Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
- Thread starter
-
- #81
Wakuu nimefanya utafiti kwenye vyuo vya PRIVATE kama SAUT,RUCo(Ruaha university college),MWENGE UNIVERSITY,JORDAN UNIVERSITY,ARUSHA UNIVERSITY,ST.JOSEPH UNIVERSRTY,TUMAINI DAR,TUMAINI IRING,TUMAINI MAKUMIRA,ST.JOHN,TEKU,SEKOMU,EUKENFORD,nikagundua kwamba wanagraduate na G.P.A kubwa sana yaani unakuta G.P.A za 4 zimejaa hadi unashangaa ! na tunajua kabisa asilimia kubwa ya wanafunzi wanaochukuliwa kwenye hivi vyuo vya PRIVATE wamepata division three zile mbaya mfano,15,16,17,! Hebu tujadili wakuu kwa nini hivi vyuo vya PRIVATE wanapewa G.P.A kubwa sana je ni sababu za kibiashara
lisemwalo....
lipo, na kama halipoo...... .........!
aise mimi sisomi llb ila nimegusa law kidogo ,law ni mtiti inahitaji kuwa na uelewa mkubwa na kupata gpa 4.7 wanafuzi wengi law sikubaliani na hilo.llb sijawah sikia gpa ya 4.7 labda unachoniambia leo ndio najua.mkuu hivi vyuo vinaharibu sana elimu eti unakuta mtu kapiga ll,b ana 4.7 haaaaaa uongo mtupuu jamani 4.7 kubwa sanaaa halafu cha kuchekesha unakuta zipo nyingi (4.0) ,mimi najiuliza ni kwamba wanachukua waliofaulu vizuri sanaa? Jibu ni hapanaa ni mlundikano wa vilaza sugu
lipo, na kama halipoo...... .........!
tcu iapanga mtu kutokana na point alizopata mtu na requirement za chuo ndugu ,so form six ndio admision ticket kwenda chuo.nacte kwa diploma leavers.pia kua makampuni wanaangalia uwezo wa mtu pamoja na gpa,kama unataka kuamini agalia requirement za pwc,e&y,bot,dilloite,na makampuni makubwa.lakini pia inategemeana na position kwenye kampuni otherwise we mbona unahangaika kupata gpa kubwa?mdogo wangu unajiaibisha kama upo chuo na kama upo 4m 6 jipange tena endelea kupiga msuli hivyo hivyo tcu hawapangi mtu kutokana na matokeo ya 4m 6 bwana mdogo afu tambua cas co kama mfumo wa darasa la 7 kwenda form 1 au form 4 kwenda form 5 hyo system haipo hivyo afu kwa ufupi gpa yako ni uwezo wako ukiwa na gpa mlima utatukuta kwenye interview na ukiwa na gpa yako kisoda pia utatukuta kwenye interview.
Nb.
Utumishi hawaangalii chuo mpigamsuli
Kwanini shule za secondary za private zinaongoza TZ? Wewe ni mbulula, unakariri tu na hutaki kujibidisha kuelewa. Kama ingetokea vyuoni nako kungekuwa na NECTA kama ilivyo secondary nakuhakikishia hivyo vyuo unavyosema vinapewa GPA kubwa, ndivyo vingekuwa vinaongoza kitaifa. Duniani kote kwa sehemu kubwa vyuo bora duniani ni vya private. Mmekalia majungu tu someni na nyie mpate GPA kubwa, mna shindwa nini? Si mlipata div one nyie? P.u.mba.fu.
special schools zimekumbwa na competition kutoka kwa private schools,lakini kwa upande wa vyuo govt schools zina competitive advantage kubwa. Vyuo vya private havijajega competitive advantage kubwa ndio maana watu wengi hawaendi kwa moyo wote.kama unabisha ntakupa ukweli zaidikuna mijitu kama hili la mpigamsuli inaamini ukifeli darasa la saba form four hutafaulu, ukifeli form four basi form 6 nako hutafauli. Halikadhalika mijitu hiyo inaamini ukipata 3 form 6 basi chuo we ni mtu wa pass tu. Hiyo ni low intellectual ability. Ndo maana kauli mbiu yake ni kupigamsuli na siyo kuelewa. Intelligent person ni yule anahudhuria lecture na kuelewa then una research ulichofundishwa kujirithisha kama kina ukweli ama la, fanya discussions kutanua uwezo wako wa kufikiri, siyo kujifungia ndani kupiga msuli utaishia kukariri na matokeo yake ni kuanzisha mada za hovyo kama hii.
Ni ujinga kuamini vyuo vya serikali pekee ndo bora kuliko private, ziko wapi special schools now days? Special schools my foot!?
aise mimi sisomi llb ila nimegusa law kidogo ,law ni mtiti inahitaji kuwa na uelewa mkubwa na kupata gpa 4.7 wanafuzi wengi law sikubaliani na hilo.llb sijawah sikia gpa ya 4.7 labda unachoniambia leo ndio najua.
special schools zimekumbwa na competition kutoka kwa private schools,lakini kwa upande wa vyuo govt schools zina competitive advantage kubwa. Vyuo vya private havijajega competitive advantage kubwa ndio maana watu wengi hawaendi kwa moyo wote.kama unabisha ntakupa ukweli zaidi
kunachuo cha private kinaongoza tanzania kutokana na vigezo tofauti tofauti?.ukizungumzia nchi za kibepari ambazo zimebobea kwenye privatization na private sector revolution sawa.kwanini shule za secondary za private zinaongoza tz? Wewe ni mbulula, unakariri tu na hutaki kujibidisha kuelewa. Kama ingetokea vyuoni nako kungekuwa na necta kama ilivyo secondary nakuhakikishia hivyo vyuo unavyosema vinapewa gpa kubwa, ndivyo vingekuwa vinaongoza kitaifa. Duniani kote kwa sehemu kubwa vyuo bora duniani ni vya private. Mmekalia majungu tu someni na nyie mpate gpa kubwa, mna shindwa nini? Si mlipata div one nyie? P.u.mba.fu.
naona kanipata tuishie hapompe mkuu huo ushahidi
naona kanipata tuishie hapo