Vijana wanamaliza hivi vyuo wakiwa hawajui lolote kwa miaka mitatu ya certifcate na diploma.
Nimemhoji kijana amemaliza certificate kutoka MATI Mtwara, Mtoto amesoma certificate in Kilimo na Mifugo, unamuuliza ECF ni nini hajui! Kupiga sindano ng'ombe hajui! Hakuna ugonjwa wowote wa mimea anaoujua.
Ndio wahitimu, lk si kosa lao. Mfano MTwara Agricultural Trainig Institute wanachowafanya watoto ni kulima tu mashamba ya korosho etc. Ni kama manamba, wako pale as a source of labour and not to learn agricultural and animal science be fit to be employed or self-employed.
Hawawezi kuajiliwa popote au kujiajiri maana unamuuliza kuku wanafugwaje hajui..., magonjwa ya kuku ni yapi, hajui. Watafute mkawaulize
( Nisi generalise, lkn for MATI Mtwara is a waste of time for our kids!
Nimemhoji kijana amemaliza certificate kutoka MATI Mtwara, Mtoto amesoma certificate in Kilimo na Mifugo, unamuuliza ECF ni nini hajui! Kupiga sindano ng'ombe hajui! Hakuna ugonjwa wowote wa mimea anaoujua.
Ndio wahitimu, lk si kosa lao. Mfano MTwara Agricultural Trainig Institute wanachowafanya watoto ni kulima tu mashamba ya korosho etc. Ni kama manamba, wako pale as a source of labour and not to learn agricultural and animal science be fit to be employed or self-employed.
Hawawezi kuajiliwa popote au kujiajiri maana unamuuliza kuku wanafugwaje hajui..., magonjwa ya kuku ni yapi, hajui. Watafute mkawaulize
( Nisi generalise, lkn for MATI Mtwara is a waste of time for our kids!