Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
- Thread starter
- #81
Haingii akilini kukuta miG.P.A mikubwa wakati wanafunzi wanaochukuliwa ni wenye ufaulu mbovu!! Laiti wangekuwa wanachukua CREAM kama SPECIAL SCHOOLS (1.7-1.14) mimi nisingeleta hii THREAD ! na pia haingii akilini eti unakuta G.P.A ndogo ni 3.5