elimu yatolewayo na wasabato. I bet kuna mengi pia hujui kwenye dhehebu lako coz labda huna interest nayo, au sio fani yako...!Kuna mwenzako alikubali hapo juu,sijui hao ni wasabato au vipi!
Ellen G. white haruhusu sheria za kidunia.
Mi sioni km hii ni issue sn mpk tufikie kusema kwamba walikua wameingizwa Chaka..... Maana sijawahi kusikia au kuona tukifundishwa Kua kusoma sheria au Kua mwanasheria ni dhambi...!
Eiyer, kuna mambo ili uyafahamu ni lazima ujihusishe directly au indirectly, vinginevyo uwe na hobby. Sasa kwa swala la kutoa masomo ya sheria inategemea na interest ya mtu kufahamu mambo ya elimu yatolewayo na wasabato. I bet kuna mengi pia hujui kwenye dhehebu lako coz labda huna interest nayo, au sio fani yako...!
Na hapo ndo utaamini kuwa hivi vitu vinaletwa kwa makusudi tu ili mradi watu wapate pa kuanzia hayo ya walikuwa wameingizwa chaka yametoka wapi. Hivi ni Hiyo kozi ya sheria ni lazima sana kutolewa katika vyuo vyote duniani. Wapi imeandikwa msabato akipata kesi basi ni lazima atetewe na msabato mwenzie. Kuna vitu watu wanaanzisha just ku take your attention. Maake mada za wasabato ulikuwa umepita muda bila kujadiliwa naona watu waneona waanze tena. ulitaka kujua why wasabato hawafundishi law umepewa vyuo vinavyofundisha law then your assumption is wrong sababu vyuo vipo.Mi sioni km hii ni issue sn mpk tufikie kusema kwamba walikua wameingizwa Chaka..... Maana sijawahi kusikia au kuona tukifundishwa Kua kusoma sheria au Kua mwanasheria ni dhambi...!
Mkuu, kwanza Chuo hakikulazimishi wewe usome kitu flani ndani ya siku flani, ningependa uufute kabisa huo mtazamo wako kwanza,
Fahamu kwanza utaratibu WA Chuo umewekwa kabla hata ya mwanafunzi kwenda hapo chuoni, Na hata kwenye sekta nyingine Ni vivyo hivyo, Na hauwezi kubadilishwa Na kitu kimoja kikaathiri wengi kwa sababu ya interest zako, kwa ifupi Chuo kinapopanga ratiba fulani huwa hawaangalii Ni nani muislam au mkristu kwa sababu like siyo suala la dini, kinachoangaliwa pale Ni itifaki ya Chuo husika ambayo mwanafunzi lazima aitambue kabla ya kufanya maamuzi ya kujiunga Na Chuo hicho (hapa nazungumzia kile kipindi TCU haijakuwa Na mandate ya kudahili wanafunzi)
...sasa Kama wewe Ni muislam alaf unaenda Chuo cha kinachomilikiwa Na mfumo kristu, ujue Kuna mambo lazma yatabase kwenye ukristu Na Ni lazma uyafuate Kama ukitaka, Na huwezi sema umenyimwa haki.
PIA ifahamike kuwa hata mitihani ya taasisi za elimu zinazomilikiwa Na serikali, huwa Kuna note inawekwa kuwa ratiba haitabadilishwa endapo tarehe ya mtihani itaangukia kwenye sikukuu za kitaifa n.k. (Christmas Na Eid nazo Ni sikukuu za kitaifa) Na hili nimeshalishuhudia Mkwawa University kipindi nipo chini ya UDSM, watu walifanya mtihani siku ya Christmas Na mwaka mpya. So usiwalaumu SAUT maana najua Wao ndo waliwafukuza wanafunzi wa kisabato walipogoma kufanya mtihani siku ya jumamosi.
Na sijui Ni haki gani SAUT waliyoikiuka, je, unaweza itaja? Na ukiitaja ueleze na mipaka ya haki za binaadamu, maana najua haki za binaadamu zina mipaka (check limitations of human rights)
Mfano mzuri Ni shule za kiislam, Kama Thaqaafa pale mwanza Na nyingine uzijuazo, (mdogo wangu Ni mkistu 100% Na kasoma pale, Na Mimi ndo nlikuwa ninampeleka so najua protocal zao hata kabla) hiyo shule wasichana Ni lazima wavae hijab, ambalo nna uhakika Ni vazi la kiislam Na lugha inayotumika Ni English au Arabic, so Na mdogo wangu alivaa na hakuna aliyelalamika. Kwasababu yeye ndiye aliyechagua wakati alikuwa Na options za kwenda shule nyingine tena za kikristu.
Sasa unataka kundi flani la watu wanaoabudu j5 Na Wao jumatano iwe siku ya mapumziko?, Kama Ni hivyo mbona waislam wanafanya mitihani ijumaa Na hawalalamiki?, hilo la wasabato limetoka wapi?, au Wao ndo wana haki zaidi, ukitaka kujibu anza kunijibu kuhusu ijumaa Na waislam kuhusu kufanya kazi Na kwenda mashuleni, then uendelee.
Tafakari.
Hata mimi naamini kuna vita ya baridi dhidi ya usabato..!Na hapo ndo utaamini kuwa hivi vitu vinaletwa kwa makusudi tu ili mradi watu wapate pa kuanzia hayo ya walikuwa wameingizwa chaka yametoka wapi. Hivi ni Hiyo kozi ya sheria ni lazima sana kutolewa katika vyuo vyote duniani. Wapi imeandikwa msabato akipata kesi basi ni lazima atetewe na msabato mwenzie. Kuna vitu watu wanaanzisha just ku take your attention. Maake mada za wasabato ulikuwa umepita muda bila kujadiliwa naona watu waneona waanze tena. ulitaka kujua why wasabato hawafundishi law umepewa vyuo vinavyofundisha law then your assumption is wrong sababu vyuo vipo.
ila haina shida ngoja watusaidie kututangazia kanisa letu the more they shout the more people wants to know how the adventist church is?haijalishi iwe positive or negative wanavyo taja taja watu watakuwa interested kuchimba na kuutafuta ukweli. infact wanatusaidia katika kutoa madodoso ya kuokoa roho za watu kazi inakuwa nyepesi. Alisema hata msipo piga kelele ninyi basi mawe yataongea. Naona mawe mwaka huu yanaongea sana kwa kweli na hiini dalili ya kuwa tumenyamaza sanaHata mimi naamini kuna vita ya baridi dhidi ya usabato..!
..Hata hivyo,vyuo vya wasabato kama zilivyo taasisi zingine, zina sheria zake na mipaka ayake kutokana na kanuni zilizowekwa. Kwa nini kunazuka maswali ya ajabu? Bahati mtu amejibiwa, lakini bado hataki kuelewa, anataka jibu alilojiwekea kichwani..!
Kama unaelewa hili basis hata huu uzi hauna mantik. Vyuo vya wasabato navyo ni taasisi ya kujiamulia vile watakavyo so isifanywe big deal.
Kitendo cha kuacha kufundisha ni ishara ya walakini kwasababu ni somo ambalo ni uhimu sana kwenye maisha ya kila kisu
Na pia inaonekana hakukuwa na hiyo kozi kwenye vyuo vyenu mkuu,kwanini?
Na je ile sababu ambayo iliwafanya msiweke hiyo kozi imeondokaje?
Mkuu elimu ya sheria naona unaipa kipaombele kuliko elimu ya mwili na roho wakati wewe pia unakuja kuhukumiwa siku ya mwisho! ni ajabu sana. Kujua sheria za duniani is nothing to God, Mungu anacho himiza ni wewe mwanadamu kuishi apendavyo yeye yaani ufuate amri zake 10.
Swala la msingi ni wewe KUOKOA NAFSI YAKO USIINGAMIZE.