Chromium
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 589
- 186
Hapa ndo tunaona nani mkorofi! siwezi kukubaliana na mawazo yako hata kidogo kwa sababu nilichoandika kwenye thread yangu kipo wazi kabisa nani hajui vyuo vya PRIVATE wanagraduate na G.P.A Kubwa? Nani anayebisha kwamba vyuo vya PRIVATE vinachukua division three nyingi na mbovu? Nilichoandika ni ukweli na nitaupigania kwa nguvu zote halaaa
Nimegundua najadiliana na mtoto asiyejua lolote zaidi ya matusi na kurudia rudia yale yale yasiyo na mashiko. Sijawahi kusikia mtu anapigania hoja kwa mtindo wako. Kila la heri katika kupigania "hoja" finyu ya GPA.