Vyuo vya tanzania havina uwezo wa utanuzi wa mawazo mpaka kwa wanao wafundisha

Vyuo vya tanzania havina uwezo wa utanuzi wa mawazo mpaka kwa wanao wafundisha

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Vijana wamemaliza vyuo lakini ukiwangalia ni kama wameingia chuo kujifunza.

Nina kijana kasomea IT mtoto wa ndugu yangu yani hakuna lolote kama kazubaa.
Mwengine jirani yangu kasomea uhasibu hakuna la maana kwenye ofisi ni shot kwenda mbele.
 
Vijana wamemaliza vyuo lakini ukiwangalia ni kama wameingia chuo kujifunza.

Nina kijana kasomea IT mtoto wa ndugu yangu yani hakuna lolote kama kazubaa.
Mwengine jirani yangu kasomea uhasibu hakuna la maana kwenye ofisi ni shot kwenda mbele.


Chuoni theory nyingi Sana hivyo wafundishe practical
 
Theory Oriented, nafuu katika Ualimu na Udaktari
 
Back
Top Bottom